JESHI LA POLISI LAHIMIZA AMANI NA MSHIKAMANO KATIKA MCHAKATO WA UCHAGUZI MKUU WA 25.10.2015
![](http://3.bp.blogspot.com/--87KuC9ns7g/VfPRhAq_AhI/AAAAAAAH4JQ/hn_wvHAGBaU/s72-c/polisi.jpg)
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIAWIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHIJESHI LA POLISI TANZANIA
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
JESHI LA POLISI KANDA MAALUM DAR ES SALAAM LAHIMIZA AMANI NA MSHIKAMANO KATIKA MCHAKATO WA UCHAGUZI MKUU WA 25.10.2015 Kamishna wa Polisi Kanda Maalum ya Dar Es Salaam Suleiman Kova amewakumbusha watanzania hususani wananchi wanaoishi jijini Dar es Salaam kukumbuka wajibu wao wa kudumisha amani wakati wote wa mchakato wa uchaguzi mkuu.
mchakato huo ni pamoja na wakati wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziNAIBU KATIBU MKUU WA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI ATEMBELEA MAKAO MAKUU YA JESHI LA POLISI NA KUWAPONGEZA KWA KUSIMAMIA UCHAGUZI MKUU KWA AMANI NA UTULIVU
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-MxEFJ5Gx6vE/VhG5DZo2a0I/AAAAAAAAaUE/S2Hwd0NkhHE/s72-c/IMG_1376.jpg)
MAMA SALMA KIKWETE KATIKA TAMASHA LA KUOMBEA AMANI KUELEKEA UCHAGUZI MKUU 2015
![](http://3.bp.blogspot.com/-MxEFJ5Gx6vE/VhG5DZo2a0I/AAAAAAAAaUE/S2Hwd0NkhHE/s640/IMG_1376.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-XihnY3QTE9E/VhG5EVENg2I/AAAAAAAAaUM/gLPRK_J_Uzs/s640/IMG_1380.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-ikdgUw4yU9E/VhG5IcrRmiI/AAAAAAAAaUU/bl1Myno4scU/s640/IMG_1385.jpg)
9 years ago
MichuziMDAHALO WA TAASISI YA MWALIMU NYERERE WATAKA AMANI, UMOJA NA HAKI KATIKA UCHAGUZI MKUU OKTOBA 25, 2015
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.
9 years ago
GPLMDAHALO WA TAASISI YA MWALIMU NYERERE WATAKA AMANI, UMOJA NA HAKI KATIKA UCHAGUZI MKUU OKTOBA 25, 2015
10 years ago
Michuzi09 Sep
NEWS ALERT: TCD YATOA TAMKO KUHUSU MCHAKATO WA KATIBA NA UCHAGUZI MKUU WA 2015
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-JSIXCtXGYFo/VfvHmQ-i4CI/AAAAAAAD7tE/34Gyn5DTZVw/s72-c/ILULA.jpg)
9 years ago
StarTV10 Nov
Mkuu wa wilaya wa Kinondoni asifia utendaji  wa Polisi katika uchaguzi mkuu.
Jeshi la Polisi Tanzania limepongezwa kwa kazi nzuri ya ulinzi wa raia na mali zao hususani katika kipindi cha kampeni za uchaguzi hadi kupiga kura.
Pongezi hizo zimetolewa na Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni na Mwenyekiti Kamati ya Ulinzi na Usalama wa wilaya hiyo, Paul Makonda katika hafla fupi iliyofanyika katika viwanja vya polisi Oysterbay Kinondoni Jijini Dar es salaam.
Mkuu huyo wa wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda amesema askari wa jeshi la Polisi nchini, wanafanya kazi katika...
10 years ago
MichuziWANAZUONI WA KIISLAAM WATAKA AMANI KATIKA UCHAGUZI MKUU
Akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam,Mwenyekiti wa Umoja huo , Mwenyekiti wa Kamati ya Usuluhishi,Suleiman Kilemile amesema nchi nyingi zimeingia katika machafuko kutokana na uchaguzi hivyo nchi yetu isiingie huku.
Amesema kauli za viongozi wa siasa za hivi karibu katika michakato ya kuelekea uchaguzi zinaweza...
11 years ago
Mwananchi03 Jun
Polisi wanolewa Uchaguzi Mkuu wa 2015