TAHADHALI YA UTAPELI KATIKA AJIRA YA POLISI
![](http://1.bp.blogspot.com/-vYkTHfBtPaI/Vd9UkjbXllI/AAAAAAAH0ec/SevxtmdMNhk/s72-c/p.png)
Katika siku za hivi karibuni, kumeibuka mtandao wa matapeli wanaojipatia fedha kutoka kwa wananchi kwa udanganyifu kwamba watawapatia ajira ndani ya Jeshi la Polisi hasa katika kipindi hiki ambacho Jeshi la Polisi lipo katika mchakato wa ajira.
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog17 Jun
Onyo kuhusu utapeli wa ajira katika kampuni ya Tigo
Tumepata taarifa kwamba kuna baadhi ya watu wasiowaaminifu wanaojifanya wafanyakazi wa kampuni ya Tigo na kutumia mwanya huo kuwadanganya wananchi kujaza fomu feki kama njia ya kupata ajira katika kampuni yetu. Inadaiwa kwamba kila fomu inatozwa kiasi cha TZS 20,000 (Shilingi elfu ishirini).
Tigo inapenda kuwataarifu wale wote wanaotafuta ajira katika kampuni yetu na umma kwa ujumla kwamba hakuna fomu za aina hii zinazotolewa kutoka mawakala, matawi au idara yoyote ya kampuni yetu....
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-1xlrVH9OmQ4/VHQbmqfPc8I/AAAAAAAAoL0/RtRBW8MVlZw/s72-c/KOVA.jpg)
JESHI LA POLISI KANDA MAALUM LATOA TAHADHALI KWA WANAWAKE KUTOSHIRIKI KIMAPENZI NA WATU WASIOWAJUA
![](http://3.bp.blogspot.com/-1xlrVH9OmQ4/VHQbmqfPc8I/AAAAAAAAoL0/RtRBW8MVlZw/s1600/KOVA.jpg)
Zimekuwepo taarifa juu ya kuwepo kwa wanaume wawili wanaoshawishi wanawake kuwa nao kimapenzi na baada ya muda huwauwa. Hivyo natoa tahadhari kwa wanawake wa jiji la Dar es Salaam kuchukua tahadhali juu ya watu hawa maana huatarisha maisha yao au ya familia zao.
Inaaminika watu hao...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ZGGCrW1JrghMAqq3ADQZJj2svU94NXCqspAJM1lobdBl-GiEw1kFwZOn94LohU5YjqGmx2*lt0UfLe*HKPrb89hDSqoDlP32/12.jpg)
HEMED ASAKWA NA POLISI KWA UTAPELI
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-MqmejBGCoh0/VUvS1MieHgI/AAAAAAAHWPI/dpLkhjHG450/s72-c/MVUA%2BZA%2BMASIKA.jpeg)
10 years ago
Michuzi31 Aug
11 years ago
Michuzi19 May
10 years ago
Michuzi01 Jan
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-MTy5keoRtuI/Xl4w9JwYKNI/AAAAAAALgrA/X3IicVJvfK8q9pUaGPPEvqQ_Q6pnNPr9ACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya lawanasa watu 11 wanaendesha utapeli kwa njia ya Mtandao
![](https://1.bp.blogspot.com/-MTy5keoRtuI/Xl4w9JwYKNI/AAAAAAALgrA/X3IicVJvfK8q9pUaGPPEvqQ_Q6pnNPr9ACLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
Akizungumza na waandishi wa habari Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya Ulrich Matei amesema kuwa watuhumiwa walikuwa wanajihusisha na wizi kwa kutumia majina ya viongozi na wasanii kwa kusambaza ujumbe wa kuomba fedha kwa watu wengine wenye mahusiano ya viongozi na wasanii.
Wanaoshikiliwa na Jeshi hilo...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-eCmJZoPDnbo/U7-YNzFsPvI/AAAAAAAF03g/AgxDw6gD2LU/s72-c/unnamed.jpg)
Utapeli wachukua sura mpya Iringa, mtandao wa waganga wa kienyeji matapeli wawatapeli wenzao 60 kwa kujifanya maofisa wa polisi
![](http://4.bp.blogspot.com/-eCmJZoPDnbo/U7-YNzFsPvI/AAAAAAAF03g/AgxDw6gD2LU/s1600/unnamed.jpg)
UTAPELI sasa wachukua sura mpya mkoani Iringa badaa ya baadhi ya waganga wa tiba asilia (Sangoma) kugeuziana kibao wenyewe kwa wenyewe kwa kuanza kufanyiana utapeli wa kutisha ikiwa ni pamoja na kujifanya maofisa wa polisi na kuwatapeli fedha wenzao zaidi ya 60.
Imedaiwa kuwa waganga hao matapeli wana mtandao wao na wamekuwa wakiwatumia askari wasio na maadili ya jeshi la polisi kwa kwenda kuwatisha waganga wachanga kwa madai kuwa ...