Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wahadharishwa kutojiunga na mifuko ya hifadhi kiholela

WALIMU wapya wameshauriwa kutokubali kuandikishwa kuingia kwenye mifuko ya hifadhi ya jamii katika mazingira yasiyo rasmi na badala yake wafike katika ofisi za wakurugenzi zilizoko katika halmashauri walizopangiwa.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Fedha mifuko ya hifadhi zisichezewe

Mojawapo ya majukumu ya msingi ya Bunge likiwamo hili la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni kuisimamia serikali ili iweze kutimiza vyema wajibu wake wa kuwatumikia wananchi.

 

9 years ago

Mwananchi

Changamoto za mifuko ya hifadhi ya jamii

Wiki iliyopita nilielezea baadhi ya mambo yanayosababisha kuwagusa wachangiaji wa mifuko ya pensheni ya hifadhi ya jamii, hasa wanapokuwa wanapoteza uanachama na kinga yao ya hifadhi ya jamii na pale wanapoondoka au kuhamia mfuko mwingine wakiwa ndani ya nchi na akivuka mpaka na kwenda nje ya nchi.

 

10 years ago

Habarileo

Serikali yajipanga kulipa mifuko ya hifadhi

Waziri wa Kazi na Ajira, Gaudentia Kabaka.SERIKALI imesema inaandaa utaratibu wa kulipa fedha zote inazodaiwa na mifuko ya hifadhi ya jamii nchini.

 

10 years ago

Mwananchi

Serikali inafilisi Mifuko Hifadhi ya Jamii

Tunalazimika tena leo kuitahadharisha Serikali kuhusu athari zinazotokana na utamaduni wake wa kutolipa madeni.

 

10 years ago

Mwananchi

Serikali yazidi kubanwa deni mifuko ya hifadhi

Vyama zaidi vya wafanyakazi, vimeendelea kujitokeza na kuungana na kuibana Serikali na kuitaka ilipe deni la Sh7 trilioni inalodaiwa na Mifuko ya Hifadhi ya Jamii, kadhalika kuondoa mpango wake wa kupunguza mafao ya wastaafu.

 

10 years ago

Tanzania Daima

‘Serikali ilipe madeni mifuko hifadhi ya jamii’

MWENYEKITI wa Kamati ya Bunge ya Huduma za Jamii, Said Mtanda, ameitaka serikali kulipa madeni ya Mifuko ya  Hifadhi ya Jamii, ili kusaidia mifuko hiyo kuweza kufanya shughuli za maendeleo...

 

11 years ago

Habarileo

Serikali yakanusha kutohudumia mikopo Mifuko ya hifadhi

MIKOPO inayotolewa na Mifuko ya Hifadhi za Jamii nchini kwa serikali nchini inatolewa baada ya kudhibitishwa na Benki Kuu (BoT) na SSRA ambayo pia inasimamia ulipwaji wake ambao serikali inaendelea kulipa.

 

10 years ago

Habarileo

Bunge lahaha kuikwamua mifuko ya hifadhi za jamii

KATIKA kuhakikisha mifuko ya hifadhi za jamii nchini haitetereki kiuchumi, Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) imelazimika kuingilia kati kusaka suluhu ya hatima ya deni la Sh trilioni 8.4 ambalo Serikali inadaiwa na mifuko hiyo.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mbunge ahoji hisa wanachama mifuko hifadhi ya jamii

MBUNGE wa Morogoro Vijijini, Dk, Lucy Nkya (CCM), ametaka kujua ni kwanini wanachama wa mifuko ya hifadhi ya jamii hawapewi hisa inayotokana na miradi iliyowekezwa kupitia michango yao. Mbunge huyo,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani