Wahadharishwa kutojiunga na mifuko ya hifadhi kiholela
WALIMU wapya wameshauriwa kutokubali kuandikishwa kuingia kwenye mifuko ya hifadhi ya jamii katika mazingira yasiyo rasmi na badala yake wafike katika ofisi za wakurugenzi zilizoko katika halmashauri walizopangiwa.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi28 May
Fedha mifuko ya hifadhi zisichezewe
9 years ago
Mwananchi01 Oct
Changamoto za mifuko ya hifadhi ya jamii
10 years ago
Habarileo26 Nov
Serikali yajipanga kulipa mifuko ya hifadhi
SERIKALI imesema inaandaa utaratibu wa kulipa fedha zote inazodaiwa na mifuko ya hifadhi ya jamii nchini.
10 years ago
Mwananchi22 Oct
Serikali inafilisi Mifuko Hifadhi ya Jamii
10 years ago
Mwananchi26 Aug
Serikali yazidi kubanwa deni mifuko ya hifadhi
10 years ago
Tanzania Daima30 Oct
‘Serikali ilipe madeni mifuko hifadhi ya jamii’
MWENYEKITI wa Kamati ya Bunge ya Huduma za Jamii, Said Mtanda, ameitaka serikali kulipa madeni ya Mifuko ya Hifadhi ya Jamii, ili kusaidia mifuko hiyo kuweza kufanya shughuli za maendeleo...
11 years ago
Habarileo26 May
Serikali yakanusha kutohudumia mikopo Mifuko ya hifadhi
MIKOPO inayotolewa na Mifuko ya Hifadhi za Jamii nchini kwa serikali nchini inatolewa baada ya kudhibitishwa na Benki Kuu (BoT) na SSRA ambayo pia inasimamia ulipwaji wake ambao serikali inaendelea kulipa.
10 years ago
Habarileo21 Oct
Bunge lahaha kuikwamua mifuko ya hifadhi za jamii
KATIKA kuhakikisha mifuko ya hifadhi za jamii nchini haitetereki kiuchumi, Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) imelazimika kuingilia kati kusaka suluhu ya hatima ya deni la Sh trilioni 8.4 ambalo Serikali inadaiwa na mifuko hiyo.
10 years ago
Tanzania Daima06 Nov
Mbunge ahoji hisa wanachama mifuko hifadhi ya jamii
MBUNGE wa Morogoro Vijijini, Dk, Lucy Nkya (CCM), ametaka kujua ni kwanini wanachama wa mifuko ya hifadhi ya jamii hawapewi hisa inayotokana na miradi iliyowekezwa kupitia michango yao. Mbunge huyo,...