‘Watanzani msinununue bidhaa kiholela mitaani’
WATANZANIA wameshauriwa kutonunua bidhaa bidhaa zisizo na uhakika wa ubora mitaani na kujikuta wakiambulia hasara baada ya bidhaa hizo kuharibika kwa kipindi kifupi. Ushauri huo ulitolewa jijini Dar es Salaam...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi23 Mar
Serikali itoe ulinzi kwa vipaji na ubunifu vya Watanzani
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-ALGBkEbPxUY/XkuW8e-rxEI/AAAAAAAA8mY/6JdjBOj_nMw2puCvFi57iaRBrR6LFJDyQCNcBGAsYHQ/s72-c/MOZENGO.jpg)
PINDA: AWATAKA WATANZANI KUACHA KASUMBA YA KUAMINI WAGENI KWENYE UWEKEZAJI
![](https://1.bp.blogspot.com/-ALGBkEbPxUY/XkuW8e-rxEI/AAAAAAAA8mY/6JdjBOj_nMw2puCvFi57iaRBrR6LFJDyQCNcBGAsYHQ/s640/MOZENGO.jpg)
WAZIRI Mkuu mstaafu wa awamu ya nne Mizengo Pinda amewataka watanzania kubadilika kwa kuacha Kasumba ya kuamini wageni kuja kuwekeza katika fulsa mbalimbali zilizopo nchini ili kufikia uchumi wa kati ambao utaboresha maisha ya watanzania kwa ujumla.
Pinda alikuwa mgeni rasmi katika kufunga Kongamano la biashara Mkoani Songwe alitanabaisha kuwa ili kufikia uchumi wa kati ambao Rais Magufuli anausisitiza ifikapo 2025 alisema watanzania wanatakiwa kubadilika kwa kiasi...
11 years ago
Mwananchi15 Feb
Zahanati Kinondoni zajengwa kiholela
11 years ago
Mwananchi25 Jul
Wahimizwa kutochimba madini kiholela
10 years ago
Habarileo30 Aug
RC azuia majeshi kutumika kiholela
MKUU wa Mkoa wa Kigoma, Kanali mstaafu Issa Machibya amezuia kutumika kiholela kwa vikosi vya majeshi ya ulinzi na usalama mkoani humo katika shughuli mbalimbali za kijamii hadi atakapotoa ruhusa ya kutumika kwao kutokana kutumika vibaya kwa majeshi hayo.
9 years ago
Dewji Blog08 Oct
Jihadharini na matumizi ya Antibiotiki kiholela
Mwenyekiti wa Antibiotic Resistance Partnership (GARP), Profesa Said Aboud kutoka Chuo Kikuu cha Sayansi za Tiba Shirikishi (MUHAS) kushoto akitoa ripoti ripoti ya dunia kuhusu matumizi na usugu wa dawa za Antibiotiki ya mwaka 2015,uliofanyika kwenye ukumbi wa mikutano wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii.Katikati ni Mganga Mkuu wa Serikali, Profesa Mohammed Bakarina kulia ni Mfamasia Mkuu wa Serikali Henry Irunde.
Mganga Mkuu wa Serikali, Profesa Mohammed Bakari (kushoto wa pili)...
10 years ago
BBCSwahili18 Nov
DRC:Polisi waliwaua vijana kiholela
10 years ago
Tanzania Daima03 Oct
TAHLISO yalia ada kupanda kiholela
WANAFUNZI wa elimu ya juu nchini, wametakiwa kutokulipa ongezeko la ada mpya ambayo baadhi ya vyuo vikuu vimekuwa vikipandisha kiholela na kupuuza tamko la Tume ya Vyuo Vikuu (TCU). Akizungumza...