Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


PINDA: AWATAKA WATANZANI KUACHA KASUMBA YA KUAMINI WAGENI KWENYE UWEKEZAJI

Na Baraka Messa, Songwe
WAZIRI Mkuu mstaafu wa awamu ya nne Mizengo Pinda amewataka watanzania kubadilika kwa kuacha Kasumba ya kuamini wageni kuja kuwekeza katika fulsa mbalimbali zilizopo nchini ili kufikia uchumi wa kati ambao utaboresha maisha ya watanzania kwa ujumla.

Pinda alikuwa mgeni rasmi katika kufunga Kongamano la biashara Mkoani Songwe  alitanabaisha kuwa ili kufikia uchumi wa kati ambao Rais Magufuli anausisitiza ifikapo 2025 alisema watanzania wanatakiwa kubadilika kwa kiasi...

CCM Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Waziri Mkuu Pinda amwakilisha Rais Kikwete kwenye mjadala wa uwekezaji Afrika- London

PG4A6255

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza kwenye mjadala  kuhusu fursa za uwekezaji  barani Afrika kwenye hoteli ya Savoyy , London, Oktoba 20/10/14.Wengine pichani ni Rais Yoweri Museveni wa Uganda Rais wa Gahana,John Mahama na Rais wa Rwanda Paul Kagame. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

PG4A6276

Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, Thabit Mwambungu (kulia) na Balozi wa Tanzania nchini Uingereza, Peter Kallage  Wakimsikiliza Waziri Mkuu, Mizengo Pinda wakati alipozungumza kwenye mjadala  kuhusu fursa za uwekezaji ...

 

5 years ago

Michuzi

RC TABORA AWATAKA WANANCHI KUTOA TAARIFA ZA WAGENI WASIOWAFAHAMU

NA TIGANYA VINCENT,TABORA

MKUU wa Mkoa wa Tabora Aggrey Mwanri ametoa wito kwa wakazi wa Mkoa huo kutoa taarifa za wageni wasiofahamika walikopotoka pindi wanaonekana katika maeneo yao ili kuepuka kuambukizwa homa kali ya mapafu inayoenezwa na kirusi kipya aina ya Corona.

Alisema Mkoa huo ni mkubwa na unapatakana na mikoa inayopakana na Nchi za jirani na upo uwezekano wa wageni kuingia kwa kutumia njia za panya na hivyo kuhatarisha afya za wakazi wa Tabora.

Mwanri alitoa kauli hiyo leo...

 

10 years ago

Mwananchi

Obama awagusa Wakenya, awataka kuacha ukabila

>Rais wa Marekani, Barack Obama amezungumzia safari yake ya kwanza aliyoifanya Kenya, mwaka 1988 na kupoteza begi lake baada ya kushuka katika Uwanja wa Ndege wa Jomo Kenyatta (JKIA).

 

11 years ago

Mwananchi

Naibu waziri awataka wanawake kuacha woga

Naibu Waziri wa Katiba na Sheria, Angellah Kairuki amewataka wanawake nchini kuacha woga na kujibweteka badala yake wabadilike, wajijengee uwezo na kujitokeza katika fursa mbalimbali za kuwania uongozi.

 

10 years ago

Bongo5

AT awataka wasanii kuacha kuwadharau ma-director wa Tanzania

Msanii wa muziki wa mduara, AT amechukizwa na baadhi ya wasanii wa Tanzania kuwadharau ma-director wa nyumbani. Akizunzungumza na Bongo 5 leo, AT amesema wasanii kuendelea kufanya video na waongozaji wa nje ni kuupoteza kabisa muziki wa Tanzania. “Wasanii wanalaumu sana directors wa Tanzania, wanadiriki kusema kuwa Tanzania hakuna directors, lakini siyo kweli inatakiwa ifikie […]

 

9 years ago

Bongo5

Aslay awataka wasanii wachanga kuacha tamaa

Muimbaji wa kundi la Yamoto Band, Aslay amewaka wasanii wachanga kuepuka tamaa za mafanikio ya haraka. Aslay ameiambia Bongo5 kuwa alijitahidi kupambana na watu ambao walikuwa wanajaribu kumlaghai ili wampoteze. “Unajua watu wanavyokuona sehemu wanaweza wakakulaghai ili uone hapafai,”amesema. “Mimi nimekutana na watu kama hao, sana lakini kwenye kichwa changu nilikuwa naamini ninachokifanya. Pia tamaa […]

 

10 years ago

Michuzi

MAHAFALI YA 49 CHUO CHA CBE YAFANA, SERIKALI YAYATAKA MAKAMPUNI KUACHA KUTOA NAFASI NYINGI ZA AJIRA KWA WAGENI

Waziri wa Viwanda na Biashara Dkt. Abdallah Kigoda (kulia) ambaye alikuwa mgeni rasmi katika mahafali ya 49 ya Chuo cha Elimu ya Biashara kampasi ya Dar es salaam akiimba wimbo wa Taifa wakati wa ufunguzi rasmi wa mahafali hayo jijini Dar es salaam. Wengine ni Mwenyekiti wa Bodi ya Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE) Prof. Mathew Luhanga (katikati) na Mkuu wa Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE) Prof. Emanuel Mjema.Baadhi ya wahitimu wa shahada ya Uhasibu wa Chuo cha Elimu ya Biashara Dar es salaam...

 

9 years ago

Habarileo

Mbunge awataka wananchi kuacha siasa, wachape kazi

MBUNGE wa Manonga, Seif Gulamali, amewataka watumishi wa serikali katika jimbo hilo kutojihusisha na siasa na badala yake wawahudumie wananchi kutokana na maadili ya kazi zao.

 

11 years ago

Mwananchi

Askofu awataka vijana kuacha ndoto za maisha ya mkato

>Askofu Msaidizi wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Titus Mdoe amewataka vijana nchini, kuhakikisha wanapata elimu bora itakayowawezesha kufanikisha ndoto zao kwa njia zisizo za mashaka.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani