PINDA: AWATAKA WATANZANI KUACHA KASUMBA YA KUAMINI WAGENI KWENYE UWEKEZAJI
![](https://1.bp.blogspot.com/-ALGBkEbPxUY/XkuW8e-rxEI/AAAAAAAA8mY/6JdjBOj_nMw2puCvFi57iaRBrR6LFJDyQCNcBGAsYHQ/s72-c/MOZENGO.jpg)
Na Baraka Messa, Songwe
WAZIRI Mkuu mstaafu wa awamu ya nne Mizengo Pinda amewataka watanzania kubadilika kwa kuacha Kasumba ya kuamini wageni kuja kuwekeza katika fulsa mbalimbali zilizopo nchini ili kufikia uchumi wa kati ambao utaboresha maisha ya watanzania kwa ujumla.
Pinda alikuwa mgeni rasmi katika kufunga Kongamano la biashara Mkoani Songwe alitanabaisha kuwa ili kufikia uchumi wa kati ambao Rais Magufuli anausisitiza ifikapo 2025 alisema watanzania wanatakiwa kubadilika kwa kiasi...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog20 Oct
Waziri Mkuu Pinda amwakilisha Rais Kikwete kwenye mjadala wa uwekezaji Afrika- London
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza kwenye mjadala kuhusu fursa za uwekezaji barani Afrika kwenye hoteli ya Savoyy , London, Oktoba 20/10/14.Wengine pichani ni Rais Yoweri Museveni wa Uganda Rais wa Gahana,John Mahama na Rais wa Rwanda Paul Kagame. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
5 years ago
MichuziRC TABORA AWATAKA WANANCHI KUTOA TAARIFA ZA WAGENI WASIOWAFAHAMU
MKUU wa Mkoa wa Tabora Aggrey Mwanri ametoa wito kwa wakazi wa Mkoa huo kutoa taarifa za wageni wasiofahamika walikopotoka pindi wanaonekana katika maeneo yao ili kuepuka kuambukizwa homa kali ya mapafu inayoenezwa na kirusi kipya aina ya Corona.
Alisema Mkoa huo ni mkubwa na unapatakana na mikoa inayopakana na Nchi za jirani na upo uwezekano wa wageni kuingia kwa kutumia njia za panya na hivyo kuhatarisha afya za wakazi wa Tabora.
Mwanri alitoa kauli hiyo leo...
10 years ago
Mwananchi27 Jul
Obama awagusa Wakenya, awataka kuacha ukabila
11 years ago
Mwananchi31 Mar
Naibu waziri awataka wanawake kuacha woga
10 years ago
Bongo512 Nov
AT awataka wasanii kuacha kuwadharau ma-director wa Tanzania
9 years ago
Bongo516 Oct
Aslay awataka wasanii wachanga kuacha tamaa
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ry__wsr2F8w/VGhg800KYRI/AAAAAAAGxmQ/LT05DfCGBbQ/s72-c/Picha%2Bna%2B1.jpg)
MAHAFALI YA 49 CHUO CHA CBE YAFANA, SERIKALI YAYATAKA MAKAMPUNI KUACHA KUTOA NAFASI NYINGI ZA AJIRA KWA WAGENI
![](http://4.bp.blogspot.com/-ry__wsr2F8w/VGhg800KYRI/AAAAAAAGxmQ/LT05DfCGBbQ/s1600/Picha%2Bna%2B1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-fbY6mNfgXPQ/VGhg9QMLkvI/AAAAAAAGxmY/9cQC8-lrW_o/s1600/Picha%2Bna%2B2.jpg)
9 years ago
Habarileo24 Nov
Mbunge awataka wananchi kuacha siasa, wachape kazi
MBUNGE wa Manonga, Seif Gulamali, amewataka watumishi wa serikali katika jimbo hilo kutojihusisha na siasa na badala yake wawahudumie wananchi kutokana na maadili ya kazi zao.
11 years ago
Mwananchi29 Dec
Askofu awataka vijana kuacha ndoto za maisha ya mkato