Kikwete azuia ‘ulaji’ trafiki
RAIS Jakaya Kikwete ameliagiza Baraza la Taifa la Usalama Barabarani, kuanzisha mara moja mfumo wa ulipaji faini kwa njia ya Benki na mitandao ya simu za mkononi ili kupunguza ushawishi wa vitendo vya rushwa kwa askari wa kikosi cha usalama barabarani nchini.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog13 Dec
Trafiki Mwanza atumbukiza Bajaji ya dereva wa Bodaboda mtaroni ….Je unaridhika na utendaji kazi wa Trafiki wapya Mkoani kwako?
![](http://2.bp.blogspot.com/-dUXEP5ngMBY/VmvKAQeYLuI/AAAAAAABUYI/cJroCRIVUG4/s640/TRAFIKI%2BAJALI%2B%25285%2529.jpg)
10 years ago
Habarileo30 Jul
Azuia ‘ambulance’ zisitumike
MKUU wa Wilaya ya Kalambo mkoani Rukwa, Williman Ndile, amezuia magari mawili ya wagonjwa yasitumike kwa sababu hayana ubora.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/KhKaa56BSVWrr91q3wVf0*WW2l8y*9mRbZy3J*bFn5zphXmY279Ancc78s4RETqfIF8QHhyufINaM6r0pfawzI-HSeu2bXlN/JoyceBandasigning.jpg)
RAIS BANDA AZUIA MATOKEO
11 years ago
Tanzania Daima09 Jul
Diwani azuia matumizi ya ardhi
DIWANI wa Kata ya Wazo, Manispaa ya Kinondoni jijini Dar es Salaam, John Morro, ameitaka Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi pamoja na manispaa hiyo kutofanya lolote katika...
10 years ago
Mwananchi21 Jan
Kopunovic azuia kambi Simba SC
9 years ago
Habarileo04 Oct
RC azuia kilimo kwenye milima
MKUU wa Mkoa wa Dodoma, Chiku Galawa amepiga marufuku wananchi kulima juu ya milima. Galawa alitoa agizo hilo juzi katika kijiji cha Miganga kilichopo wilaya ya Chamwino wakati alipotembelea mradi wa majiko banifu yanayosaidia kutunza mazingira.
10 years ago
Habarileo30 Aug
RC azuia majeshi kutumika kiholela
MKUU wa Mkoa wa Kigoma, Kanali mstaafu Issa Machibya amezuia kutumika kiholela kwa vikosi vya majeshi ya ulinzi na usalama mkoani humo katika shughuli mbalimbali za kijamii hadi atakapotoa ruhusa ya kutumika kwao kutokana kutumika vibaya kwa majeshi hayo.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Akn4LDwu9Xzj-CKpKsEDj8srqWlS9BRFziVCry63SEHf9HnqZBHkNUyxab8Iuiv61L7BzzGKJcnZLqH*Qm2n5Bn7MV79PWXC/11.jpg?width=650)
Manji azuia mamilioni ya Okwi
11 years ago
Tanzania Daima25 Feb
Waziri azuia ujenzi stendi ya Igumbilo
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais, Mazingira, Dk. Binilith Mahenge, ameuzuia kwa muda uongozi wa Halmashauri ya Manispaa ya Iringa kujenga stendi mpya ya mabasi yaendayo mikoani katika...