Diwani azuia matumizi ya ardhi
DIWANI wa Kata ya Wazo, Manispaa ya Kinondoni jijini Dar es Salaam, John Morro, ameitaka Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi pamoja na manispaa hiyo kutofanya lolote katika...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima22 Sep
Wafugaji wataka matumizi bora ya ardhi
ASILIMIA 75 ya watanzania ni wafugaji hivyo serikali imeombwa kuharakisha mpango wa upimaji matumizi bora ya ardhi ili kuepuka migogoro ya wakulima na wafugaji inayorudisha nyuma juhudi za maendeleo. Rai...
10 years ago
Habarileo22 Mar
Wanawake washauriwa matumizi mazuri ya ardhi
SHIRIKA lisilo la Kiserikali la Oxfam kupitia kampeni yake ya Grow limewataka wanawake kujali umuhimu wa utumiaji ardhi, ili kuongeza uzalishaji kwa faida yao binafsi na jamii kwa ujumla.
11 years ago
Tanzania Daima22 Dec
Serikali yahimizwa kuharakisha mpango wa matumizi ya ardhi
SERIKALI imetakiwa kuharakisha mpango wa matumizi bora ya ardhi katika vijiji 79 vilivyopo katika Wilaya Kisarawe mkoani Pwani kuepusha migogoro ya mipaka baina ya kijiji na kijiji. Wito huo ulitolewa...
10 years ago
MichuziMATUMIZI MABAYA YA ARDHI TISHIO KWA UHIFADHI
Na Woinde Shizza,Arusha.
Waziri wa Maliasili na Utalii Lazaro Nyalandu amesema kuwa matumizi mabaya ya ardhi yasiyozingatia mpango bora wa matumizi ya ardhi yamekua tishio kwa maeneo uhifadhi hivyo kupelekea uvamizi wa maeneo hayo na kutumiwa kwa shughuli za ufugaji na kilimo kinyume cha utaratibu.
Nyalandu amesema hayo jana wakati akihutubia mkutano wa kati ya Wizara na Jumuiya za Hifadhi za Wanyamapori (WMAs) uliofanyika jijini hapa,amesema kuwa...
5 years ago
Habarileo16 Feb
Waahidi nidhamu katika matumizi ya ardhi ya pori tengefu
WANANCHI wa kata saba wilayani Ngorongoro mkoani Arusha waliokubaliana kumaliza mgogoro wa pori tengefu la Loliondo lenye kilometa 1,500 za mraba, wamesema endapo maoni yao yatakubaliwa na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, watakuwa na nidhamu ya matumizi bora ya ardhi.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-FYL7lpJZFbE/Xuoazdc_tJI/AAAAAAALuPE/-fRMQCewTWsCf4YDFqsBydupVqJoJXIVQCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-17%2Bat%2B4.13.05%2BPM%2B%25282%2529.jpeg)
WATUMISHI WIZARA YA ARDHI KIZIMBANI KWA TUHUMA ZA MATUMIZI MABAYA YA MADARAKA
![](https://1.bp.blogspot.com/-FYL7lpJZFbE/Xuoazdc_tJI/AAAAAAALuPE/-fRMQCewTWsCf4YDFqsBydupVqJoJXIVQCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-17%2Bat%2B4.13.05%2BPM%2B%25282%2529.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-rlyk4TUNr_w/Xuoaymoq1YI/AAAAAAALuO8/lwLHpm0pSxcFmAmv34GVpBSUTsIwytxKwCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-17%2Bat%2B4.13.07%2BPM.jpeg)
Katika hati ya mashtaka iliyosomwa mahakamani hapo na wakili wa Serikali Ipyana Mwakatobe leo Juni 17, 2020 imewataja washtakiwa hao kuwa ni, Peter Mrema na Adam Yusuf ambao ni waajiriwa wa wizara kama wathamini wa ardhi katika ofisi ya Mthamini Mkuu.
Mbele ya Hakimu...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-Qv8FEattMUE/Xrlg-l1gCgI/AAAAAAABMDU/FaHG5nAuUqEowEq6a17m-2Pm-at-pC7XQCLcBGAsYHQ/s72-c/02.jpg)
MAENEO YANAYOZUNGUKA VITUO VYA TRENI YA MWENDOKASI KUWEKEWA MPANGO WA MATUMIZI BORA YA ARDHI
![](https://1.bp.blogspot.com/-Qv8FEattMUE/Xrlg-l1gCgI/AAAAAAABMDU/FaHG5nAuUqEowEq6a17m-2Pm-at-pC7XQCLcBGAsYHQ/s400/02.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-6TRP9U_K4Dw/Xrlg99dREPI/AAAAAAABMDQ/d5wrOaPh4qACEXgLqFiIB4j4rlLdo122QCLcBGAsYHQ/s400/03%2B%25281%2529.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Z123l9ok3so/VX60cKmr77I/AAAAAAAHfiE/eHCmY1HhU28/s72-c/02B.jpg)
WAZIRI LUKUVI AHIMIZA MPANGO SHIRIKISHI KUENDELEZA ARDHI KATA YA MAKONGO KWA MATUMIZI BORA NA ENDELEVU.
![](http://4.bp.blogspot.com/-Z123l9ok3so/VX60cKmr77I/AAAAAAAHfiE/eHCmY1HhU28/s640/02B.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-4J4Q1y5XcIY/VX60f1mm0HI/AAAAAAAHfiM/JTtVj23YFn8/s640/04.jpg)
10 years ago
Dewji Blog30 Oct
Dkt. Bilal afungua Kongamano la tano la Kimataifa la kujadili matumizi ya Nishati itokanayo na joto ardhi katika Nchi za Afrika
![3](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/330.jpg)