Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Waahidi nidhamu katika matumizi ya ardhi ya pori tengefu

WANANCHI wa kata saba wilayani Ngorongoro mkoani Arusha waliokubaliana kumaliza mgogoro wa pori tengefu la Loliondo lenye kilometa 1,500 za mraba, wamesema endapo maoni yao yatakubaliwa na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, watakuwa na nidhamu ya matumizi bora ya ardhi.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Dkt. Bilal afungua Kongamano la tano la Kimataifa la kujadili matumizi ya Nishati itokanayo na joto ardhi katika Nchi za Afrika

2

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akihutubia wakati akifungua rasmi Kongamano la Tano la Kimataifa la kujadili matumizi ya Nishati itokanayo na joto ardhi katika Nchi za Afrika zinazopitiwa na bonde la ufa. Kongamano hilo limeanza jana Oktoba 29, 2014 katika Ukumbi wa AICC Jijini Arusha. (Picha na OMR). 3 Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Stephen Masele, akizungumza kabla ya kumkaribisha mgeni rasmi Makamu wa Rais, Dkt Bilal, kufungua kongamano...

 

11 years ago

Mwananchi

Tuwe makini, tuzingatie nidhamu kwenye matumizi yetu

Kelele mbalimbali zinazohusu matumizi mabaya ya fedha za umma zimekuwa zikipigwa ndani na nje ya vikao vya Bunge.

 

10 years ago

Michuzi

MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AFUNGUA KONGAMANO LA TANO LA KIMATAIFA KUJADILI MATUMIZI YA NISHATI ITOKANAYO NA JOTO ARDHI KATIKA NCHI ZA AFRIKA ZINAZOPITIWA NA BONDE LA UFA

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akihutubia wakati akifungua rasmi Kongamano la Tano la Kimataifa la kujadili matumizi ya Nishati itokanayo na joto ardhi katika Nchi za Afrika zinazopitiwa na bonde la ufa. Kongamano hilo limeanza leo Oktoba 29, 2014 katika Ukumbi wa AICC Jijini Arusha. Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Stephen Masele, akizungumza kabla ya kumkaribisha mgeni rasmi Makamu wa Rais, Dkt Bilal, kufungua kongamano hilo. Baadhi ya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Diwani azuia matumizi ya ardhi

DIWANI wa Kata ya Wazo, Manispaa ya Kinondoni jijini Dar es Salaam, John Morro, ameitaka Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi pamoja na manispaa hiyo kutofanya lolote katika...

 

10 years ago

Dewji Blog

Ujumbe wizara ya ardhi wafurahia utendaji wa Nchi ya Singapore namna ya utawala bora katika ardhi

Ujumbe wa Waziri wa Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mheshimiwa William Lukuvi umemaliza ziara yake nchini Singapore huku ukiwa umejifunza mambo muhimu ikiwemo kuwepo utawala wa sheria katika usimamizi wa ardhi, kutokuwepo rushwa, nidhamu na uaminifu mkubwa wa watumishi wa umma, jamii inayopenda kujitegemea na usalama wa hali ya juu. Yafuatayo ni matukio ya ziara hiyo kwenye Mamlaka ya Uendelezaji wa Mji wa Singapore(URA) kama yalivyoratibiwa na Muungano Saguya.

NHC1

Ujumbe wa NHC...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wafugaji wataka matumizi bora ya ardhi

ASILIMIA 75 ya watanzania ni wafugaji hivyo serikali imeombwa kuharakisha mpango wa upimaji matumizi bora ya ardhi ili kuepuka migogoro ya wakulima na wafugaji inayorudisha nyuma juhudi za maendeleo. Rai...

 

10 years ago

Habarileo

Wanawake washauriwa matumizi mazuri ya ardhi

SHIRIKA lisilo la Kiserikali la Oxfam kupitia kampeni yake ya Grow limewataka wanawake kujali umuhimu wa utumiaji ardhi, ili kuongeza uzalishaji kwa faida yao binafsi na jamii kwa ujumla.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Serikali yahimizwa kuharakisha mpango wa matumizi ya ardhi

SERIKALI imetakiwa kuharakisha mpango wa matumizi bora ya ardhi katika vijiji 79 vilivyopo katika Wilaya Kisarawe mkoani Pwani kuepusha migogoro ya mipaka baina ya kijiji na kijiji. Wito huo ulitolewa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani