Waziri azuia ujenzi stendi ya Igumbilo
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais, Mazingira, Dk. Binilith Mahenge, ameuzuia kwa muda uongozi wa Halmashauri ya Manispaa ya Iringa kujenga stendi mpya ya mabasi yaendayo mikoani katika...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-nY7zc2FvKic/Xs4Y98FiuKI/AAAAAAALrq8/-uJWKnjhTUc21KSmgQ5NHdaVxRsHeioJQCLcBGAsYHQ/s72-c/furaha.jpg)
KAMPUNI YA ASAS YAKABIDHI STENDI KUU YA IGUMBILO NA STENDI YA ZAMANI MTAMBO WA KUNAWIA MIKONO
NA DENIS MLOWE,IRINGA
STENDI kuu ya Igumbilo na stendi ya zamani zimekabidhiwa msaada wa mashine ya kunawia mikono ya kisasa kutoka kwa kampuni ya Asas ya mjini Iringa ikiwa ni mwendelezo wa kampuni hiyo kusaidia jamii kupambana na kuenea kwa virusi vya coroni mkoani hapa.
Msaada huo wa mashine mbili za kisasa ambazo zinazinatumia miguu kuweza kutoa maji na vitakasa mikono ni kubwa zinazoweza kuhudumia watu zaidi ya watano kwa wakati mmoja zimekabidhiwa na mwakilishi wa kampuni hiyo, Afisa...
11 years ago
Habarileo26 May
Serikali yazuia Iringa kujenga stendi Igumbilo
SERIKALI imefanya uamuzi mgumu kwa Halmashauri ya Manispaa ya Iringa kuzuia mpango wake wa kujenga stendi mpya ya mabasi ya mikoani katika eneo linalolalamikiwa na wadau wa mazingira la Igumbilo, mjini hapa.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-JXAUIgTHQRE/Xq_2ejQ7rLI/AAAAAAALpBU/wQEbcsaCJB06kXO-xON89cNnwxhmP72qwCLcBGAsYHQ/s72-c/RPC%252BMbeya.jpg)
KAMANDA MATEI,AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA STENDI, AZUIA SAFARI KWA BAADHI YA MABASI YA ABIRIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-JXAUIgTHQRE/Xq_2ejQ7rLI/AAAAAAALpBU/wQEbcsaCJB06kXO-xON89cNnwxhmP72qwCLcBGAsYHQ/s640/RPC%252BMbeya.jpg)
Katika ukaguzi huo alikuta Mabasi matatu ya abiria yenye namba za usajili...
9 years ago
Mwananchi19 Dec
DED Kahama afafanua ujenzi stendi mpya
Halmashauri ya Mji wa Kahama mkoani Shinyanga, imetoa ufafanuzi juu ya ujenzi wa stendi mpya ya mabasi itakayojengwa eneo la Mbulu baada ya iliyopo kulemewa na wingi wa magari, hali inayosababisha kuwapo kwa msongamano. Â Â Â
10 years ago
GPLUJENZI STENDI YA MABASI YAENDAYO KASI WAENDELEA
Ujenzi wa stendi ya mabasi yaendayo kasi ukiendelea eneo la Kariakoo. Mafundi wakiwa kazini. Taswira ya eneo hilo.…
5 years ago
MichuziMAKAMU WA RAIS AZINDUA JENGO LA TTCL, AWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA STENDI BARIADI
10 years ago
Mwananchi11 Mar
Waziri Samuel Sitta azuia mabehewa 124 akihofia ufisadi
>Waziri wa Uchukuzi, Samuel Sitta amezuia uingizaji wa mabehewa 124 ya mizigo yaliyobaki katika zabuni iliyofanywa na Kampuni ya Reli Tanzania (TRL), hadi pale uchunguzi wa tuhuma za ufisadi katika manunuzi hayo utakapokamilika.
11 years ago
MichuziWAZIRI WA UJENZI DK. MAGUFULI AIFAGILIA NSSF UJENZI WA DARAJA LA KIGAMBONI
WAZIRI wa Ujenzi, Dk. John Magufuli, ameusifu Mfuko wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) kwa kuhakikisha wanasimamia ujenzi wa daraja la Kigamboni.
Ujenzi wa daraja hilo umekamilika kwa asilimia 60 ambapo mpaka sasa NSSF imetoa sh. bilioni 117 kati ya Bilioni 214 zitakazokamilisha ujenzi wa daraja hilo.
Akizungumza leo jijini Dar es salaam, alipotembelea daraja kuona namna ujenzi unavyoendelea, Dk. Magufuli alisema kuwa ujenzi wa daraja hilo umekutana na changamoto nyingi ikiwemo kina kilichokuwa...
Ujenzi wa daraja hilo umekamilika kwa asilimia 60 ambapo mpaka sasa NSSF imetoa sh. bilioni 117 kati ya Bilioni 214 zitakazokamilisha ujenzi wa daraja hilo.
Akizungumza leo jijini Dar es salaam, alipotembelea daraja kuona namna ujenzi unavyoendelea, Dk. Magufuli alisema kuwa ujenzi wa daraja hilo umekutana na changamoto nyingi ikiwemo kina kilichokuwa...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania