Fifa yaliibua upya suala la Okwi
![](http://api.ning.com:80/files/iAT0B9wCR3Be3f79bn9IqROR6UibOBH0CTeXFDSRkVCODYJv0L3Ix6oIgpG*rDDO30IZ9Twbkw00lZw32FxzkI8Xs*0cgYqq/fifa.jpg?width=650)
Mshambuliaji wa Yanga, Emmanuel Okwi (kulia) mwenye mpira akijiandaa kuwatoka mabeki wa timu ya Mtibwa Sugar. Na Said Ally SHIRIKISHO la Soka la Kimataifa (Fifa), limetuma barua nyingine kwa Simba ambayo inamzungumzia mshambuliaji wa Yanga, Emmanuel Okwi. Barua hiyo ambayo ni ya pili ndani ya miezi miwili, inaeleza kuwa lazima Simba italipwa fedha zake dola 300,000 (Sh milioni 480). Awali, Fifa iliiandikia barua Simba ikidai...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLSUALA LA OKWI KUSAINI SIMBA, MANJI ACHARUKA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/A8I8pebmYzpknEUVxipRxskGOtvbNm7RLWakNaiknPE-6-CbtGPNtDSNk*8FngOfhKkKQFuq4hH0HORf0r2JTglkZtZHguva/FIFA.gif?width=650)
Fifa: Okwi rukusa Yanga
11 years ago
Mwananchi19 Dec
Fufa yamuulizia Okwi Fifa
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/wxWEJX1q6dYFtwJp1xk62Fby0yigbfC31dQrcb6YtwvNPJX5-C5PBlBOIvxa2SdByksX36h-twQU*XUFEr4hzjejpYZ68J4q/OKWI.gif?width=650)
FIFA: OKWI RUKSA YANGA
10 years ago
Mtanzania09 Sep
Yanga kumburuza Okwi FIFA
![Emmanuel Okwi](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/Emmanuel-Okwi.jpg)
Mshambuliaji wa zamani wa klabu ya Yanga, Emmanuel Okwi
NA ZAITUNI KIBWANA, DAR ES SALAAM
UONGOZI wa timu ya Yanga unakusudia kuwasilisha malalamiko yao katika Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA), kupinga Kamati ya Sheria na Hadhi za Wachezaji kumuidhinisha Okwi kuichezea Simba.
Kamati hiyo chini ya Mwenyekiti wake, Richard Shinamkutwa, ilikutana juzi kujadili usajili huo uliozua utata na kumuidhinisha Okwi kama mchezaji huru, akiwemo beki, Abdi Banda wa Coastal Union, aliyeidhinishwa pia...
10 years ago
Mwananchi24 Sep
Jaja afuta kesi ya Okwi Fifa
11 years ago
TheCitizen15 Feb
Okwi happy after Fifa clears him for Yanga
11 years ago
Mwananchi14 Feb
Fifa yabariki Okwi kuchezea Yanga
11 years ago
Mwananchi17 Dec
Simba kulipeleka sakata la Okwi Fifa