MADAI YA KUBEBA UNGA: RAY C AJISALIMISHA POLISI
![](http://api.ning.com:80/files/FkLMylrJqnVvgbjB9CsruVh-KDufv1lBG9rYylQElyW5tyZIY7S-SVKMSFcXTWxK3V*kGI6B03X-iHLHOdRSBTdjd-VssJX-/2.jpg)
Stori Na Musa Mateja/Ijumaa Wikienda BAADA ya kukiri kwa mdomo wake kutumia madawa ya kulevya ‘unga’ na baadaye ‘kustaafu’, madawa hayohayo yamemletea msanii Rehema Chalamila ‘Ray C’ ‘msala’ ambao umemfanya yeye mwenyewe, kwa hiyari yake ajisalimishe polisi. Msanii wa Bongo Fleva, Rehema Chalamila ‘Ray C’ akiwa Hospitali ya Mwananyamala . Hivi karibuni, Ray C...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/YIi6je0KpJMmK-jsJehv5enu9SStPZ4G*0S-aYEH5EkcceM43jDHcC8RIJb*hwFUhNmnYJ4Me29LZaEwcSiZQha2VaeJB*MR/Kinyaiya.jpg)
KINYAIYA AFUNGUKA MADAI YA KUUZA UNGA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mL7vEimd6q1LCss*aQZjpjdwtE74wpoWIk-Ctsc26OAo99cJkwyuanN90JVOxcKg0PSn0HAHyJfW7LwlmM02eqks4YuLPHRp/rayc2.jpg)
UNGA WAZIDI KUMTESA RAY C
10 years ago
GPL![](http://i0.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/01/Ray-CCCCC.jpg?resize=428%2C399&width=650)
RAY C AWAPA SOMO LA UNGA KIBA, DIAMOND
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/UQSvRDwuxJImsD-5z-hyq3A95jSU2pGiaIK-LLVEFEZMIDwp6zIeLSGzUGgjjbu72NWzEtO6YbxUUvOpS*w6dqWpT4BbFDKr/gwajima.jpg?width=650)
MCHUNGAJI GWAJIMA AJISALIMISHA POLISI
10 years ago
StarTV30 Dec
Mtuhumiwa ajisalimisha Polisi Geita.
Na Salma Mrisho,
Geita.
Waendesha Pikipiki mjini Geita wameizingira ofisi ya Polisi Mkoa baada ya mtu wanayemtuhumu kuhusika kwenye matukio ya wizi na mauaji ya waendesha bodaboda kukimbilia polisi kujisalimisha.
Waendesha bodaboda hao ambao wamekaa kwa muda nje ya ofisi hiyo wamefikia maamuzi ya kwenda nyumbani kwa mtuhumiwa ili wachome nyumba yake wakidai mtuhumiwa huyo amekuwa akikamatwa na kuachiwa.
Ilikuwa ni majira ya saa tatu asubuhi waendesha wakija mmojammoja nje ya ofisi ya...
11 years ago
Mwananchi20 Jan
Mgombea Chadema ajisalimisha polisi
11 years ago
Habarileo07 Feb
Mbunge Lema ajisalimisha Polisi
MBUNGE wa Arusha Mjini, Godbless Lema amejisalimisha Polisi jijini hapa, ingawa amesema hawezi kuhojiwa kwa kuwa wakili wake hayupo. Lema alisema hayo leo jijini hapa wakati akitoka Kituo Kikuu cha Polisi .
10 years ago
Mwananchi19 Sep
Mbowe ajisalimisha polisi, Shughuli zasimama
10 years ago
Mwananchi28 Mar
Gwajima ajisalimisha polisi, atakiwa kwa DC