Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Alikiba adai album yake Cinderella iliuza kopi milioni 2

12120276_163762000643678_1906855536_n

Hitmaker wa Chekecha Cheketua, Alikiba amesema album yake ya kwanza, Cinderella ilivunja rekodi na kuuza ‘double platinum’ (nakala milioni mbili).

12120276_163762000643678_1906855536_n

Akizungumza katika kipindi cha XXL cha Clouds FM, Alikiba alisema mpaka leo hajasikia kama rekodi hiyo imevunjwa.

“Kiukweli album yangu ya kwanza ya Cinderella ndio ilivunja rekodi na sijasikia mpaka leo kama rekodi hiyo imevunjwa,” alisema. “Sijui (nakala) ni milioni mbili vile, kitu kama hicho, kila album ilikuwa inauzwa mia mbili,” alisema...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Album ya Flavour ‘Thankful’ yauza kopi milioni 1 ndani ya siku 5!

Album mpya ya msanii wa Nigeria, Flavour iitwayo Thankful iliyotoka November 14, imeuza kopi milioni moja hadi sasa, kwa mujibu wa mitandao ya Nigeria. Album hiyo ilitoka bila promo wala matangazo yoyote, kama alivyofanya Beyonce. Kwa mujibu wa kampuni ya Obaino Music, inayohusika katika uuzaji wa album hiyo yenye nyimbo 21, hadi jana Jumatano walikuwa […]

 

10 years ago

Bongo5

Tyga atangaza tarehe ya kuachia album yake mpya ‘The Gold Album’

Baada ya rapper Tyga kuitupia lawama label yake ya Young Money (YMCMB) hivi karibuni kuwa inambania album yake kutoka, rapper huyo ametumia Twitter kutangaza tarehe ya kutoka album yake inayoitwa “The Gold Album” ambayo sasa itatoka mwezi ujao. Kupitia Twitter Tyga ameandika sasa album hiyo itatoka siku mbili kabla ya sikukuu ya Christmas Dec 23. […]

 

11 years ago

Tanzania Daima

Alikiba adai hajaishiwa

STAA wa Bongo fleva nchini, Ally Kiba ‘Alikiba’, amesema kukaa kwake kimya katika ‘game’ sio kwamba ameishiwa, amejaribu kuwaachia wenzie wafanye kazi na kwamba anatumia muda huo kulisoma soko la...

 

9 years ago

Bongo5

Alikiba adai ‘Chekecha’ imekuwa dhahabu kwake

12120276_163762000643678_1906855536_n

Alikiba amedai kuwa wimbo wake, ‘Chekecha Cheketua’, ndio wimbo uliopokewa vizuri kuliko nyimbo zake zote alizowahi kutoa.

12120276_163762000643678_1906855536_n

Muimbaji huyo ambaye pia ni balozi wa shirika la kimaifa la WildAid, ameiambia BBC kuwa wimbo huo uliweza kuhit ndani ya siku moja.

“Nyimbo yangu ya ‘Chekecha’ jinsi ilivyopokewa haijawahi kutokea katika maisha yangu ya kimuziki toka naanza. Chekecha kiukweli ilichukua siku moja kuhit,” alisema.

Katika mahojiano hayo pia Kiba aliulizwa kuhusu mpango wake wa kujitanua...

 

9 years ago

Bongo5

Cassim adai anaamini biashara ya album itarejea tena

Cassim Mganga amedai kuwa pamoja na biashara ya album kufa, dalili zinaonesha kuwa mbeleni itarejea tena. Cassim ameiambia Bongo5 kuwa kwa sasa wimbo mmoja ukiusimamia vizuri unaweza ukakulipa zaidi ya album. “Kama mwanamuziki lazima uwe na album lakini sasa hivi biashara ya album imekuwa ngumu sana. Watu wanapata pesa za kuendesha maisha kupitia shows. Kwahiyo […]

 

10 years ago

Bongo5

Nyimbo 2 za Nicki Minaj zavuja siku chache kabla ya album yake kutoka, moja ni collabo yake na Beyonce (zisikilize)

Ikiwa ni siku 4 zimesalia kabla album ya Nicki Minaj iitwayo ‘The Pinkprint’ itoke, nyimbo mbili kutoka kwenye album hiyo zimevuja. Moja ya nyimbo hizo ni collabo yake na Beyonce ‘Feeling Myself’, wimbo ambao wote wawili wamezungumzia mafanikio yao. Wimbo mwingine uliovuja kutoka kwenye album hiyo ni ‘Get On Your Knees’ aliomshirikisha Ariana Grande. The […]

 

9 years ago

Bongo5

Aslay adai asilimia 60 ya mafanikio yake yametokana na marehemu mama yake

Muibaji wa kundi la Yamoto Band, Aslay Isihaka aliyefiwa na mama yake mzazi hivi karibuni, amesema mafaniko aliyopata katika muziki wake yametokana na mama yake. Aslay ameiambia Bongo5 kuwa mama yake ndio alikuwa akimsihi na kumtia moyo katika muziki wake. “Wakati naanza muziki kabisa nafikiri mama yangu ndio alikuwa ani-support kwa kusema ‘mwanangu nenda huku […]

 

9 years ago

Bongo5

Keko aitaka lebo yake, Sony Music Africa imwachie aende, adai imekwamisha mambo yake

21362c1c39-KEKO-NU

Rapper wa Uganda, Keko anaitaka lebo yake, Sony Music Africa imwachie aende zake.

21362c1c39-KEKO-NU

Rapper huyo Ijumaa hii ametoa malalamiko yake kupitia Twitter kwa madai kuwa hajawahi kuwa na furaha kwenye mkataba huo wa miaka minne sasa.

Amedai kuwa Sony wamekuwa wazito kuachia nyimbo zake na hivyo kuwaangusha mashabiki wake.

“Nadhani ni bora kwa mashabiki niondoke Sony,” ameandika.

Hivi ndivyo alivyoandika:

I want @SonyMusicAfrica to release me from that contract because I’ve clearly been unhappy close...

 

9 years ago

Bongo5

Exclusive: Sauti Sol waeleza kwanini hawajaweka collabo walizorekodi na Alikiba, Vanessa Mdee na Joh Makini kwenye album yao mpya

Sauti-Sols-Album-Cover

Kundi la Sauti Sol kutoka Kenya wiki hii wametoa cover pamoja na orodha ya nyimbo zitakazokuwemo kwenye album yao mpya, ‘Live And Die In Afrika’ itakayozinduliwa kwa vyombo vya habari Ijumaa ya Novemba 20.

Sauti-Sols-Album-Cover

Baada ya mimi binafsi kuiona ‘tracklist’ ya album hiyo yenye nyimbo 15, nilipata maswali kuhusu kwanini hawajaweka nyimbo walizowashirikisha wasanii wa Tanzania kwenye album yao.

sauti tracklist

Katika mahojiano waliyofanya na kipindi cha Mseto cha Radio Citizen na Willy M.Tuva mwezi August, 2015,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani