Alikiba adai ‘Chekecha’ imekuwa dhahabu kwake
Alikiba amedai kuwa wimbo wake, ‘Chekecha Cheketua’, ndio wimbo uliopokewa vizuri kuliko nyimbo zake zote alizowahi kutoa.
Muimbaji huyo ambaye pia ni balozi wa shirika la kimaifa la WildAid, ameiambia BBC kuwa wimbo huo uliweza kuhit ndani ya siku moja.
“Nyimbo yangu ya ‘Chekecha’ jinsi ilivyopokewa haijawahi kutokea katika maisha yangu ya kimuziki toka naanza. Chekecha kiukweli ilichukua siku moja kuhit,” alisema.
Katika mahojiano hayo pia Kiba aliulizwa kuhusu mpango wake wa kujitanua...
Bongo5
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima28 Jun
Alikiba adai hajaishiwa
STAA wa Bongo fleva nchini, Ally Kiba ‘Alikiba’, amesema kukaa kwake kimya katika ‘game’ sio kwamba ameishiwa, amejaribu kuwaachia wenzie wafanye kazi na kwamba anatumia muda huo kulisoma soko la...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-qcd4kbZX2xk/Xs6Kuym4Z7I/AAAAAAALrxw/dskCIiFcmB4nb7hQ3S7ImCoBrACJTtGewCLcBGAsYHQ/s72-c/rBEevF0dn4qANE7rAAKBBCyTwuw389.jpg)
MWIJAKU ADAI NASEEB JR NI WA KWAKE
Na.Khadija seif, Michuzi tv
MSEMAJI wa mitandaoni na msanii wa tamthilia Ally a.k.a MWIJAKU amewataka wasanii na watu wenye michango katika jamii kushukuru na kuendelea kuunga mkono juhudi za serikali dhidi ya maambukizi ya ugonjwa wa covid 19 (Corona).
Akizungumza na waandishi wahabari jijini Dar es salaam Mwijaku amesema ugonjwa umepoteza watu kadhaa ,lakini serikali imeendelea kutoa tahadhari jinsi ya kujikinga na ugonjwa huo.
"Rais wetu Magufuli amekua mstari wa mbele kuhakikisha...
9 years ago
Bongo512 Nov
Alikiba adai album yake Cinderella iliuza kopi milioni 2
![12120276_163762000643678_1906855536_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/12120276_163762000643678_1906855536_n-300x194.jpg)
Hitmaker wa Chekecha Cheketua, Alikiba amesema album yake ya kwanza, Cinderella ilivunja rekodi na kuuza ‘double platinum’ (nakala milioni mbili).
Akizungumza katika kipindi cha XXL cha Clouds FM, Alikiba alisema mpaka leo hajasikia kama rekodi hiyo imevunjwa.
“Kiukweli album yangu ya kwanza ya Cinderella ndio ilivunja rekodi na sijasikia mpaka leo kama rekodi hiyo imevunjwa,” alisema. “Sijui (nakala) ni milioni mbili vile, kitu kama hicho, kila album ilikuwa inauzwa mia mbili,” alisema...
9 years ago
Bongo522 Oct
Sugu adai matarajio kuwa angesaidia wasanii ilikuwa changamoto kubwa kwake
9 years ago
Bongo508 Oct
Akon adai hajutii kuacha kumsainisha Drake kwenye label yake alipotambulishwa kwake mwaka 2005
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/741FtnVWixasCg12y5XrvTINbG0dysiZqT9CnB6TCSMrGraTFEXwHkbkynLfW2d*-RwfExmAVDze6I9q9TA1esTm0nm8rr26/MissUdsm.jpg)
NALE: KUDANGANYA UMRI IMEKUWA FASHENI
11 years ago
Mwananchi12 Jun
Bajeti yetu imekuwa ya mazoea mno
10 years ago
Mwananchi12 Apr
Hii sasa imekuwa nchi ya dharura
11 years ago
Tanzania Daima16 Jan
Sera ya Kilimo Kwanza imekuwa kitendawili
TANGU Tanzania ipate Uhuru mwaka 1961 kuna sera mbalimbali za kilimo zimekuwa zikitolewa ili kukiendeleza na hatimaye kuondoa umaskini kwa Watanzania. Miongoni mwa sera hizo ni Siasa ni Kilimo, Kilimo...