MWIJAKU ADAI NASEEB JR NI WA KWAKE
![](https://1.bp.blogspot.com/-qcd4kbZX2xk/Xs6Kuym4Z7I/AAAAAAALrxw/dskCIiFcmB4nb7hQ3S7ImCoBrACJTtGewCLcBGAsYHQ/s72-c/rBEevF0dn4qANE7rAAKBBCyTwuw389.jpg)
Na.Khadija seif, Michuzi tv
MSEMAJI wa mitandaoni na msanii wa tamthilia Ally a.k.a MWIJAKU amewataka wasanii na watu wenye michango katika jamii kushukuru na kuendelea kuunga mkono juhudi za serikali dhidi ya maambukizi ya ugonjwa wa covid 19 (Corona).
Akizungumza na waandishi wahabari jijini Dar es salaam Mwijaku amesema ugonjwa umepoteza watu kadhaa ,lakini serikali imeendelea kutoa tahadhari jinsi ya kujikinga na ugonjwa huo.
"Rais wetu Magufuli amekua mstari wa mbele kuhakikisha...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo516 Dec
Alikiba adai ‘Chekecha’ imekuwa dhahabu kwake
![12120276_163762000643678_1906855536_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/12120276_163762000643678_1906855536_n-300x194.jpg)
Alikiba amedai kuwa wimbo wake, ‘Chekecha Cheketua’, ndio wimbo uliopokewa vizuri kuliko nyimbo zake zote alizowahi kutoa.
Muimbaji huyo ambaye pia ni balozi wa shirika la kimaifa la WildAid, ameiambia BBC kuwa wimbo huo uliweza kuhit ndani ya siku moja.
“Nyimbo yangu ya ‘Chekecha’ jinsi ilivyopokewa haijawahi kutokea katika maisha yangu ya kimuziki toka naanza. Chekecha kiukweli ilichukua siku moja kuhit,” alisema.
Katika mahojiano hayo pia Kiba aliulizwa kuhusu mpango wake wa kujitanua...
9 years ago
Bongo522 Oct
Sugu adai matarajio kuwa angesaidia wasanii ilikuwa changamoto kubwa kwake
9 years ago
Bongo508 Oct
Akon adai hajutii kuacha kumsainisha Drake kwenye label yake alipotambulishwa kwake mwaka 2005
11 years ago
Mwananchi26 Jul
Naseeb Abdul (Diamond): Starehe lina mchango mkubwa katika maisha yangu
10 years ago
CloudsFM07 Aug
Mtoto wa Diamond Latiffah Naseeb Abdul Aanza Maisha ya Ustaa Akiwa Hajamaliza Hata Siku Tangu Azaliwe
![](http://1.bp.blogspot.com/-Ag3NIa_-t2M/VcRE35OqZnI/AAAAAAAAzBM/LWpTy8p1hZ0/s400/lafifa.jpg)
Latiffah aka Tiffah hajamaliza hata siku moja lakini tayari ni staa si tu kwenye mitandao ya kijamii na vyombo vya habari bali hata kwenye midomo ya watu wanaofuatilia burudani barani Afrika.
Wazazi wake mwenyewe wanamuita ‘The Next Most Famous Daughter in Africa.’ Kwa ukubwa wa Diamond Platnumz na mama yake Zari Ttale, hakuna ubishi kuwa Tiffah ana kila sifa ya kuja kuwa ‘binti maarufu zaidi barani Afrika.
Ikiwa ni saa chache tu tangu kuzaliwa kwake, akaunti yake ya Instagram iliyofunguliwa...