Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sera ya Kilimo Kwanza imekuwa kitendawili

TANGU Tanzania ipate Uhuru mwaka 1961 kuna sera mbalimbali za kilimo zimekuwa zikitolewa ili kukiendeleza na hatimaye kuondoa umaskini kwa Watanzania. Miongoni mwa sera hizo ni Siasa ni Kilimo, Kilimo...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

11 years ago

TheCitizen

Kilimo kwanza: where did we lose the plot?

When Kilimo Kwanza came into being in June 2009, there was an expectation that the sector--which employs an estimated 80 per cent of Tanzanians of working age--would finally get the much-needed boost.

 

5 years ago

Michuzi

WAZIRI HASUNGA AITAKA IDARA YA SERA NA MIPANGO KUANISHA KIASI GANI CHA FEDHA KILICHOWEKEZWA KWENYE KILIMO

Waziri wa Kilimo Mhe Japhet Hasunga (Mb) akisisitiza jambo wakati akizungumza na watumishi wa idara ya Sera na Mpingo katika ukumbi wa Wizara hiyo maarufu kama KILIMO IV Jijini Dodoma leo tarehe 22 Aprili 2020. (Picha Zote Na Mathias Canal, Wizara ya Kilimo)Waziri wa Kilimo Mhe Japhet Hasunga (Mb) akisisitiza jambo wakati akizungumza na watumishi wa idara ya Sera na Mpingo katika ukumbi wa Wizara hiyo maarufu kama KILIMO IV Jijini Dodoma leo tarehe 22 Aprili 2020, Mwingine pichani ni Naibu...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kijiwe: Matanuzi kwanza, kilimo mwisho

BAADA ya kunyaka nyuzi kuwa katika libajeti la hovyo linalojadiliwa baada ya kuletwa na Saada Mkuyati kuwa ofisi ya rahisi imepangiwa njuluku sawa na za kilimo, Kijiwe kimeamua kutoa shinikizo...

 

10 years ago

StarTV

‘Mpango wa Kilimo kwanza huenda usifanikiwe’.

Na Oliver Motto, Iringa.

Mpango wa Kilimo kwanza unadaiwa kuwa huenda usifanikiwe iwapo wananchi hawatapatiwa elimu ya kutosha kuhusiana na madhara ya uuzaji holela wa ardhi ambayo ni tegemeo na msingi katika kuendesha kilimo.

Hatua hiyo inakuja kutokana na kuwepo kwa migogoro ya ardhi inayosababishwa na baadhi ya wananchi ambao huuza au kugawa ardhi na hivyo kujikuta wakikosa hata maeneo ya kuendeshea shughuli za kilimo.

Ardhi ni moja ya rasilimali ambayo kila uchao imekuwa ikiongezeka...

 

11 years ago

TheCitizen

Small farmers receive four tractors for Kilimo Kwanza

>Smallholders in Ganako Village, Karatu District, Arusha Region have been given four tractors, worth Sh170 million, to improve farming under the Kilimo Kwanza Initiative.

 

10 years ago

Dewji Blog

Mratibu wa Elimu Kigamboni; Sera mpya ya elimu yahitaji maandalizi kwanza

DSC_0103

Kaimu Afisa Elimu Manispaa ya Temeke, Angelina Ngasazwa akizungumza kwenye hafla ya kukabidhi madawati 50 na majengo mawili yaliyokarabatiwa na umoja wa jamii ya watu kutoka India Bengali waliopo hapa Tanzania, BANGO SANGHO katika shule ya msingi Kibugumo iliyopo Kigamboni jijini Dar hivi karibuni.

Na modewji blog team

Sera mpya ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi ya mwaka 2014, iliyozinduliwa na Rais Dk. Jakaya Kikwete, Februari 13 mwaka huu, wadau mbalimbali wameanza kuonyesha wasiwasi wao juu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani