Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘Mpango wa Kilimo kwanza huenda usifanikiwe’.

Na Oliver Motto, Iringa.

Mpango wa Kilimo kwanza unadaiwa kuwa huenda usifanikiwe iwapo wananchi hawatapatiwa elimu ya kutosha kuhusiana na madhara ya uuzaji holela wa ardhi ambayo ni tegemeo na msingi katika kuendesha kilimo.

Hatua hiyo inakuja kutokana na kuwepo kwa migogoro ya ardhi inayosababishwa na baadhi ya wananchi ambao huuza au kugawa ardhi na hivyo kujikuta wakikosa hata maeneo ya kuendeshea shughuli za kilimo.

Ardhi ni moja ya rasilimali ambayo kila uchao imekuwa ikiongezeka...

StarTV

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

StarTV

Kilimo cha kahawa hai Waliokitelekeza huenda wakachukuliwa hatua

Serikali kwa kushirikiana na uongozi wa vyama vya Msingi vya ushirika wilayani Hai mkoani Kilimanjaro huenda vikaanza kuwachukulia hatua za kisheria wawekezaji wote waliotelekeza kilimo cha Kahawa na kuanzisha kilimo cha mazao ya nafaka na Maua.

Hatua hiyo imefikiwa kutokana na kuendelea kuzorota kwa uzalishaji wa zao hilo kongwe ambalo lilikuwa ni uti wa mgongo kwa wazawa wa mkoa wa Kilimanjaro.

Katka kikao maalumu kilichowakutanisha viongozi wa vyama vya msingi vya ushirika na wawekezaji...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mpango wa BRN kuboreha kilimo

KILIMO ni uti wa mgongo, hivyo jamii inapaswa kujishughulisha na kilimo ili kuleta maendeleo katika taifa. Asilimia 80 ya Watanzania wanajishughulisha na kilimo ingawa kuna changamoto nyingi wanazokumbana nazo. Miongoni...

 

11 years ago

Habarileo

JK afurahishwa na mpango wa kilimo wa Askofu Gamanywa

Rais Jakaya KikweteRAIS Jakaya Kikwete, amewashauri vijana kuchangamkia fursa za kilimo cha kisasa katika Mpango wa Mtandao wa Vikundi vya Maadili na Uchumi Tanzania (MVIMAUTA).

 

10 years ago

Michuzi

11 years ago

TheCitizen

Kilimo kwanza: where did we lose the plot?

When Kilimo Kwanza came into being in June 2009, there was an expectation that the sector--which employs an estimated 80 per cent of Tanzanians of working age--would finally get the much-needed boost.

 

10 years ago

GPL

VODAFONE YAZINDUA MPANGO WA KILIMO KLUB KUWAKOMBOA WAKULIMA WADOGO

Mtama ukiwa umestawi vizuri katika moja ya shamba, hivi leo Kampuni ya mawasiliano ya Vodafone imezindua mpango  maalumu  wa kuboresha maisha ya wakulima wadogo wa Kilimo Klub utakaoanza kutekelezwa Tanzania. Zabibu zikiwa zimestawi vizuri katika moja ya shamba Dodoma vijijini kufuatia kilimo bora na cha kisasa, kilimo hichi kinaongezewa nguvu na kampuni ya Vodafone.… ...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kijiwe: Matanuzi kwanza, kilimo mwisho

BAADA ya kunyaka nyuzi kuwa katika libajeti la hovyo linalojadiliwa baada ya kuletwa na Saada Mkuyati kuwa ofisi ya rahisi imepangiwa njuluku sawa na za kilimo, Kijiwe kimeamua kutoa shinikizo...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Sera ya Kilimo Kwanza imekuwa kitendawili

TANGU Tanzania ipate Uhuru mwaka 1961 kuna sera mbalimbali za kilimo zimekuwa zikitolewa ili kukiendeleza na hatimaye kuondoa umaskini kwa Watanzania. Miongoni mwa sera hizo ni Siasa ni Kilimo, Kilimo...

 

11 years ago

TheCitizen

Small farmers receive four tractors for Kilimo Kwanza

>Smallholders in Ganako Village, Karatu District, Arusha Region have been given four tractors, worth Sh170 million, to improve farming under the Kilimo Kwanza Initiative.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani