Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mpango wa BRN kuboreha kilimo

KILIMO ni uti wa mgongo, hivyo jamii inapaswa kujishughulisha na kilimo ili kuleta maendeleo katika taifa. Asilimia 80 ya Watanzania wanajishughulisha na kilimo ingawa kuna changamoto nyingi wanazokumbana nazo. Miongoni...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

JK afurahishwa na mpango wa kilimo wa Askofu Gamanywa

Rais Jakaya KikweteRAIS Jakaya Kikwete, amewashauri vijana kuchangamkia fursa za kilimo cha kisasa katika Mpango wa Mtandao wa Vikundi vya Maadili na Uchumi Tanzania (MVIMAUTA).

 

10 years ago

StarTV

‘Mpango wa Kilimo kwanza huenda usifanikiwe’.

Na Oliver Motto, Iringa.

Mpango wa Kilimo kwanza unadaiwa kuwa huenda usifanikiwe iwapo wananchi hawatapatiwa elimu ya kutosha kuhusiana na madhara ya uuzaji holela wa ardhi ambayo ni tegemeo na msingi katika kuendesha kilimo.

Hatua hiyo inakuja kutokana na kuwepo kwa migogoro ya ardhi inayosababishwa na baadhi ya wananchi ambao huuza au kugawa ardhi na hivyo kujikuta wakikosa hata maeneo ya kuendeshea shughuli za kilimo.

Ardhi ni moja ya rasilimali ambayo kila uchao imekuwa ikiongezeka...

 

10 years ago

GPL

VODAFONE YAZINDUA MPANGO WA KILIMO KLUB KUWAKOMBOA WAKULIMA WADOGO

Mtama ukiwa umestawi vizuri katika moja ya shamba, hivi leo Kampuni ya mawasiliano ya Vodafone imezindua mpango  maalumu  wa kuboresha maisha ya wakulima wadogo wa Kilimo Klub utakaoanza kutekelezwa Tanzania. Zabibu zikiwa zimestawi vizuri katika moja ya shamba Dodoma vijijini kufuatia kilimo bora na cha kisasa, kilimo hichi kinaongezewa nguvu na kampuni ya Vodafone.… ...

 

5 years ago

Michuzi

WAZIRI DK.MPANGO ASEMA SERIKALI INAPENDEKEZA KUSAMEHE KODI YA ONGEZEKO LA THAMAN I(VAT) KATIKA BIMA YA KILIMO CHA MAZAO


Na Said Mwishehe,Michuzi TV.
WAZIRI wa Fedha na Mipango Dk.Philip Mpango amesema kuwa Katika Bajeti ya Fedha ya mwaka 2020/2021,Serikali inapendekeza kusamehe Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT) kwenye bima ya kilimo cha mazao. 
Dk.Mpango amesema hayo leo Bungeni Mjini Dodoma wakati anawasilisha Bajeti Kuu ya Serikali yenye jumla ya Sh.Trilioni 34.88 ambapo katika eneo hilo la kusamehe kodi amefafanua lengo ni kupunguza gharama na kutoa unafuu katika bima za kilimo kwa ajili ya kuwawezesha...

 

11 years ago

GPL

OFISI YA TAIFA YA TAKWIMU YAWASILISHA MPANGO MKAKATI WA TAKWIMU ZA KILIMO KWA WADAU.

Mkurugenzi wa Takwimu za Uchumi wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu Bw. Morrice Oyuke  akizungumza na wadau mbalimbali  wakati wa kujadili Mpango Mkakati wa Takwimu za Kilimo leo jijini Dar es salaam. Mpango huo utaiwezesha Ofisi ya Taifa ya Takwimu kukusanya takwimu sahihi zinazokidhi viwango vya ndani na vile vya kimataifa.
Mwakilishi wa Shirika la Chakula Duniani (FAO) nchini Tanzania Bi. Diana Tampelman  akizungumza na...

 

10 years ago

Michuzi

warsha ya siku moja kujadili mpango mkakati wa Maendeleo wa miaka 25 ya benki ya Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania yafanyika jijini Dar

Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) Thomas Samkyi akizungumza katika warsha juu ya kujadili mpango wa maendeleo wa taasisi hiyo kwa miaka 25 ijayo. Warsha hiyo ilifanyika hoteli ya Kilimanjaro Hyatt Regency, Dar es Salaam.Mkuu wa Mipango, Sera na Ushirikiano wa Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania, Francis Assenga akizungumza na wadau katika mkutano huo.Wadau wa sekta ya kilimo, uvuvi na ufugaji wakifuatilia warsha ya mpango wa maendeleo wa miaka 25 wa benki...

 

11 years ago

Michuzi

WARSHA YA UBORESHAJI WA KILIMO CHA APPLES MAKETE KWA MAAFISA KILIMO YAFUNGULIWA

Mkuu wa wilaya ya Makete Mh. Josephine Matiro akizungumza wakati akifungua warsha kwa wataalamu wa kilimo katika ukumbi wa halmashauri ya wilaya ya Makete hii leo.  Mwezeshaji kutoka shirika ka TAHA Bw. Isaac Ndamanhyilu akizungumza kwenye warsha hiyo.  Mkuu wa wilaya ya Makete Mh. Josephine Matiro akizungumza na wataalamu wa kilimo wa kata na vijiji vya wilaya ya Makete.  Wataalamu wakifuatilia mafunzo hayo.   Mwezeshaji Manfred Bitala akiwawezesha washiriki wa warsha hiyo. Na Edwin...

 

10 years ago

Vijimambo

MBEYA YAZINDUA MPANGO WA MAREKEBISHO YA TABIA NA MPANGO WA UTOAJI MSAADA WA SHERIA

Kamishna Msaidizi Haki za Mtoto na marekebisho ya Tabia nchini, Rubikira Mushi, akizindua Mpango wa Marekebisho ya tabia na mpango wa utoaji msaada wa sheria kwa watoto wanaokinzana na Sheria. uliyofanyika katika ukumbi wa JM Motel iliyopo Forest Jijini MbeyaMwakilishi wa UNICEF katika uzinduzi huo, Mbelwa Gabagumbi, alisema mfumo wa ulinzi na usalama wa mtoto ni wajibu wa Serikali na kila mwananchi hivyo ni vema kuheshimu mkataba wa kimataifa ambao Tanzania iliridhia wa haki za watoto wa...

 

5 years ago

Michuzi

DKT. MPANGO AWASILISHA MAPENDEKEZO YA SERIKALI YA MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA

 Waziri wa Fedha na Mipango, Dk Philip Mpango akiwasilisha mapendekezo ya serikali ya mpango wa maendeleo wa Taifa na ya kiwango na ukomo wa bajeti ya serikali kwa mwaka 2020/21.
 Waziri Mkuu Mhe Kassism Majaliwa akiongoza kikao cha uwasilishaji wa taarifa ya mapendekezo ya serikali ya mpango wa maendeleo wa Taifa na ya kiwango na ukomo wa bajeti ya serikali kwa mwaka 2020/21.
Mbunge wa Jimbo la Mtama (CCM) Mhe Nape Nnauye akifuatilia uwasilishaji wa mapendekezo ya serikali ya mpango wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani