Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MBEYA YAZINDUA MPANGO WA MAREKEBISHO YA TABIA NA MPANGO WA UTOAJI MSAADA WA SHERIA

Kamishna Msaidizi Haki za Mtoto na marekebisho ya Tabia nchini, Rubikira Mushi, akizindua Mpango wa Marekebisho ya tabia na mpango wa utoaji msaada wa sheria kwa watoto wanaokinzana na Sheria. uliyofanyika katika ukumbi wa JM Motel iliyopo Forest Jijini MbeyaMwakilishi wa UNICEF katika uzinduzi huo, Mbelwa Gabagumbi, alisema mfumo wa ulinzi na usalama wa mtoto ni wajibu wa Serikali na kila mwananchi hivyo ni vema kuheshimu mkataba wa kimataifa ambao Tanzania iliridhia wa haki za watoto wa...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

DKT. MPANGO AWASILISHA MAPENDEKEZO YA SERIKALI YA MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA

 Waziri wa Fedha na Mipango, Dk Philip Mpango akiwasilisha mapendekezo ya serikali ya mpango wa maendeleo wa Taifa na ya kiwango na ukomo wa bajeti ya serikali kwa mwaka 2020/21.
 Waziri Mkuu Mhe Kassism Majaliwa akiongoza kikao cha uwasilishaji wa taarifa ya mapendekezo ya serikali ya mpango wa maendeleo wa Taifa na ya kiwango na ukomo wa bajeti ya serikali kwa mwaka 2020/21.
Mbunge wa Jimbo la Mtama (CCM) Mhe Nape Nnauye akifuatilia uwasilishaji wa mapendekezo ya serikali ya mpango wa...

 

11 years ago

BBCSwahili

Brazil yazindua mpango mpya wa Usalama

Brazil imeongeza maafisa 70,000 zaidi kuimarisha usalama katika fainali za Kombe la Dunia.

 

11 years ago

Tanzania Daima

YPC yazindua mpango wa Sauti ya Vijana

ASASI isiyo ya kiserikali ya Youth Partnership Countrywide (YPC), ya Kibaha mkoani Pwani, imezindua mpango wa Sauti ya Vijana kwenye Uwajibikaji (ViVA), utakaowajengea uwezo vijana katika suala la uwajibikaji kuanzia...

 

9 years ago

Dewji Blog

PSPF, NHIF wazindua mpango wa matibabu kwa wanachama wa mfuko huo walio kwenye mpango wa PSS

 Mwakilishi wa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti Mifuko ya Hifadhi ya Jamii, SSRA, Omar Kahlfan, (katikati), Mkurugenzi wa Uendeshaji wa PSPF, Neema Muro, (wapili kushoto), Meenja wa Mpango wa Uchagiaji wa Hiari wa PSPF,Mwanjaa Sembe, (wakwanza kushoto) na maafisa wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya, NHIF, (kulia walosimama), wakishuhudia Mkurugenzi Mkuu wa PSPF, Bw. Adam Mayinhu, (kushoto) na Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa NHIF, Michael Mhando, wakitia saini makubaliano ambayo yatawezesha...

 

9 years ago

Michuzi

PSPF,NHIF WAZINDUA MPANGO WA MATIBABU KWA WANACHAMA WA MFUKO HUO WALIO KWENYE MPANGO WA PSS

 Mwakilishi wa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti Mifuko ya Hifadhi ya Jamii, SSRA, Omar Kahlfan, (katikati), Mkurugenzi wa Uendeshaji wa PSPF, Neema Muro, (wapili kushoto), Meneja wa Mpango wa Uchagiaji wa Hiari wa PSPF,Mwanjaa Sembe, (wakwanza kushoto) na maafisa wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya, NHIF, (kulia waliosimama), wakishuhudia Mkurugenzi Mkuu wa PSPF, Bw. Adam Mayinhu, (kushoto) na Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa NHIF, Michael Mhando, wakitia saini makubaliano ambayo yatawezesha...

 

10 years ago

Michuzi

DK SHEIN ASHIRIKI UZINDUZI WA MPANGO WA MABADILIKO YA TABIA NCHI NA CHANGAMOTO ZAKE MAGHARIBI YA BAHARI YA HINDI

 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akifuatana na Viongozi mbali mbali baada ya  uzinduzi wa  Mpango wa Magharibi ya Bahari ya Hindi ya Changamoto za Ukanda wa Pwani wa mabadiliko ya Tabianchi  katika viwanja vya Orator Hotel,Apia Samoa. Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akibadilishana mawazo na Waziri Mkuu wa Mauritius wakati wa chakula baada ya uzunduzi wa Mpango wa Magharibi ya Bahari ya Hindi ya Changamoto...

 

5 years ago

Michuzi

HIVI NDIVYO DKT. MPANGO ALIVYOWASILISHA MAPENDEKEZO KUHUSU MPANGO WA KIWANGO CHA UKOMO WA BAJETI YA SERIKALI 2020/2021


Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Philip Mpango akiwasilisha Mapendekezo ya Serikali ya Mpango wa Maendeleo ya Taifa na Kiwango na Ukomo wa Bajeti ya Serikali kwa mwaka 2020/2021. tukio hilo limefanyika katika Ukumbi wa Msekwa Jijini Dodoma na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali akiwemo, Waziri Mkuu, Mhe. Kassim Majaliwa, Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai na Naibu...

 

11 years ago

Michuzi

WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI WAKUTANA KUANDAA MPANGO KAZI NA MPANGO WA MANUNUZI KWA MWAKA WA FEDHA 2014/2015

Baadhi ya Viongozi wa Idara za Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi wanaohudhuria kikao cha kuandaa Mpango Kazi na Mpango wa Manunuzi wa Wizara hiyo katika Chuo cha Kanda cha Uhamiaji mjini Moshi, (toka kulia) Kamishna wa Utawala na Fedha wa Jeshi la Magereza, Gaston Sanga, Kamishna wa Fedha na Lojistiki wa Jeshi la Polisi, Clodwig Mtweve, Kamishna wa Urekebishaji wa Jeshi la Magereza, Deonice Chamulesile na Mrakibu Msaidizi wa Jeshi la Polisi, Juma Mohamed.    Maafisa wa Wizara ya...

 

5 years ago

Michuzi

WAZIRI MPANGO:TAARIFA YA HALI YA UCHUMI 2019, MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA MWAKA 2020/21 ZIMEZINGATIA DHANA YA USHIRIKISHWAJI MPANA WA WADAU


Na Said Mwishehe,Michuzi TV.
WAZIRI wa Fedha na Mipango Dk.Philip Mpango amesema taarifa ya hali ya uchumi wa Taifa kwa Mwaka 2019 na Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2020/21 zimezingatia dhana ya ushirikishwaji mpana wa wadau katika hatua za uandaaji na maamuzi katika ngazi zote Serikalini. 
Akizungumza Bungeni Mjini Dodoma leo wakati anawasilisha Hali ya Uchumi wa Taifa kwa mwaka 2019 na Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa mwaka 2020/21 ambapo ametumia nafasi hiyo kufafanua yamezingatia...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani