Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kilimo kwanza: where did we lose the plot?

When Kilimo Kwanza came into being in June 2009, there was an expectation that the sector--which employs an estimated 80 per cent of Tanzanians of working age--would finally get the much-needed boost.

TheCitizen

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

11 years ago

Tanzania Daima

Sera ya Kilimo Kwanza imekuwa kitendawili

TANGU Tanzania ipate Uhuru mwaka 1961 kuna sera mbalimbali za kilimo zimekuwa zikitolewa ili kukiendeleza na hatimaye kuondoa umaskini kwa Watanzania. Miongoni mwa sera hizo ni Siasa ni Kilimo, Kilimo...

 

10 years ago

StarTV

‘Mpango wa Kilimo kwanza huenda usifanikiwe’.

Na Oliver Motto, Iringa.

Mpango wa Kilimo kwanza unadaiwa kuwa huenda usifanikiwe iwapo wananchi hawatapatiwa elimu ya kutosha kuhusiana na madhara ya uuzaji holela wa ardhi ambayo ni tegemeo na msingi katika kuendesha kilimo.

Hatua hiyo inakuja kutokana na kuwepo kwa migogoro ya ardhi inayosababishwa na baadhi ya wananchi ambao huuza au kugawa ardhi na hivyo kujikuta wakikosa hata maeneo ya kuendeshea shughuli za kilimo.

Ardhi ni moja ya rasilimali ambayo kila uchao imekuwa ikiongezeka...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kijiwe: Matanuzi kwanza, kilimo mwisho

BAADA ya kunyaka nyuzi kuwa katika libajeti la hovyo linalojadiliwa baada ya kuletwa na Saada Mkuyati kuwa ofisi ya rahisi imepangiwa njuluku sawa na za kilimo, Kijiwe kimeamua kutoa shinikizo...

 

11 years ago

TheCitizen

Small farmers receive four tractors for Kilimo Kwanza

>Smallholders in Ganako Village, Karatu District, Arusha Region have been given four tractors, worth Sh170 million, to improve farming under the Kilimo Kwanza Initiative.

 

5 years ago

Michuzi

TANZANIA YASHIRIKI KWA MARA KWANZA MAONESHO YA KIMATAIFA YA BIDHAA ZA KILIMO YA PARIS 2020, UFARANSA


Balozi wa Tanzania nchini Ufaransa, Mhe. Samwel Shelukindo (katikati) akiwa kwenye picha ya pamoja na Ujumbe wa Tanzania unaoshiriki kwa mara ya kwanza katika Maonesho ya Kimataifa ya Bidhaa za Kilimo ya Paris yanayofanyika mjini humo kuanzia tarehe 22 Februari 2020 hadi tarehe 1 Machi 2020.
Wageni mbalimbali wakipata maelezo kuhusu fursa za bidhaa za kilimo zinazopatikana Tanzania walipotembelea Banda la la Tanzania wakati wa Maonesho ya Kimataifa ya Bidhaa za Kilimo yanayofanyika jijini...

 

5 years ago

CCM Blog

TANZANIA YASHIRIKI KWA MARA YA KWANZA KATIKA MAONYESHO YA KIMATAIFA YA BIDHAA ZA KILIMO YA PARIS 2020, UFARANSA


 Tanzania inashiriki kwa mara ya kwanza katika Maonesho ya Kimataifa ya Bidhaa za Kilimo ya Paris 2020 yanayofanyika jijini Paris, Ufaransa kuanzia tarehe 22 Februari 2020 hadi tarehe 1 Machi 2020.
Maonesho hayo ambayo yalifunguliwa na Mhe. Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa, yanatarajiwa kutembelewa na zaidi ya watu 600,000.
Wakati wa maonesho hayo, Tanzania itapata fursa ya kuonyesha bidhaa zake yakiwemo mazao ya kimkakati. Ujumbe wa Tanzania katika maonyesho hayo unaongozwa na Bw. Victor...

 

10 years ago

Vijimambo

KIKAO CHA KWANZA CHA BODI YA MRADI WA KILIMO CHA UMWAGILIAJI GEREZA KIGONGONI - BAGAMOYO

Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Tarbim, Bw. Baddal Calikusu (aliyesimama) akitoa utambulisho kwa wajumbe wapya wa Bodi kabla ya Ufunguzi wa Kikao cha kwanza cha Bodi ya Mradi wa Ubia wa Kilimo cha Umwagiliaji unaotarajiwa kuanza rasmi kutekelezwa katika eneo la Magereza, Gereza Kigongoni Bagamoyo .Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Tarbim, Bw. Baddal Calikusu akitoa maelezo mafupi kabla ya Ufunguzi wa Kikao cha kwanza cha Bodi ya Mradi wa Ubia wa Kilimo cha Umwagiliaji unaotarajiwa kuanza...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani