Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wakati unafikiri kuhusu amri 10 za Mungu embu tafakari na hizi za Kilimo Kwanza!

20140519_125540

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Tafakari Mungu hatafutwi mtandaoni

Mtoto aliachwa pekee nyumbani. Jikoni alikuwa ameachiwa chakula cha kutosha, asusa, soda na juisi. Ghafla akajipa cheo cha baba mwenye nyumba. Akawaalika watoto wenzie ili wafanye sherehe ndogo ya kumpongeza kwa kuukaimu u-baba. Watoto nao waliposikia mwaliko huo hawakuwa na simile, dakika hiyohiyo walijaa sebuleni.

 

11 years ago

Mwananchi

Mungu hatafutwi mtandaoni, tafakari

Mtoto aliachwa pekee nyumbani. Jikoni alikuwa ameachiwa chakula cha kutosha, asusa, soda na juisi. Akajipa cheo cha baba mwenye nyumba, akawaalika watoto wenzie ili wafanye sherehe ndogo ya kumpongeza kwa kuukaimu u-baba. 

 

10 years ago

Mwananchi

Mwenyezi Mungu utunusuru Watanzania na ajali hizi

> ‘Raha ya milele uwape ee bwana na mwanga wa milele uwaangazie marehemu wetu wote wapumzike kwa amani.’ Amina.

 

5 years ago

BBCSwahili

Polisi Kenya ashtakiwa kwa mauaji wakati wa amri ya kutotoka nje usiku

Polisi mmoja nchini Kenya ameshtakiwa kwa mauaji ya kijana Yasin Moyo, 13, ambaye alipigwa risasi akiwa barazani kwao

 

9 years ago

Bongo Movies

Wolper: Ni wakati wa kumrudia Mungu

STAA mkali wa filamu ambaye hivi karibuni alipumzika kwa muda sanaa hiyo, Jacqueline Wolper, amesema baada ya kufanya mambo mengi maovu, huu ni wakati wa kumrudia Mungu, hata kwa kusoma vitabu vyake vitakatifu.

Akizungumza na gazeti hili juzikati, Wolper alisema mara nyingi mastaa hujisahau kwa kuendekeza anasa nyingi za duniani na kumkosea Mungu, hivyo ni bora kuamua hata kwa saa mbili kwa siku kusoma neno lake.

“Kwa kweli mara nyingi sisi tumejisahau sana kujipendekeza kwa Mungu, badala...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Wanajeshi wa Rwanda wadaiwa kuwabaka raia wakati wa amri ya kutotoka nje

Askari watano wa Rwanda wamekamatwa na wakazi wa kitongoji cha mji mkuu Kigali kwa kudsaiwa kuwabaka wanawake

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mungu Kwanza kutambulishwa leo

TAMASHA la nyimbo za Injili lililopewa jina la ‘Red Carpet; linatarajiwa kufanyika kwenye Ukumbi wa Urafiki jijini Dar es Salaam kesho, likiwa na lengo la kulitambulisha kundi la Mungu Kwanza...

 

10 years ago

GPL

AMANDA STAREHE KWANZA, MUNGU BAADAYE

Stori: Hamida Hassan
STAA mwenye shepu ya aina yake ndani ya Bongo Movies, Tamrina Poshi ‘Amanda’ ameibuka na kusema kuwa siku ikifika atarejea kwa Mwenyezi Mungu lakini kwa sasa bado anakula ujana. Staa mwenye shepu ya aina yake ndani ya Bongo Movies, Tamrina Poshi ‘Amanda’. Akipiga stori na Ijumaa Wikienda, Amanda alisema kwa sasa umri wake unamruhusu kula ujana kwa mambo ya starehe kama kuvaa...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Mwanariadha wa Kenya Wilson Kipsang akamatwa kwa kulewa wakati wa amri ya kutotoka nje

Aliyekua bingwa wa mbio za marathon nchini Kenya Wilson Kipsang ameachiliwa kwa dhamana baada ya kushtakiwa kwa kukiuka amri ya kutotoka nje

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani