Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NALE: KUDANGANYA UMRI IMEKUWA FASHENI

Makala: SHANI RAMADHANI
KATIKA Live Chumba cha Habari cha Global Publishers, leo hii tunaye Miss Universe 2014, Nale Boniface ambaye ameweka wazi siri ya urembo na kusema kuwa kujiamini ni sifa mojawapo ya kumfanya mtu aitangaze vizuri nchi yake. Presenta wa Global TV Online, Pamela Daffa akiongea na mwakilishi wa Miss Universe Tanzania 2014,… ...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

MISS UNIVERSE NALE BONIFACE


Miss Universe Tanzania Nale she is dressed for the Chinese laundry event this afternoon... Nale's Outfit is Just On Point. Thank you @irfanrizwanali for being the best stylist/ best fashion guardian to Nale @nalecious Throughout the whole journey, and special thanks to @mariastsehai for also being a great mentor and the best director to our Beauty Queen.

 

11 years ago

Mwananchi

Umri ni amri? Mmmh jamani, suala la umri lachekesha

Nafurahi kuona kwamba hujang’ang’ania hoja ya uzee hata siku moja licha ya mvi zako. Wala sijakusikia ukitamba eti wewe una akili au busara zaidi eti kwa kuwa ni mzee. Sifa sana kwako.

 

10 years ago

Mtanzania

Fasheni ya Chenge yatesa Baraza la Maadili

chengeNa Aziza Masoud, Dar es Salaam
BARAZA la Maadili kwa mara nyingine jana limeshindwa kumhoji Loicy Appollo, ambaye ni Naibu Kamishna Upepelezi wa Kodi katika Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), anayedaiwa kupata mgawo wa fedha za Escrow, baada ya kutumia mbinu ya Mbunge wa Bariadi Magharibi, Andrew Chenge ya kukimbilia mahakamani.
Appollo, ambaye anadaiwa kupata mgawo wa Sh milioni 80.8, alikataa kuhojiwa jana kwa kudai kuwa shauri hilo lilishawekewa pingamizi Mahakama Kuu.
Kigogo huyo amekuwa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Akiri kudanganya kuhusu tiba ya Saratani

Mwanablogu ambaye alipata sifa baada ya kudai kwamba alimiliki dawa za kuponya ugonjwa wa saratani ya ubongo kupitia tiba ya kiasili amekiri kwamba alidanganya kuhusu ugonjwa wake.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ajali:Polisi taabani kwa kudanganya Kenya

Wakenya wameikashifu idara ya polisi wa barabarani na kamishna mkuu kwa kujaribu kuficha ukweli kuhusu pasta 'aliyesababisha kifo na ajali' ya barabarani

 

10 years ago

Bongo Movies

Fasheni:Mtoko Huu wa Lulu Wazua Mzozo!!!

Hakuna anebisha kuwa mrembo na mwigizaji wa filamu Diana Elizabeth Michael ‘Lulu’ni moja kati ya mastaa wanaokwenda na fasheni na huwa hakosei kwenye hili, yaani huyu yupo “on point”.

Lakini linapokuja swala la maadili na utamaduni wetu hapa watu ndio huwa hutofautiana juu ya mavazi wanaoyovaa dada zetu siku hizi.

Picha za  mwanadada Lulu akiwa amevalia kivazi ambacho kwa kiasi kikubwa kimeacha miguu yake wazi zilisambaa kwa kasi sana mtandao hapo jana, hii ni kutokana na wengi kuzi LIKE...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kutangaza nia ya kutaka urais sasa ni ‘fasheni’

HIVI sasa Tanzania inakabiliwa na changamoto mbalimbali za kimaendeleo, ambazo zinawagusa moja kwa moja Watanzania zaidi ya milioni 40. Baadhi ya changamoto hizo ambazo muda mrefu Watanzania wamekuwa wakizipigia kelele...

 

10 years ago

Vijimambo

Alichokisema Boss wa Miss Universe kwa mwakilishi wa Tz, Nale Boniface kiko hapa

2014 tumeshuhudia mwamko mkubwa kwa Watanzania wakitoa support ya nguvu kwa wawakilishi mbalimbali wa Tz nje ya nchi.Hii huenda ikawa dalili ya good news nyingine kuanza na Tanzania mapema mwaka 2015, story ni kwamba mwendeshaji wa shindano kubwa la urembo la Miss Universe duniani,Donald Trump amemsifu mwakilishi wa Miss Universe kutoka Tanzania, Nale Bonifaceambapo amesema mwaka huu kumekuwa na mshiriki mzuri kutoka Afrika na kutaja jina la mwakilishi huyo.“This time we have such a young...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani