Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Alichokisema Boss wa Miss Universe kwa mwakilishi wa Tz, Nale Boniface kiko hapa

2014 tumeshuhudia mwamko mkubwa kwa Watanzania wakitoa support ya nguvu kwa wawakilishi mbalimbali wa Tz nje ya nchi.Hii huenda ikawa dalili ya good news nyingine kuanza na Tanzania mapema mwaka 2015, story ni kwamba mwendeshaji wa shindano kubwa la urembo la Miss Universe duniani,Donald Trump amemsifu mwakilishi wa Miss Universe kutoka Tanzania, Nale Bonifaceambapo amesema mwaka huu kumekuwa na mshiriki mzuri kutoka Afrika na kutaja jina la mwakilishi huyo.“This time we have such a young...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

MISS UNIVERSE NALE BONIFACE


Miss Universe Tanzania Nale she is dressed for the Chinese laundry event this afternoon... Nale's Outfit is Just On Point. Thank you @irfanrizwanali for being the best stylist/ best fashion guardian to Nale @nalecious Throughout the whole journey, and special thanks to @mariastsehai for also being a great mentor and the best director to our Beauty Queen.

 

10 years ago

Michuzi

MISS UNIVERSE NALE BONIFACE ATEMBELEA KITUO CHA WATOTO WENYE ULEMAVU WA NGOZI (ALBINO) CHA SALVATION ARMY JIJINI DAR ES SALAAM

 Miss Universe Tanzania 2014-2015 Nale Boniface akikata  keki na wanafunzi wenye matatizo ya Ngozi (ALBINO) wakati alipotembelea kituo cha kulelea watoto wenye mahitaji cha  Salvation Army jijini Dar es Salaam ikiwa ni madhimisho ya  siku yake ya kuzaliwa ambapo aliamua kuwapelekea zawadi  watoto hao. Miss Universe Tanzania 2014-2015 Nale Boniface akiwalisha  Keki na wanafunzi wenye matatizo ya Ngozi (ALBINO) wakati  alipotembelea kituo cha kulelea watoto wenye mahitaji cha  Salvation Army...

 

10 years ago

GPL

MWAKILISHI WA MISS UNIVERSE TANZANIA 2014 ATEMBELEA GLOBAL LEO

Presenta wa Global TV Online, Pamela Daffa akiongea na mwakilishi wa Miss Universe Tanzania 2014, Nale Boniface. Nale Boniface katika pozi ndani ya studio za Global TV Online. MWAKILISHI wa Miss Universe Tanzania kwa mwaka 2014, Nale Boniface leo ametembelea ofisi za Global Publishers Ltd na kufanya mahojiano katika Kipindi cha Mtu Kati kinachoruka kupitia Global TV Online. Katika mahojiano… ...

 

10 years ago

Bongo5

Najipanga kwenda kutafuta Modeling Agency nje, za hapa Bongo hazilipi — Miss Universe TZ 2014

Miss Universe Tanzania 2014, Caroline Benard amesema kuwa kwa sasa anajipanga kwenda kutafuta Modeling Agency za nje ya nchi baada ya kugundua za hapa Bongo zimeshindwa kumtimizia ndoto zake. Caroline Benard (katikati) “Najipanga kwenda kutafuta Modelling Agency za nje coz za hapa Bongo hazilipi. Nipo kwenye modeling toka 2013 hadi leo but still hadi leo […]

 

9 years ago

Bongo5

Miss Universe 2015: Mc amtangaza Miss Colombia kimakosa kuwa mshindi, na baadaye kumvua taji na kumvisha mshindi halali Miss Philippines (Video/Picha)

miss universe1

Shindano la kumtafuta Miss Universe 2015 limefanyika Jumapili Dec.19 huko Hollywood, Marekani, ambapo Pia Alonzo Wurtzbach wa Philippines alitangazwa mshindi.

miss universe1
Miss Universe 2015 Pia Alonzo

Kabla ya Pia kutangazwa mshindi ilijitokeza hali ya sintofahamu, pale ambapo Mc wa tukio hilo Steve Harvey alipomtangaza kimakosa Miss Colombia kuwa ndio mshindi na kuvishwa kabisa taji.

miss colombia

Kwa dakika kadhaa Miss Colombia alikaa na taji hilo huku akipunga bendera ya nchi yake akionekana mwenye furaha.

miss universe-2
Miss...

 

9 years ago

Mtanzania

Pia atwaa taji la Miss Universe kwa utata

piaLOS VEGAS, MAREKANI MREMBO kutoka nchini Ufilipino, Pia Wurtzbach, amefanikiwa kutwaa taji la Miss Universe Pageant, baada ya kumshinda mpinzani wake kutoka nchini Colombia, Ariadna Arevalo, kwa utatanishi. Katika hafla hiyo ambayo ilifanyika kwenye ukumbi wa Planet Hollywood Resort, nchini Marekani, iliwaacha watu midomo wazi baada ya mtangazaji, Steve Harvey, kufanya makosa wakati wa kumtangaza mshindi wa taji hilo. Harvey alijikuta akilitaja jina la mrembo kutoka nchini Colombia, Ariadna...

 

9 years ago

Bongo5

Miss Colombia atoa ya moyoni kuhusu kuporwa ushindi wa Miss Universe

miss universe

Baada ya shindano la Miss Universe lililofanyika Jumapili iliyopita (Dec 20) kukumbwa na dosari ya MC kukosea kumtaja mshindi, Miss Colombia ambaye alitangazwa mshindi na dakika chache baadaye kupigwa na butwaa baada ya MC Steve Harvey kurudi na kutangaza kuwa alipewa ushindi kimakosa, hatimaye mrembo huyo ametoa ya moyoni na kumpongeza mshindi wa mwaka huu Miss Ufilipino.

miss universe

Kupitia Instagram yake Miss Colombia , Ariadna Gutierrez aliandika ujumbe mrefu wa kugusa kuhusu kilichotokea,...

 

10 years ago

GPL

MISS COLOMBIA PAULINA VEGA ATWAA TAJI LA MISS UNIVERSE 2015, UMATI WAZOMEA

Miss Colombia, Paulina Vega baada ya kuvishwa taji la Miss Universe 2015. Miss Jamaica Kaci Fennell (22) aliyetarajiwa na wengi kutwaa taji hilo.…

 

9 years ago

Global Publishers

Miss Universe 2015 atetea wanaomponda Miss Colombia

2FA0137100000578-3374966-image-a-56_1451172165739Mshinda wa Shindano la Miss Universe 2015, Pia Alonzo Wurtzbach.

MSHINDI wa Shindano la Miss Universe 2015, Pia Alonzo Wurtzbach kwa mara ya kwanza amefungukia watu wanaomponda Miss Colombia kuwa waache mara moja.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Miss Pia aliongelea kuhusiana na mshiriki huyo wa Colombia ambaye alitaka kupewa taji kimakosa baada ya kutajwa kama mshindi kimakosa na mshereheshaji (MC), Steve Harvey katika fainali zilizofanyika hivi karibuni.

2FA01DF000000578-3374966-image-a-55_1451172149264“Hii ni kwa ajili ya mashabiki...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani