Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Alikiba adai hajaishiwa

STAA wa Bongo fleva nchini, Ally Kiba ‘Alikiba’, amesema kukaa kwake kimya katika ‘game’ sio kwamba ameishiwa, amejaribu kuwaachia wenzie wafanye kazi na kwamba anatumia muda huo kulisoma soko la...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Alikiba adai ‘Chekecha’ imekuwa dhahabu kwake

12120276_163762000643678_1906855536_n

Alikiba amedai kuwa wimbo wake, ‘Chekecha Cheketua’, ndio wimbo uliopokewa vizuri kuliko nyimbo zake zote alizowahi kutoa.

12120276_163762000643678_1906855536_n

Muimbaji huyo ambaye pia ni balozi wa shirika la kimaifa la WildAid, ameiambia BBC kuwa wimbo huo uliweza kuhit ndani ya siku moja.

“Nyimbo yangu ya ‘Chekecha’ jinsi ilivyopokewa haijawahi kutokea katika maisha yangu ya kimuziki toka naanza. Chekecha kiukweli ilichukua siku moja kuhit,” alisema.

Katika mahojiano hayo pia Kiba aliulizwa kuhusu mpango wake wa kujitanua...

 

9 years ago

Bongo5

Alikiba adai album yake Cinderella iliuza kopi milioni 2

12120276_163762000643678_1906855536_n

Hitmaker wa Chekecha Cheketua, Alikiba amesema album yake ya kwanza, Cinderella ilivunja rekodi na kuuza ‘double platinum’ (nakala milioni mbili).

12120276_163762000643678_1906855536_n

Akizungumza katika kipindi cha XXL cha Clouds FM, Alikiba alisema mpaka leo hajasikia kama rekodi hiyo imevunjwa.

“Kiukweli album yangu ya kwanza ya Cinderella ndio ilivunja rekodi na sijasikia mpaka leo kama rekodi hiyo imevunjwa,” alisema. “Sijui (nakala) ni milioni mbili vile, kitu kama hicho, kila album ilikuwa inauzwa mia mbili,” alisema...

 

9 years ago

GPL

50 CENT AWAONYESHA MASHABIKI WAKE KUWA HAJAISHIWA

Rapper 50 Cent kutoka Marekani akionyesha manoti yake baada ya kuambiwa kuwa kafilisika akiwa kitandani. ...Akiwa amekaa chini na manoti…

 

10 years ago

Habarileo

`Ushindani wa namba ni mkubwa Azam’ Alikiba, Mafikizolo, Sauti Sol kutumbuiza pamoja Dar Na Mwandishi Wetu MWANAMUZIKI wa Tanzania Alikiba na Feza Kessy watapanda jukwaa moja na wakali Mafikizolo na Black Motion zote za Afrika Kusini katika tamasha la m

MCHEZAJI wa Azam FC, Kelvin Friday amesema ushindani wa namba ni mkubwa katika kikosi chake, hivyo anahitaji kuonesha juhudi ili kufanya vizuri na kuingizwa katika kikosi cha kwanza.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani