Alikiba adai hajaishiwa
STAA wa Bongo fleva nchini, Ally Kiba ‘Alikiba’, amesema kukaa kwake kimya katika ‘game’ sio kwamba ameishiwa, amejaribu kuwaachia wenzie wafanye kazi na kwamba anatumia muda huo kulisoma soko la...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo516 Dec
Alikiba adai ‘Chekecha’ imekuwa dhahabu kwake
![12120276_163762000643678_1906855536_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/12120276_163762000643678_1906855536_n-300x194.jpg)
Alikiba amedai kuwa wimbo wake, ‘Chekecha Cheketua’, ndio wimbo uliopokewa vizuri kuliko nyimbo zake zote alizowahi kutoa.
Muimbaji huyo ambaye pia ni balozi wa shirika la kimaifa la WildAid, ameiambia BBC kuwa wimbo huo uliweza kuhit ndani ya siku moja.
“Nyimbo yangu ya ‘Chekecha’ jinsi ilivyopokewa haijawahi kutokea katika maisha yangu ya kimuziki toka naanza. Chekecha kiukweli ilichukua siku moja kuhit,” alisema.
Katika mahojiano hayo pia Kiba aliulizwa kuhusu mpango wake wa kujitanua...
9 years ago
Bongo512 Nov
Alikiba adai album yake Cinderella iliuza kopi milioni 2
![12120276_163762000643678_1906855536_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/12120276_163762000643678_1906855536_n-300x194.jpg)
Hitmaker wa Chekecha Cheketua, Alikiba amesema album yake ya kwanza, Cinderella ilivunja rekodi na kuuza ‘double platinum’ (nakala milioni mbili).
Akizungumza katika kipindi cha XXL cha Clouds FM, Alikiba alisema mpaka leo hajasikia kama rekodi hiyo imevunjwa.
“Kiukweli album yangu ya kwanza ya Cinderella ndio ilivunja rekodi na sijasikia mpaka leo kama rekodi hiyo imevunjwa,” alisema. “Sijui (nakala) ni milioni mbili vile, kitu kama hicho, kila album ilikuwa inauzwa mia mbili,” alisema...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NqquuF5qeCrDn*f*JT9LILyxQnT0D6gUybRHtEg8uF54UAvYDXfi*CVuqtznhkvpdy14xhnMDHbm4HidocGkZr4MFjn7afq6/12093337_982594865132607_755448807_n.jpg)
50 CENT AWAONYESHA MASHABIKI WAKE KUWA HAJAISHIWA
10 years ago
Habarileo09 Aug
`Ushindani wa namba ni mkubwa Azam’ Alikiba, Mafikizolo, Sauti Sol kutumbuiza pamoja Dar Na Mwandishi Wetu MWANAMUZIKI wa Tanzania Alikiba na Feza Kessy watapanda jukwaa moja na wakali Mafikizolo na Black Motion zote za Afrika Kusini katika tamasha la m
MCHEZAJI wa Azam FC, Kelvin Friday amesema ushindani wa namba ni mkubwa katika kikosi chake, hivyo anahitaji kuonesha juhudi ili kufanya vizuri na kuingizwa katika kikosi cha kwanza.