Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Vifungashio changamoto kwa wajasiriamali

>Wazalishaji wadogo nchini wanakabiliwa na changamoto ya upatikanaji wa vifungashio kwa ajili ya bidhaa wanazozalisha hali inayochangia kuzifanya zishindwe kumudu ushindani na bidhaa nyingine kutoka nje ya nchi hususani katika bei.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Changamoto za wajasiriamali -3

Wiki iliyopita nilieleza namna mitaji ilivyo changamoto kwa wajasiriamali wadogo na baadhi ya wajasiriamali wa kati ikiwa ni mfululizo wa makala za changamoto zinazowakabili katika shughuli zao za kila siku kwa lengo la kuona tulipo na tunapotakiwa kuwa kwa maendeleo ya mtu binafsi na taifa kwa jumla.

 

10 years ago

Mwananchi

Changamoto zinazowakabili wajasiriamali-4

Wiki iliyopita nilizungumzia miundombinu ya kufanyia biashara kama changamoto inayowakabili wajasirimali wadogo na wa kati katika shughuli zao za kila siku.

 

11 years ago

Mwananchi

Hizi ni changamoto za wajasiriamali nchini - 5

Wiki iliyopita nilizungumzia sheria na taratibu za kufanya biashara kama moja ya changamoto wanazokabiliana nazo wajasiriamali wadogo na wa kati nchini.

 

11 years ago

Mwananchi

Changamoto kuu za wajasiriamali na namna ya kuzishinda-2

Wiki iliyopita nilielezea juu ya changamoto zinazowasibu wajasiriamali wadogo na baadhi ya wajasiriamali wa kati kwa kuangazia changamoto inayotokana na udhaifu wa mjasiriamali mwenyewe.

 

5 years ago

Michuzi

WAJASIRIAMALI MWANZO MGUMU WAKABILIWA NA CHANGAMOTO YA USAFIRI KUSAFIRISHA MAWE



***************************
NA MWAMVUA MWINYI 
WAJASIRIAMALI wa Kikundi cha Mwanzo Mgumu, kilichopo Kijiji cha Kwedikwazu Kata ya Kabuku wilaya ya Handeni Mkoa wa Tanga, wanahitaji usafiri utaowarahisishia kazi zao za ubebaji wa mawe. 
Wakizungumza na Waandishi wa habari katika eneo wanalofanya shughuli zao za kubangua mawe, Wajasiriamali hao walisema kuwa wananufaika na machimbo ya mawe yanayotumika kutengenea Marumaru na Jipsam katika majengo mbalimbali. 
Katibu wa kikundi hicho Saumu Kisaka...

 

10 years ago

Dewji Blog

Mama Samia akutana na Wanawake wa UWT, Walemavu na Wajasiriamali mkoa wa Dar kujua changamoto zao

Mgombea Mwenza wa nafasi ya urais kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan (kushoto), akizungumza katika mkutano uliowakutanisha wanachama wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT), Wajasiriamali pamoja na wanachama kutoka Shirikisho la Vyama vya Wenye Ulemavu (Shivyawata), baada ya kupokea changamoto zao Ukumbi wa Diamond Jubilee Dar es Salaam jana.

Mwenyekiti wa UWT Taifa, Sophia Simba akizungumza katika mkutano huo.

Mmoja wa viongozi kutoka Shirikisho la Vyama vya Wenye...

 

10 years ago

Vijimambo

MAMA SAMIA AKUTANA NA WANAWAKE WA UWT, WALEMAVU NA WAJASIRIAMALI MKOA WA DAR ES SALAAM KUJUA CHANGAMOTO ZAO

 Mgombea Mwenza wa nafasi ya urais kupitia  Chama cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan (kushoto), akizungumza katika mkutano uliowakutanisha wanachama wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT), Wajasiriamali pamoja na wanachama kutoka Shirikisho la Vyama vya Wenye Ulemavu (Shivyawata), baada ya kupokea changamoto zao Ukumbi wa Diamond Jubilee Dar es Salaam leo. Mwenyekiti wa UWT Taifa, Sophia Simba akizungumza katika mkutano huo.
 Mmoja wa viongozi kutoka Shirikisho la Vyama vya Wenye Ulemavu...

 

11 years ago

Mwananchi

Changamoto kwa Wafanyabiashara wadogo wapewa changamoto

Wafanyabiashara wadogo wametakiwa kuacha woga na kuanza kutumia taasisi za fedha kama njia rafiki na chachu ya maendeleo na kukuza mitaji yao.

 

11 years ago

Mwananchi

Watakiwa kuhifadhi vifungashio

Wananchi wametakiwa kuwa makini na vocha za pembejeo za kilimo wanazotumia kwa kuhifadhi vihifadhio vya mbolea hizo ili kudhibiti wauzaji bandia iwapo mbegu au mbolea walizotumia hazitakuwa na ubora.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani