IDADI KUBWA YA PROGRAM TUMISHI ZIMEENDELEA KUIBA TAARIFA ZA WATUMIAJI
![](https://2.bp.blogspot.com/-qZewHoDogto/WfaXxilvBRI/AAAAAAAACFo/WH_t6V8dr18Fqy17ROa77WlFUKo1zzoJgCLcBGAs/s72-c/IMG-20171027-WA0008.jpg)
Nchini Tanzania Matumizi ya TEHAMA yame endelea kukua katika maeneo mbali mbali. Hii ime endelea kurahisisha upatikananaji wa huduma muhimu na kuwezesha watu kuendelea kuwasiliana kwa urahisi.
Viwanda na Taasisi mbali mbali zimeendelea kutumia TEHAMA ili kukuza ufanisi na kufikia watu wengi kwa kipindi kifupi. Miamala ya kifedha, ukusanyaji kodi, pamoja na mawasiliano ni baadhi tu ya mambo yanayo wezeshwa na TEHAMA nchini.
Usalama wa mifumo ya TEHAMA ni moja ya jambo muhimu sana ambapo...
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-wvSg1k-0tEA/VgFFde28LaI/AAAAAAAC_Zc/7PSplGo2VGA/s72-c/IMG_9057.jpg)
WATUMIAJI WA PROGRAMU ZA KOMPUTA WAASWA KUTUMIA PROGRAM HALISI —COSOTA
![](http://2.bp.blogspot.com/-wvSg1k-0tEA/VgFFde28LaI/AAAAAAAC_Zc/7PSplGo2VGA/s640/IMG_9057.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-HQZo7JErUiA/VgFFdKM8GjI/AAAAAAAC_ZY/fSCTRFjoDR4/s640/IMG_9047.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-lIViDcYmCk8/VgFFdkbfjZI/AAAAAAAC_Zg/gXc2_ZgB378/s640/IMG_9077.jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-wvSg1k-0tEA/VgFFde28LaI/AAAAAAAC_Zc/7PSplGo2VGA/s72-c/IMG_9057.jpg)
COSOTA: WATUMIAJI WA PROGRAMU ZA KOMPUTA WAASWA KUTUMIA PROGRAM HALISI
![](http://2.bp.blogspot.com/-wvSg1k-0tEA/VgFFde28LaI/AAAAAAAC_Zc/7PSplGo2VGA/s640/IMG_9057.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-HQZo7JErUiA/VgFFdKM8GjI/AAAAAAAC_ZY/fSCTRFjoDR4/s640/IMG_9047.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-lIViDcYmCk8/VgFFdkbfjZI/AAAAAAAC_Zg/gXc2_ZgB378/s640/IMG_9077.jpg)
9 years ago
Dewji Blog23 Sep
Watumiaji wa programu za kompyuta waaswa kutumia program halisi —COSOTA
Afisa Mtendaji na Msimamizi wa Hakimiliki (COSOTA), Dorine Sinare akizungumza na baadhi ya wadau wa proramu mbalimbali za Komputa jijini Dar es Salaam jana.
Afisa Masoko Madogo na Uhusiano Ukanda wa Mashariki na Kusini mwa Afrika, Robin Njiru akielezea juu ya huduma zinazotolewa na kampuni ya Microsoft na koprogram mbalimbali za kompyuta jijini Dar es Salaam.
Afisa Mtendaji na Msimamizi wa Hakimiliki (Cosota), Dorine Sinare akiwa katika picha ya pamoja na wadau wa Program za Kompyuta...
9 years ago
MichuziONGEZENI IDADI YA WATUMIAJI MAJI DAR – PROF MBARAWA
10 years ago
StarTV01 Apr
Matumizi Nishati ya Umeme, idadi ya watumiaji bado yasuasua.
Na Magreth Tengule,
Rombo.
Tanzania imesalia kuwa miongoni mwa nchi chache barani Afrika ambazo zina idadi ndogo ya watumiaji wa nishati ya umeme.
Kwa mujibu wa takwimu za Serikali za mara kwa mara ni asilimia 17 pekee ya wananchi wote wanaofikiwa na huduma hiyo.
Katika kuhakikisha huduma ya umeme inazidi kuwafikia watu wengi hasa wale wanaoishi maeneo ya pembezoni, Chama cha Mapinduzi CCM kimesema kitazidi kuibana Serikali ielekeze nguvu kwenye utekelezaji wa mradi wa umeme vijijini...
11 years ago
Habarileo14 Mar
Idadi kubwa ya Watanzania ni watoto
IDADI kubwa ya watu nchini ni watoto wenye umri wa chini ya miaka 15 na vijana huku mikoa ya Simiyu, Rukwa na Geita ikitajwa kuwa zaidi ya nusu ya watu wake, ni watoto. Mkurugenzi Mkuu wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu, Dk Albina Chuwa alimweleza hayo Rais Jakaya Mrisho Kikwete jana Ikulu wakati akimkabidhi vitabu na majedwali yenye matokeo na machapisho ya Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2012.
10 years ago
BBCSwahili03 Jun
Idadi kubwa ya ndovu yatoweka Tanzania
11 years ago
BBCSwahili05 Aug
Idadi ya wanaohama ni kubwa Ukrane:UNHCR
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NvWHU5oq4TbnWaKqHkUKeurOYN2uIkkdJ70*i6UQtGo7qmh8dn*npcP53DGkCgHcrTWjHMrY3af5BMU0hmYiTwByAOrEwGzO/tope3.jpg?width=650)
MVUA YAKIHARIBU KITUO CHA MABASI NJOMBE, KERO YAWA KUBWA KWA WATUMIAJI