Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Watumiaji wa programu za kompyuta waaswa kutumia program halisi —COSOTA

IMG_9057

Afisa Mtendaji na Msimamizi wa Hakimiliki (COSOTA), Dorine Sinare akizungumza na baadhi ya wadau wa proramu mbalimbali za Komputa jijini Dar es Salaam jana.

IMG_9047

Afisa Masoko Madogo na Uhusiano Ukanda wa Mashariki na Kusini mwa Afrika, Robin Njiru akielezea juu ya huduma zinazotolewa na kampuni ya Microsoft na koprogram mbalimbali za kompyuta jijini Dar es Salaam.

IMG_9077

Afisa Mtendaji na Msimamizi wa Hakimiliki (Cosota), Dorine Sinare akiwa katika picha ya pamoja na wadau wa Program za Kompyuta...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

WATUMIAJI WA PROGRAMU ZA KOMPUTA WAASWA KUTUMIA PROGRAM HALISI —COSOTA

 Afisa Mtendaji na Msimamizi wa Hakimiliki (Cosota), Dorine Sinare akizungumza na baadhi ya wadau wa proramu mbalimbali za Komputa leonjijini Dar es Salaam leo. Afisa Masoko Madogo na Uhusiano Ukanda wa Mashariki na Kusini mwa Afrika,Robin Njiru akielezea juu ya huduma zinazotolewa na kampuni ya Microsoft na koprogram mbalimbali za komputa leo jijini Dar es Salaam.
Afisa Mtendaji na Msimamizi wa Hakimiliki (Cosota), Dorine Sinare akiwa katika picha ya pamoja na wadau wa Program za Komputa leo...

 

9 years ago

Vijimambo

COSOTA: WATUMIAJI WA PROGRAMU ZA KOMPUTA WAASWA KUTUMIA PROGRAM HALISI

 Afisa Mtendaji na Msimamizi wa Hakimiliki (Cosota), Dorine Sinare akizungumza na baadhi ya wadau wa proramu mbalimbali za Komputa leonjijini Dar es Salaam leo.Afisa Masoko Madogo na Uhusiano Ukanda wa Mashariki na Kusini mwa Afrika,Robin Njiru akielezea juu ya huduma zinazotolewa na kampuni ya Microsoft na koprogram mbalimbali za komputa leo jijini Dar es Salaam.

Afisa Mtendaji na Msimamizi wa Hakimiliki (Cosota), Dorine Sinare akiwa katika picha ya pamoja na wadau wa Program za Komputa leo...

 

11 years ago

Mwananchi

Halahala matumizi ya programu bandia za kompyuta

Kumekuwa na ulanguzi wa programu (software) za kompyuta zinazofanywa na watu mbalimbali hasa katika nchi zisizo na sheria kali kuhusu masuala haya.

 

11 years ago

Mwananchi

Programu ya kompyuta kuvuruga ATM wiki ijayo

Wiki moja kabla ya kusitishwa huduma za programu ya kompyuta (OS) ya Windows Xp, imefahamika kuwa waathirika wakubwa watakuwa ni benki na taasisi za fedha ambazo hutumia mfumo huo katika mashine za kutolea fedha (ATMs)

 

5 years ago

Ykileo

IDADI KUBWA YA PROGRAM TUMISHI ZIMEENDELEA KUIBA TAARIFA ZA WATUMIAJI

Nchini Tanzania Matumizi ya TEHAMA yame endelea kukua katika maeneo mbali mbali. Hii ime endelea kurahisisha upatikananaji wa huduma muhimu na kuwezesha watu kuendelea kuwasiliana kwa urahisi.


Viwanda na Taasisi mbali mbali zimeendelea kutumia TEHAMA ili kukuza ufanisi na kufikia watu wengi kwa kipindi kifupi. Miamala ya kifedha, ukusanyaji kodi, pamoja na mawasiliano ni baadhi tu ya mambo yanayo wezeshwa na TEHAMA nchini.


Usalama wa mifumo ya TEHAMA ni moja ya jambo muhimu sana ambapo...

 

9 years ago

StarTV

Nape aonya vyombo vya habari kutumia muziki ya wasanii bila idhini ya COSOTA

Serikali imetoa tamko kwa vyombo vyote vya habari nchini kuanzia january mosi mwakani kutokutumia muziki wa aina yeyote ule wa ndani au nje bila kibali kutoka Cosota.

Wakitoa tamko hilo kwa pamoja waziri wa habari michezo na utamaduni Nape Nnauye na waziri wa viwanda na biashara Charles Mwijage wamewataka wamiliki wa vyombo vya habari kutoa ushirikiano.

Nape amesema atalisimamia zoezi hilo na kutoa tahadhari kwa chombo chochote cha habari kitachokiuka tamko hilo hatakionea haya kukifungia...

 

9 years ago

StarTV

Nape aonya vyombo vya habari kutumia miziki ya wasanii bila idhini ya COSOTA

Serikali imetoa tamko kwa vyombo vyote vya habari nchini kuanzia january mosi mwakani kutokutumia miziki ya aina yeyote ule wa ndani au nje bila kibali kutoka Cosota.

Wakitoa tamko hilo kwa pamoja waziri wa habari michezo na utamaduni Nape Nnauye na waziri wa viwanda na biashara Charles Mwijage wamewataka wamiliki wa vyombo vya habari kutoa ushirikiano.

Nape amesema atalisimamia zoezi hilo na kutoa tahadhari kwa chombo chochote cha habari kitachokiuka tamko hilo hatakionea haya kukifungia...

 

11 years ago

Michuzi

USAHIHISHAJI WA MITIHANI SHULE ZA MSINGI KWA KUTUMIA KOMPYUTA WAPATA MAFANIKIO JIJINI DAR

Katibu Tawala wa Mkoa wa Dar es salaam Bi. Theresia Mmbado akifunga mafunzo ya siku 3 ya matumizi ya Fomu za OMR kwa walimu wakuu 254 wa shule za Msingi za mkoa wa Dar es salaam yaliyofanyika katika shule ya Sekondari Shaaban Robert. Afisa Elimu wa mkoa wa Dar es salaam Bw. Raymond Mapunda akitoa ufafanuzi kwa walimu wakuu wa shule za Msingi za mkoa wa Dar es Salaam kuhusu namna mkoa ulivyojipanga kutatua changamoto za elimu.  Baadhi ya Walimu wakuu wa shule za Msingi jijini Dar es...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani