Watumiaji wa programu za kompyuta waaswa kutumia program halisi —COSOTA
Afisa Mtendaji na Msimamizi wa Hakimiliki (COSOTA), Dorine Sinare akizungumza na baadhi ya wadau wa proramu mbalimbali za Komputa jijini Dar es Salaam jana.
Afisa Masoko Madogo na Uhusiano Ukanda wa Mashariki na Kusini mwa Afrika, Robin Njiru akielezea juu ya huduma zinazotolewa na kampuni ya Microsoft na koprogram mbalimbali za kompyuta jijini Dar es Salaam.
Afisa Mtendaji na Msimamizi wa Hakimiliki (Cosota), Dorine Sinare akiwa katika picha ya pamoja na wadau wa Program za Kompyuta...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-wvSg1k-0tEA/VgFFde28LaI/AAAAAAAC_Zc/7PSplGo2VGA/s72-c/IMG_9057.jpg)
WATUMIAJI WA PROGRAMU ZA KOMPUTA WAASWA KUTUMIA PROGRAM HALISI —COSOTA
![](http://2.bp.blogspot.com/-wvSg1k-0tEA/VgFFde28LaI/AAAAAAAC_Zc/7PSplGo2VGA/s640/IMG_9057.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-HQZo7JErUiA/VgFFdKM8GjI/AAAAAAAC_ZY/fSCTRFjoDR4/s640/IMG_9047.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-lIViDcYmCk8/VgFFdkbfjZI/AAAAAAAC_Zg/gXc2_ZgB378/s640/IMG_9077.jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-wvSg1k-0tEA/VgFFde28LaI/AAAAAAAC_Zc/7PSplGo2VGA/s72-c/IMG_9057.jpg)
COSOTA: WATUMIAJI WA PROGRAMU ZA KOMPUTA WAASWA KUTUMIA PROGRAM HALISI
![](http://2.bp.blogspot.com/-wvSg1k-0tEA/VgFFde28LaI/AAAAAAAC_Zc/7PSplGo2VGA/s640/IMG_9057.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-HQZo7JErUiA/VgFFdKM8GjI/AAAAAAAC_ZY/fSCTRFjoDR4/s640/IMG_9047.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-lIViDcYmCk8/VgFFdkbfjZI/AAAAAAAC_Zg/gXc2_ZgB378/s640/IMG_9077.jpg)
11 years ago
Mwananchi03 Jun
Halahala matumizi ya programu bandia za kompyuta
11 years ago
Mwananchi01 Apr
Programu ya kompyuta kuvuruga ATM wiki ijayo
5 years ago
Ykileo![](https://2.bp.blogspot.com/-qZewHoDogto/WfaXxilvBRI/AAAAAAAACFo/WH_t6V8dr18Fqy17ROa77WlFUKo1zzoJgCLcBGAs/s72-c/IMG-20171027-WA0008.jpg)
IDADI KUBWA YA PROGRAM TUMISHI ZIMEENDELEA KUIBA TAARIFA ZA WATUMIAJI
![](https://2.bp.blogspot.com/-qZewHoDogto/WfaXxilvBRI/AAAAAAAACFo/WH_t6V8dr18Fqy17ROa77WlFUKo1zzoJgCLcBGAs/s200/IMG-20171027-WA0008.jpg)
Viwanda na Taasisi mbali mbali zimeendelea kutumia TEHAMA ili kukuza ufanisi na kufikia watu wengi kwa kipindi kifupi. Miamala ya kifedha, ukusanyaji kodi, pamoja na mawasiliano ni baadhi tu ya mambo yanayo wezeshwa na TEHAMA nchini.
Usalama wa mifumo ya TEHAMA ni moja ya jambo muhimu sana ambapo...
9 years ago
StarTV17 Dec
Nape aonya vyombo vya habari kutumia muziki ya wasanii bila idhini ya COSOTA
Serikali imetoa tamko kwa vyombo vyote vya habari nchini kuanzia january mosi mwakani kutokutumia muziki wa aina yeyote ule wa ndani au nje bila kibali kutoka Cosota.
Wakitoa tamko hilo kwa pamoja waziri wa habari michezo na utamaduni Nape Nnauye na waziri wa viwanda na biashara Charles Mwijage wamewataka wamiliki wa vyombo vya habari kutoa ushirikiano.
Nape amesema atalisimamia zoezi hilo na kutoa tahadhari kwa chombo chochote cha habari kitachokiuka tamko hilo hatakionea haya kukifungia...
9 years ago
StarTV17 Dec
Nape aonya vyombo vya habari kutumia miziki ya wasanii bila idhini ya COSOTA
Serikali imetoa tamko kwa vyombo vyote vya habari nchini kuanzia january mosi mwakani kutokutumia miziki ya aina yeyote ule wa ndani au nje bila kibali kutoka Cosota.
Wakitoa tamko hilo kwa pamoja waziri wa habari michezo na utamaduni Nape Nnauye na waziri wa viwanda na biashara Charles Mwijage wamewataka wamiliki wa vyombo vya habari kutoa ushirikiano.
Nape amesema atalisimamia zoezi hilo na kutoa tahadhari kwa chombo chochote cha habari kitachokiuka tamko hilo hatakionea haya kukifungia...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-7670ePLc568/UxbvFLnNKCI/AAAAAAAFRLQ/d1vKUkPKbA8/s72-c/unnamed+(8).jpg)
USAHIHISHAJI WA MITIHANI SHULE ZA MSINGI KWA KUTUMIA KOMPYUTA WAPATA MAFANIKIO JIJINI DAR
![](http://3.bp.blogspot.com/-7670ePLc568/UxbvFLnNKCI/AAAAAAAFRLQ/d1vKUkPKbA8/s1600/unnamed+(8).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Ocz_VRXpt-A/UxbvDni9hvI/AAAAAAAFRLI/c2KDLoPBSVw/s1600/unnamed+(6).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Kpdwgdb5yTY/UxbvLy4u55I/AAAAAAAFRLY/x4RpIIadnGw/s1600/unnamed+(7).jpg)