Programu ya kompyuta kuvuruga ATM wiki ijayo
Wiki moja kabla ya kusitishwa huduma za programu ya kompyuta (OS) ya Windows Xp, imefahamika kuwa waathirika wakubwa watakuwa ni benki na taasisi za fedha ambazo hutumia mfumo huo katika mashine za kutolea fedha (ATMs)
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi03 Jun
Halahala matumizi ya programu bandia za kompyuta
9 years ago
Dewji Blog23 Sep
Watumiaji wa programu za kompyuta waaswa kutumia program halisi —COSOTA
Afisa Mtendaji na Msimamizi wa Hakimiliki (COSOTA), Dorine Sinare akizungumza na baadhi ya wadau wa proramu mbalimbali za Komputa jijini Dar es Salaam jana.
Afisa Masoko Madogo na Uhusiano Ukanda wa Mashariki na Kusini mwa Afrika, Robin Njiru akielezea juu ya huduma zinazotolewa na kampuni ya Microsoft na koprogram mbalimbali za kompyuta jijini Dar es Salaam.
Afisa Mtendaji na Msimamizi wa Hakimiliki (Cosota), Dorine Sinare akiwa katika picha ya pamoja na wadau wa Program za Kompyuta...
9 years ago
Mtanzania17 Oct
Makaidi kuzikwa wiki ijayo
NA FARAJA MASINDE, DAR ES SALAAM
MWILI wa Mwenyekiti mwenza wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Dk. Emmanuel Makaidi aliyefariki dunia juzi kwa shinikizo la damu unatarajiwa kuzikwa wiki ijayo.
Taarifa ambazo gazeti hili limezipata kutoka ndani ya familia ya marehemu Makaidi, zinaeleza kuwa atazikwa kati ya Jumatatu au Jumanne.
Mke wa marehemu, Modesta Makaidi ambaye jana jioni alikuwa njiani kuelekea jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kuupeleka mwili wa marehemu, aliliambia gazeti hili...
10 years ago
Habarileo31 Oct
Bunge kuanza wiki ijayo
MKUTANO wa 16 na 17 wa Bunge unatarajiwa kuanza wiki ijayo, ambapo pamoja na mambo mbalimbali, utajadili miswada miwili binafsi, ukiwamo muswada binafsi wa mbunge, maazimio matatu na Muswada wa Kamati ya Bajeti.
10 years ago
Vijimambo10 Dec
JK kutoa maamuzi Escrow wiki ijayo
![](http://www.ippmedia.com/images/frontend/headline_bullet.jpg)
![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/09/jk.jpg)
Taarifa ya Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais Ikulu, ilieleza kuwa Rais Kikwete atafanya maamuzi hayo baada ya kupokea ripoti, nyaraka na ushauri wa Bunge kuhusu akaunti hiyo.
Taarifa hiyo ilieleza kuwa Rais Kikwete alipokea Ripoti ya...
9 years ago
Habarileo31 Dec
Kinondoni kujenga sekondari 6 wiki ijayo
WILAYA ya Kinondoni imeazimia wiki ijayo kuanza kujenga shule sita za sekondari katika kata zote ambazo hazina sekondari. Hatua hiyo imelenga kuwezesha wanafunzi 3,000 ambao wamefaulu mtihani wa darasa la saba na kukosa nafasi za kujiunga na kidato cha kwanza mwakani, wajiunge na masomo ya sekondari.
10 years ago
Mwananchi10 Aug
Madereva watishia kugoma wiki ijayo
11 years ago
Habarileo23 Jan
Wajumbe Bunge Katiba wiki ijayo
MAANDALIZI ya Bunge Maalumu la Katiba, yamefikia hatua nzuri zaidi na wiki ijayo majina 201 ya wajumbe wa nyongeza wa Bunge hilo, yatatangazwa katika Gazeti la Serikali ili kukamilisha wajumbe 604.
11 years ago
Tanzania Daima02 Aug
Who is My Child kuingizwa sokoni wiki ijayo
FILAMU ya ‘Who is My Child’ inayosubiriwa kwa shauku kubwa na wadau wa sinema za Kibongo, inatarajiwa kuingizwa sokoni Jumatatu ikiwa ni ya tatu kusambazwa na Kampuni ya 5 Effects...