Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


HIVI HAWA MAJAMAA BADO WAPO?

MAMBO vipi maanko, mnaenda sawa? Nimesikia wengi mko likizo hivi sasa, lakini baada ya muda siyo mrefu, mtarejea tena mashuleni kuendeleza libeneke. Sisi tunaendelea na msoto, kidogo angalau sasa hivi jamaa wa Brazuka wanatufariji. Nimeangalia mechi kadhaa za kombe la dunia na kugundua kuwa waafrika wengi (ukiacha wenye timu shiriki) wanashangilia timu za Afrika ‘kinazi’ tu. Hakuna shabiki wa kweli kutoka Tanzania...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Kaa mbali, hawa wapo kwenye gemu kitambo

Muziki wa kizazi kipya umetimiza miaka 15 tangu chimbuko lake ambalo kimsingi uliweza kupenya mwaka ya 2000 baada ya vita kali kati ya vijana na wazee ambao mwanzoni walishindwa kuuelewa.

 

9 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi wa Uganda bado wapo S Kusini

Uganda inasema wanajeshi wake bado wako Sudan Kusini ingawa siku ya kuondoshwa huko imefika

 

9 years ago

Michuzi

WANAWAKE NA WATOTO WA KIKE BADO WAPO NYUMA KATIKA MATUMIZI YA TEHAMA

Balozi Tuvako Manongi, Mwakilishi wa Kudumu wa   Tanzania katika Umoja wa Mataifa  akizungumza wakati wa Mkutano wa Ngazi ya Juu wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa kuhusu Teknolojia ya  Habari na Mawasiliano kwa Maendeleo. Mkutano huo wa siku mbili umefanyika hapa Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa jijini New York, Marekani
Na  Mwandishi Maalum,  New York

Wanawake na watoto wa kike wanaelezwa kama kundi ambalo bado  halijanufaika ipasavyo na  matumizi ya   Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (...

 

9 years ago

MillardAyo

TOP 5 Stori: Madrid wapo tayari Rodriguez ajiunge na Chelsea ila? Baada ya Mahrez kumsumbua Terry Chelsea waamua hivi …

Headlines za soka bado zinachukua nafasi kila kukicha na mimi mtu wangu siachi kukujuza kila linalonifikia, hususani katika kuelekea kipindi hiki cha dirisha dogo la usajili la mwezi January. Mtu wangu wa nguvu naomba nikusogezee TOP 5 stori za soka zilizoandikwa sana barani Ulaya. 5- Chelsea kutangaza dau la kumsajili Stones mwezi Janury Baada ya […]

The post TOP 5 Stori: Madrid wapo tayari Rodriguez ajiunge na Chelsea ila? Baada ya Mahrez kumsumbua Terry Chelsea waamua hivi … appeared...

 

9 years ago

Mwananchi

UCHAMBUZI LIGI KUU BARA : Mtibwa; wapo wapo tu, wanaishi kwa mazoea

Msimu mwingine kwa Mtibwa Sugar. Ni rahisi kutabiri kwamba maisha yao yataendelea kuwa vile vile kama ilivyokuwa kwa msimu uliopita. Wapo katika Ligi kwa misimu 18 mfululizo tangu walipopanda Ligi Kuu mwaka 1996.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Hivi Lowassa na ulanguzi umeme bado anaota urais?

KWA wanaokumbuka ndoa ya Waziri Mkuu wa zamani Edward Lowassa na Kampuni ya kitapeli ya Richmond iliyosababisha atimuliwe madarakani, hawana shaka kuwa ndoa hii haiwezi kuvunjika. Hata ikivunjika, bado mirindimo...

 

10 years ago

Mwananchi

Hivi kweli bado tuko makini na kura ya maoni aprili 30?

Kujikwaa siyo kuanguka, bado tunaweza kubadili mawazo kwa maslahi ya Taifa Zikiwa zimesalia siku 42 kufika tarehe 1 Machi 2015, tarehe ambayo kwa mujibu wa kifungu cha 5 cha Sheria ya Kura ya Maoni ndiyo siku ambayo Asasi za Kiraia baada ya kupewa ruhusa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi zitaanza kutoa elimu ya uraia juu ya Katiba Inayopendekezwa.

 

10 years ago

Vijimambo

HUKO KUNAKO LIGI YA BPL MAMBO HIKO HIVI BAADA YA MCHEZO WA LEO THE BLUES BADO MCHARO


POSLOGO &TEAMPWDLGDPTS1ChelseaChelsea30217237702ArsenalArsenal31196630633Manchester UnitedManchester United31188527624Manchester CityManchester City31187633615LiverpoolLiverpool3116699546Tottenham HotspurTottenham Hotspur3116695547SouthamptonSouthampton311651020538Swansea CitySwansea City3113711-2469West Ham UnitedWest Ham United311191124210Stoke CityStoke City3112613-44211Crystal PalaceCrystal Palace3110912-43912EvertonEverton3191012-33713Newcastle UnitedNewcastle United319814-163514West Bromwich AlbionWest Bromwich Albion318914-153315SunderlandSunderland3151412-202916Hull CityHull City3161015-142817Aston VillaAston Villa317717-222818BurnleyBurnley3151115-232619Queens Park RangersQueens Park Rangers317420-202520Leicester City

 

11 years ago

Michuzi

HAYA NDIO YANAYOENDELEA UWANJA WA TAIFA HIVI SASA,MECHI BADO HAIJAANZA LAKINI VITI ZAIDI YA 20 VYANG'OLEWA

 Katika hali isiyokuwa ya kawaida,Mashabiki wa timu ya Simba wameanza tena kung'oa viti vya kukalia uwanjani hapa na kuwatupia Mashabini wenzao wa Timu ya Yanga waliofurika kwa wingi uwanjani hapa,kwa kile kinachodaiwa kuwa hawataki kukaa nao sehemu moja.lakini kwa hali ilivyo hivi sasa Uwanjani hapa,ni dhahiri kabisa kuwa Mashabiki hao wa Yanga wanaweza kuujaza Uwanja huu hasa kwa jinsi wanavyozidi kuingia Uwanjani hapa.Uongozi wa Vilabu hivi viwili vikubwa hapa nchini unatakiwa kukaa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani