Kaa mbali, hawa wapo kwenye gemu kitambo
Muziki wa kizazi kipya umetimiza miaka 15 tangu chimbuko lake ambalo kimsingi uliweza kupenya mwaka ya 2000 baada ya vita kali kati ya vijana na wazee ambao mwanzoni walishindwa kuuelewa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo509 Jan
Nay Wa Mitego: Hawa wanaosanda gemu, watuachie muziki wetu, dongo kwa Nikki Mbishi?
Nay Wa Mitego a.k.a The True Boy ametoa kauli nyingine ambayo inaonekana wazi kuwa inamlenga rapper Nikki Mbishi. Baada ya hivi karibuni ‘kumpongeza’ rapper huyo kwa uamuzi wake wa kuacha muziki na kudai kuwa alichelewa sana kuchukua uamuzi huo, ameandika ujumbe mwingine unaoashiria kuwa ni dongo lingine kwa Nikki Mbishi. Kupitia Facebook Nay ameandika: “Hawa […]
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/m1tWer77BeB0Zk5Shogo3fDothM94qc3yDIx-EDNTorNn4SMpssWqwLcb6nqH2Blz3JnmxAa26zldyAJnMwUJjh5xRJ4n3GE/ofm.jpg?width=650)
UKIKUTANA NA MTU HUYU, KAA MBALI!
Stori: MWANDISHI WETU
Kuna mtu mmoja almaarufu kwa jina la Kamanda au Kachero wa OFM (Oparesheni Fichua Maovu) ya Global Publishers ambaye unashauriwa ukikutana naye kaa mbali, pata undani wake. Kamanda au Kachero wa OFM (Oparesheni Fichua Maovu). Jamaa huyo hatari amedhamiria kuibadili Tanzania kimaadili kwa kuibua na kufichua uovu katika jamii.
Tayari amefanya matukio mengi makubwa ya kufichua uovu ndani na nje ya Jiji la...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vcB-R4TFh6qfioDdpCsFsFVP-NCep9gi8DCCJaNxewDMqez7anAWhsgEaunIdNFOSyv5fLLfd4ozppuEo4JjbxQav4nF-C9I/students21.jpg?width=650)
HIVI HAWA MAJAMAA BADO WAPO?
MAMBO vipi maanko, mnaenda sawa? Nimesikia wengi mko likizo hivi sasa, lakini baada ya muda siyo mrefu, mtarejea tena mashuleni kuendeleza libeneke. Sisi tunaendelea na msoto, kidogo angalau sasa hivi jamaa wa Brazuka wanatufariji. Nimeangalia mechi kadhaa za kombe la dunia na kugundua kuwa waafrika wengi (ukiacha wenye timu shiriki) wanashangilia timu za Afrika ‘kinazi’ tu. Hakuna shabiki wa kweli kutoka Tanzania...
5 years ago
BBCSwahili22 Feb
Bernie Sanders amuonya Putin: 'Kaa mbali na uchaguzi wa Marekani'
Bernie Sanders ameshutumu taarifa za kwamba Urusi inajitahidi kusaidia katika kampeni yake
10 years ago
MichuziTASWIRA MBALI MBALI ZA MJI WA MOSHI UKIWA KWENYE MAANDALIZI YA KUWA JIJI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rFFi-SX8PjWMF-FYhYEuuvhj6VwjNXxNHF351XI6rZBqVEy9gilnZxcwslYo3O3SPcD8MRYcftdKHA3G*DOQX57i3kyyesOY/StevenSeagal.jpg?width=650)
MASTAA 15 WA FILAMU WALIOFULIA KWENYE GEMU
Steven Seagal. Steven Seagal - Huyu wote tunamkumbuka kwa movie zake za kuvunjana enzi zile za kuangalia movie za Mkandala, kwa sasa maisha ya movie hayana jipya kwake kwani waigizaji wapya kama Jet Lee wameshaiteka sanaa. Macaulay Culkin. Macaulay Culkin - Bila shaka huyu aliikosha mioyo yetu enzi zile tunaanza kuwa wapenzi wa…
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-a-FzCyHE-AsJ1I5osPcRz5UVySI3i2LWAOtK5MgeCZWLdoN0pj2OTM2vUMAxquUn3hYfa-gvk*kNBpIaxCW8qaTfzeMgZgm/chilo.jpg?width=650)
MIAKA 10 KWENYE GEMU MZEE CHILO: SANAA HAILIPI!
UKIWATAJA wasanii wakongwe wa tasnia ya filamu wenye umri mkubwa na majina Bongo, hutakosa kumtaja nguli wa filamu, Ahmed Olotu maarufu kama ‘Mzee Chilo.’ Nguli wa filamu, Ahmed Olotu maarufu kama ‘Mzee Chilo.’ Mkongwe huyu mwenye miaka 65 aliyejikita kwenye tasnia ya filamu tangu miaka 10 iliyopita na kujipatia umaarufu mkubwa kupitia Tamthiliya ya Jumba la Dhahabu iliyokuwa ikirushwa na kituo cha TBC...
5 years ago
CCM BlogCHID BENZ AKEMEA WANAOFANYA MZAHA MITANDAONI KUHUSU UGONJWA WA CORONA, ASEMA AMEACHA KUTUMIA DAWA ZA KULEVYA, ANAJIANDAA KURUDI KWENYE 'GEMU'
Na Anitha Jonas – WHUSM
Mwanamuziki ambaye ni miongoni mwa wanamuziki waasisi wa muziki wa Bongofleva hapa nchini, Rashid Abdallah (Chid...
9 years ago
Mwananchi07 Sep
UCHAMBUZI LIGI KUU BARA : Mtibwa; wapo wapo tu, wanaishi kwa mazoea
Msimu mwingine kwa Mtibwa Sugar. Ni rahisi kutabiri kwamba maisha yao yataendelea kuwa vile vile kama ilivyokuwa kwa msimu uliopita. Wapo katika Ligi kwa misimu 18 mfululizo tangu walipopanda Ligi Kuu mwaka 1996.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania