MASTAA 15 WA FILAMU WALIOFULIA KWENYE GEMU
![](http://api.ning.com:80/files/rFFi-SX8PjWMF-FYhYEuuvhj6VwjNXxNHF351XI6rZBqVEy9gilnZxcwslYo3O3SPcD8MRYcftdKHA3G*DOQX57i3kyyesOY/StevenSeagal.jpg?width=650)
Steven Seagal. Steven Seagal - Huyu wote tunamkumbuka kwa movie zake za kuvunjana enzi zile za kuangalia movie za Mkandala, kwa sasa maisha ya movie hayana jipya kwake kwani waigizaji wapya kama Jet Lee wameshaiteka sanaa. Macaulay Culkin. Macaulay Culkin - Bila shaka huyu aliikosha mioyo yetu enzi zile tunaanza kuwa wapenzi wa…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-a-FzCyHE-AsJ1I5osPcRz5UVySI3i2LWAOtK5MgeCZWLdoN0pj2OTM2vUMAxquUn3hYfa-gvk*kNBpIaxCW8qaTfzeMgZgm/chilo.jpg?width=650)
MIAKA 10 KWENYE GEMU MZEE CHILO: SANAA HAILIPI!
10 years ago
Mwananchi21 Mar
Kaa mbali, hawa wapo kwenye gemu kitambo
5 years ago
CCM BlogCHID BENZ AKEMEA WANAOFANYA MZAHA MITANDAONI KUHUSU UGONJWA WA CORONA, ASEMA AMEACHA KUTUMIA DAWA ZA KULEVYA, ANAJIANDAA KURUDI KWENYE 'GEMU'
Na Anitha Jonas – WHUSM
Mwanamuziki ambaye ni miongoni mwa wanamuziki waasisi wa muziki wa Bongofleva hapa nchini, Rashid Abdallah (Chid...
11 years ago
GPLMASTAA WA FILAMU WALA SHAVU MAJUU
10 years ago
Bongo Movies06 Jul
Wake Up Filamu ya Kwanza Bongo Kuchezwa na Mastaa Wengi
TASNIA ya filamu imezidi kukua na kusonga mbele kila siku, thamani ya wasanii wanalipwa fedha nyingi kwa kushiriki filamu moja jambo linalomfanya mtayarishaji kutumia wasanii wachache kwa filamu yake lake katika sinema ya WAKE UP imevunja rekodi kuwashirikisha nyota wengi.
Akiongea na waandishi wa Habari mtayarishaji wa filamu hiyo Manaiki Sanga amesema kuwa sinema hiyo ilikuwa na kazi kubwa kwani hata kama mwigizaji angetaka kuigiza bure shughuli ilikuwa kuwahudumia mahitaji yao kwani ni...
9 years ago
MillardAyo29 Dec
Ninazo picha 20 za uzinduzi wa filamu mpya ‘Home Coming’.. mastaa wahudhuria
Mastaa mbalimbali leo Dec 29 walikutana cinema Mlimani City kwenye uzinduzi wa filamu mpya iliyopewa jina la Home Coming ambayo ndani ya movie hiyo kuna mastaa walioshiriki akiwemo Mzee Chilo na Hasheem Kambi, Bramsen, Olotu, Gordian, Munisi na wengineo. Hapa nimekusogezea baadhi picha uone jinsi tukio lilivyofanyika Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa […]
The post Ninazo picha 20 za uzinduzi wa filamu mpya ‘Home Coming’.. mastaa wahudhuria appeared first on...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-lnN28vSSBQk/Vl7kurTIPZI/AAAAAAAAMBs/BGjut54I3NU/s72-c/download.jpg)
MASTAA KIBAO NDANI YA FILAMU YA HOMECOMING, KUTINGA SOKONI MWEZI HUU
![](http://2.bp.blogspot.com/-lnN28vSSBQk/Vl7kurTIPZI/AAAAAAAAMBs/BGjut54I3NU/s640/download.jpg)
Mwongozaji mahiri wa filamu ya Homecoming inayotarajiwa kuingia sokoni hivi karibuni, Seko Shamte. Filamu hiyo iliyotengenezwa na kampuni ya Alkemist Media ina ujumbe wa kuhusiana na vishawishi vya rushwa pamoja na athari zake kwa wafanyakazi na jamii kwa ujumla.
10 years ago
Bongo Movies12 May
Nisha Awapasha Watayarishaji wa filamu na Mastaa wa Bongo Movies, Yeye Aonyesha Njia
Hili naomba niwaulize ma- producers, mastaaa wengine,na mashabiki wote.. hivi mnajua kuna vipaji sana nje ya wanaojiita mastaa ila bado hawajapata nafasi??
Hivi ni kubaniwa ama nini hadi wengine hawaonekani? Kama sisi tungebaniwa tungetoka? Hebu tuacheni maringo na kusaidia wenye uhitaji .
Mnayemuona juu hapo (Pichani) anaitwa Jenifer Temu picha tu jinsi alivyovaa uhusika inajieleza ni kwa jinsi gani amevaa uhusika kwenye filamu ya Mtaa kwa Mtaa, si huyo tu wapo wengi katika wale 50...