CHID BENZ AKEMEA WANAOFANYA MZAHA MITANDAONI KUHUSU UGONJWA WA CORONA, ASEMA AMEACHA KUTUMIA DAWA ZA KULEVYA, ANAJIANDAA KURUDI KWENYE 'GEMU'
Msanii wa muziki wa Bongofleva Rashid Abdallah (Chid Benz) akimweleza jambo Naibu Waziri Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Juliana Shonza, katika mazungumzo yao yaliyofanyika leo jijini Dodoma. Chid amemweleza Naibu Waziri kuwa wiki ijayo anatarajia kutoa video ya wimbo wake wa Beautiful na pia atatunga wimbo kuhusu virusi vya ugonjwa wa Corona.
Na Anitha Jonas – WHUSM
Mwanamuziki ambaye ni miongoni mwa wanamuziki waasisi wa muziki wa Bongofleva hapa nchini, Rashid Abdallah (Chid...
CCM Blog
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania