WAKULIMA WA SHAYIRI MONDULI JUU WALIOFADHILIWA NA TBL WAPATA MAVUNO MENGI
![](http://2.bp.blogspot.com/-AZdln8Jv2Mg/U-YuzLA2f_I/AAAAAAAArfo/dzSx3gTxBSg/s72-c/01.jpg)
Mkulima (wa pili kulia) wa Shayiri katika mashamba ya Monduli Juu, wilayani Monduli mkoani Arusha akiendelea na uvunaji wa Shayiri kwa kutumia mashine ya kisasa ambapo wameweza kuvuna hadi gunia 1o kwa hekari moja. Wakulima wa Monduli Juu wameanza kuvuna mazao yao, baada ya kuwezeshwa na Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) iliyowapatia mafunzo, mikopo ya mbolea na dawa. Pia shayiri hiyo hununuliwa na TBL kwa ajili ya kutengenezea kimea katika kiwanda kilichopo Moshi, mkoani Kilimanjaro.
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziWAKULIMA WA SHAYIRI MONDULI WAELEZEA MAFANIKIO YAO KWA TBL
Baadhi ya Wanawake wanaojishughulisha na kilimo cha Shayiri wakiwa katika picha ya pamoja na Ofisa wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Editha anayesimamia wakulima katika eneo hilo la Monduli Juu, wilayani Monduli mkoani Arusha.
![](http://4.bp.blogspot.com/-dJWPKBBy1Ew/VGzyPQiv4KI/AAAAAAAAwbY/Lg-HoyLxM74/s1600/MEPOROO%2BTREKTA%2BMAFANIKIO.jpg)
11 years ago
Dewji Blog10 Jun
TBL yatoa elimu kwa wakulima juu ya uzalishaji bora wa zao la Shayiri
Joel Msechu mtaalamu wa zao la shayiri kutoka Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) akiwaonesha wakulima magonjwa wa shayiri na namna ya kuzuia magonjwa hayo katika katika mashamba yaliyopo Kijiji cha Emairete Monduli juu, mkoani Arusha. Wakulima hao huwezeshwa na Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) katika uzalishaji wa zao hilo ambalo ni malighafi ya kutengenezea bia zinzozalishwa na kampuni hiyo.
Meneja wa Zao la Shayiri Dk. Bennie Basson akiwaonesha wakulima kijitabu cha muongozo wa kilimo cha...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-Cz0M8gkRPLE/VXpWxoGjB8I/AAAAAAAA2fY/0DHQmY41TnU/s72-c/01.jpg)
TBL YAFANIKISHA SIKU YA SHAYIRI MONDULI
![](http://3.bp.blogspot.com/-Cz0M8gkRPLE/VXpWxoGjB8I/AAAAAAAA2fY/0DHQmY41TnU/s640/01.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-58MI_CwaojY/VXpWxjrPfXI/AAAAAAAA2fg/kW4ztjCofrw/s320/TBL%2B1.jpg)
11 years ago
Michuzi10 Jun
TBL YATOA SOMO LA UKULIMA BORA WA ZAO LA SHAYIRI MKOANI ARUSHA
Joel Msechu mtaalamu wa zao la shayiri kutoka Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) akiwaonesha wakulima magonjwa wa shayiri na namna ya kuzuia magonjwa hayo katika katika mashamba yaliyopo Kijiji cha Emairete Monduli juu, mkoani Arusha. Wakulima hao huwezeshwa na Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) katika uzalishaji wa zao hilo ambalo ni malighafi ya kutengenezea bia zinzozalishwa na kampuni hiyo.
10 years ago
Tanzania Daima18 Oct
Shayiri ilivyobadili maisha ya wakulima
MAISHA ya wakulima wa Shayiri katika mikoa ya Manyara, Arusha na Kilimanjaro sasa yamebadilika kutokana na faida inayopatikana na kilimo cha Shayiri. Miaka iliyopita ujenzi wa nyumba za kisasa na...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ntSZl8IJ-ZY/VEYA0xHruDI/AAAAAAAAvpc/ODjai5AQg9Y/s72-c/KIMEA%2B2.jpg)
WAKULIMA WA ZAO LA SHAYIRI WATEMBELEA KIWANDA CHA KIMEA CHA TBLMOSHI
![](http://2.bp.blogspot.com/-ntSZl8IJ-ZY/VEYA0xHruDI/AAAAAAAAvpc/ODjai5AQg9Y/s1600/KIMEA%2B2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-3gc-nQobvjc/VEYAQvEWL1I/AAAAAAAAvpM/AcBXuF96oHE/s1600/KIMEA%2B3.jpg)
9 years ago
VijimamboMAOFISA WA TAASISI YA STEP1 YA KOREA WAPATA MAFUNZO YA UENDESHAJI MITAMBO TBL
10 years ago
Michuzi07 Nov
WALIOWEZESHWA NA TBL KUPITIA PROMOSHENI YA SAFARI LAGER WEZESHWA WAPATA MAFANIKIO MAKUBWA
9 years ago
Mwananchi19 Nov
Wakulima Karatu wapata mwekezaji