WAKULIMA KONDOA, MBARALI WAPATA MATREKA
Kampuni ya Kariati Matracktor Diwani wa Kata ya Kwadelo, Kondoa mkoani Dodoma, Omary Kariati, leo imekabidhi matrekta manne kwa wakulima wa wilaya ya Kondoa (matrekta matatu) na Mbarali (trekta moja), katika hafla iliyofanyika leo asubuhi, kwenye Ofisi za Kariati Matrektor, Kinondoni, Dar es Salaam. Zinazofuatia ni picha za hafla hiyo. Picha/Maelezo na Bashir Nkoromo Mkurugenzi Mtendaji wa Kariati Matractor, Omary Kariati akimkabidhi fungua za trekta Mwakilishi wa wkulima wa Kondoa, Karoli...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo26 Oct
Kondoa, Mbarali wapewa matrekta
WA K U L I M A wa Wilaya ya Kondoa mkoani Dodoma na Mbarali mkoani Mbeya, wamekabidhiwa matrekta manne ambayo ni mkopo kutoka kwa kituo cha kusambaza matrekta kwa wakulima cha Kariati Matrekta, huku wakitakiwa kuyatumia katika kuleta maendeleo katika kilimo.
10 years ago
Mwananchi31 Jan
MTERA, KONDOA KASKAZINI NA KONDOA KUSINI : UKAWA IJIFUNGE MKANDA
9 years ago
Mwananchi19 Nov
Wakulima Karatu wapata mwekezaji
10 years ago
Mwananchi09 Dec
Mtandao wa wakulima wapata viongozi wapya
10 years ago
Habarileo12 Oct
Wakulima wapata ziada ya chakula asilimia 125
HALI ya chakula nchini kwa mwaka huu ni ya kuridhisha ambapo takwimu zinaashiria kuwepo kwa ongezeko kubwa la uzalishaji, ikiwa ni pamoja na ziada ya asilimia 125 katika mikoa 18, imeelezwa.
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-AZdln8Jv2Mg/U-YuzLA2f_I/AAAAAAAArfo/dzSx3gTxBSg/s72-c/01.jpg)
WAKULIMA WA SHAYIRI MONDULI JUU WALIOFADHILIWA NA TBL WAPATA MAVUNO MENGI
![](http://2.bp.blogspot.com/-AZdln8Jv2Mg/U-YuzLA2f_I/AAAAAAAArfo/dzSx3gTxBSg/s1600/01.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Eft0Dh0My2o/U-Yuy4TVj2I/AAAAAAAArfw/rkwimgj6caE/s1600/PIX+1.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-FgLfDOG1RHc/VZsXKAI0-sI/AAAAAAAATFM/VcpK8wXJ54k/s72-c/IMG-20150706-WA0053.jpg)
MTIA NIA UBUNGE JIMBO LA MBARALI LIBERATUS MWANG'OMBE AWASILI MWALIMU NYERERE INTERNATIONA AIRPORT TAYARI KWA KUANZA SAFARI YAKE YA KUWATUMIKIA WANA MBARALI
![](http://1.bp.blogspot.com/-FgLfDOG1RHc/VZsXKAI0-sI/AAAAAAAATFM/VcpK8wXJ54k/s1600/IMG-20150706-WA0053.jpg)
Mwang'ombe anatarajia kuwa na mikutano na baadhi ya viongozi wa kitaifa Makao Makuu ya CHADEMA hapo kesho kabla ya kuelekea jimboni, Mbarali, siku mbili zijazo.
Akiongea na muwakilishi wa studio za SUN SHINE kutoka Chimala punde tu alipo shuka Airport ya Mwalimu Nyerere, Mwang'ombe amesema...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-q93gbVMHzZk/VoAwJrpwjsI/AAAAAAAIO8A/SO56oVSetb0/s72-c/1b149d1d-4f59-4ada-9092-3e2919959d41.jpg)
BENKI YA WAKULIMA YAMWAGA MIKOPO KWA WAKULIMA
11 years ago
Habarileo29 Jul
Sikika yafungiwa milango Kondoa
SHIRIKA lisilo la kiserikali la Sikika limefukuzwa kufanya kazi zake katika Halmashauri ya Wilaya ya Kondoa mkoani Dodoma kutokana na kutuhumiwa kudhalilisha madiwani na watendaji kwa wananchi kwa kudai hawajasoma na hawawajibiki katika utendaji wao.
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10