Wanawake wazidi kuongezeka nchini
Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) imesema matokeo ya sensa ya watu na makazi yanaonyesha kuwa idadi ya wanawake inaendelea kuongezeka kulinganisha na wanaume.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo19 Oct
Warundi wanaosaka hifadhi wazidi kuongezeka
IDADI ya raia wa Burundi wanaoingia nchini kutafuta hifadhi ya ukimbizi imetajwa kuwa inazidi kuongezeka siku hadi siku. Taarifa iliyotolewa na msemaji wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Isaac Nantanga imesema hadi Oktoba 17 mwaka huu, idadi imefikia 107,112.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-VnOk3hzpLcU/VUYymMOFQXI/AAAAAAAHVAo/cqfCnXUjx2Y/s72-c/20150503073519.jpg)
NEWS ALERT: Waomba hifadhi kutoka nchini Burundi wazidi kuwasili nchini
![](http://1.bp.blogspot.com/-VnOk3hzpLcU/VUYymMOFQXI/AAAAAAAHVAo/cqfCnXUjx2Y/s1600/20150503073519.jpg)
11 years ago
Mwananchi04 Feb
Matumizi ya mbolea nchini sasa yadaiwa kuongezeka
11 years ago
Mwananchi29 Apr
Vituo vya kupigia kura kuongezeka maradufu nchini
10 years ago
Tanzania Daima29 Aug
Wanawake Arusha wazidi kuishi kwa hofu
WANAWAKE jijini Arusha, wamesema usalama wao uko matatani kutokana na kuongezeka kwa matukio yanayowalenga ya kushambuliwa kwa risasi na watu wanaokuwa kwenye bodaboda, ambako wengine wakijeruhiwa vibaya huku wawili wakifariki...
9 years ago
VijimamboIDADI YA RAIA WA BURUNDI WANAOINGIA NCHINI KUTAFUTA HIFADHI YA UKIMBIZI YAZIDI KUONGEZEKA
Idadi ya raia wa Burundi wanaoingia nchini kutafuta hifadhi ya ukimbizi inazidi kuongezeka siku hadi siku ambapo hadi...
9 years ago
Mwananchi02 Nov
Swala wazidi kusaka mafuta nchini
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-e3hpUJ0tiRk/Xs_QMnk2x3I/AAAAAAALr54/Dp7s1rTY93oa5upBQQt5Fi2FNClgLuUKQCLcBGAsYHQ/s72-c/b3db98b9-b5f7-4b97-8509-ef24b334cda6.jpg)
UGONJWA WA MALARIA WAZIDI KUPUNGUA NCHINI
Takwimu za kitaifa za viashiria vya malaria kwa mwaka 2017 (Malaria Indicator Survey) inaonesha kuwa upatikanaji wa vyandarua (access) kwa wananchi kitaifa ni asilimia 63 na matumizi ya vyandarua kwa wanajamii kitaifa ni asilimia 52.
Hayo yamesemwa leo na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe.Ummy Mwalimu wakati wa uzinduzi wa ugawaji wa vyandarua kwa kila kaya uliofanyika wilayani Chunya.
Waziri Ummy amesema kuwa Mkoa wa Mbeya, upatikanaji wa...