Swala wazidi kusaka mafuta nchini
Kampuni ya Mafuta na Gesi ya Swala inaendelea na programu zake za kutafuta mafuta nchini licha ya bei kwenye soko la dunia kushuka.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima11 Jun
LHRC, TLS wazidi kusaka haki
KITUO cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) na Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), wamesema kuwa wanapinga hukumu ya pili iliyoeleza kuwa hawana mamlaka ya kumshitaki Waziri Mkuu kwa kuwa...
10 years ago
Tanzania Daima01 Nov
Utafiti wa Swala kusaidia upatikanaji wa mafuta, gesi
KAMPUNI ya mafuta na gesi ya Swala imetoa ushahidi mafanikio ya utafiti uliofanyika katika bonde la Kilombero wilayani Kilosa ambapo matokeo hayo yatatasaidia kurahisisha kazi ya uchimbaji visima mwaka 2015....
9 years ago
Dewji Blog06 Oct
Swala Tanzania kuanza uchimbaji mafuta Kilombero
Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Mafuta na Gesi ya Swala (Tanzania) PLC, David Mestres Ridge (kulia).
Kampuni ya mafuta na gesi ya Swala Tanzania PLC inapenda kutaarifu kwamba imechagua eneo kwa ajili ya uchimbaji wa kisima cha mafuta na utafutaji kwa mwaka 2016 ambao utafanyika kwenye eneo tarajiwa la Kito kwenye leseni ya Kilosa- Kilombero.
Akifafanua kuhusu kuanza kwa uchimbaji huo, Ofisa Mtendaji Mkuu wa Swala, David Mestres Ridge alisema kuwa tafsiri ya marudio ya 2013 na 2014...
11 years ago
Dewji Blog09 Jun
Kampuni ya Mafuta na Gesi ya Swala (Tanzania) PLC inatangaza uzinduzi wa IPO
Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Mafuta na Gesi ya Swala (Tanzania) PLC, David Mestres Ridge (kulia), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, kuhusu ufunguzi wa ofa ya awali kwa umma ijulikanayo kwa kifupi (IPO) ambayo itakuwa na hisa za kawaida,9,600,000. Kushoto ni Mkurugenzi Mkuu wa ARCH Financial $ Investment Adivisory Limited,Iyen Nsemwa. (Na Mpiga picha Wetu)
Mkurugenzi wa Kampuni ya Mafuta na Gesi ya Swala (Tanzania) PLC, Abdullah Mwinyi (katikati),...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-R_ty8Fvbb1g/U5X_VoWKWPI/AAAAAAAFpUU/IHrHK0NiH-I/s72-c/PHOTO+SWALA2.jpg)
KAMPUNI YA MAFUTA NA GESI YA SWALA (TANZANIA) PLC INATANGAZA UZINDUZI WA IPO
![](http://1.bp.blogspot.com/-R_ty8Fvbb1g/U5X_VoWKWPI/AAAAAAAFpUU/IHrHK0NiH-I/s1600/PHOTO+SWALA2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-sOmAwmbwI_M/U5X_VXipEFI/AAAAAAAFpUQ/8ZbdrQr5am8/s1600/PHOTO+SWALA1.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-KHFJrlEbL80/U-i8ZWTpc0I/AAAAAAAF-co/0lIfalBv8FU/s72-c/unnamed1.jpg)
Kampuni ya Mafuta na Gesi ya Swala yakaribishwa rasmi Soko la Hisa la Dar
![](http://1.bp.blogspot.com/-KHFJrlEbL80/U-i8ZWTpc0I/AAAAAAAF-co/0lIfalBv8FU/s1600/unnamed1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-xRbKGCbj9xg/U-i8ZhQh4EI/AAAAAAAF-cw/ZNaruklvA4Q/s1600/unnamed2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-TLFi5FYUa3Q/U-i8ZAplE7I/AAAAAAAF-ck/VWc11NI2EYg/s1600/unnamed3.jpg)
11 years ago
Dewji Blog12 Aug
Kampuni ya Mafuta na Gesi ya Swala yakaribishwa rasmi Soko la Hisa la Dar es Salaam
![2](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/08/26.jpg)
Afisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Mafuta na Gesi ya Swala Bw. David Mestres akiongea na waandishi wa habari(hawapo pichani) wakati wa sherehe za kukaribishwa rasmi kwa kampuni ya Swala kwenye soko la Hisa la Dar Es Salaam.
Mwenyekiti wa Kampuni ya Mafuta na Gesi ya Swala Bw. Ernest...
10 years ago
VijimamboMamlaka ya Udhibiti wa Nishati, Maji na Mafuta (Ewura), imepunguza bei za mafuta kote nchini
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-VnOk3hzpLcU/VUYymMOFQXI/AAAAAAAHVAo/cqfCnXUjx2Y/s72-c/20150503073519.jpg)
NEWS ALERT: Waomba hifadhi kutoka nchini Burundi wazidi kuwasili nchini
![](http://1.bp.blogspot.com/-VnOk3hzpLcU/VUYymMOFQXI/AAAAAAAHVAo/cqfCnXUjx2Y/s1600/20150503073519.jpg)