IDADI YA RAIA WA BURUNDI WANAOINGIA NCHINI KUTAFUTA HIFADHI YA UKIMBIZI YAZIDI KUONGEZEKA
Baadhi ya Wakimbizi kutoka Burundi wakipokelewa katika Kambi ya Wakimbizi ya Nduta, wilayani Kobondo, mkoani Kigoma. Idadi ya wakimbizi kutoka nchini humo inazidi kuongezeka siku hadi siku. Picha na Felix Mwagara, Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi
Watoto wa Wakimbizi kutoka Burundi wakiwa katika Kambi ya Wakimbizi ya Nduta wilayani Kibondo, mkoani Kigoma ambapo wanahifadhiwa
Idadi ya raia wa Burundi wanaoingia nchini kutafuta hifadhi ya ukimbizi inazidi kuongezeka siku hadi siku ambapo hadi...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziKigoma wapongezwa kwa ubunifu wa kuwasafirisha waomba hifadhi ya ukimbizi kutoka Burundi wanaoingia nchini
10 years ago
Mwananchi19 Jan
Idadi ya vijana wanaoajiriwa yazidi kuongezeka
10 years ago
Mtanzania05 May
Raia 1800 wa Burundi waomba hifadhi nchini
NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM
RAIA wa Burundi waliongia nchini na kuomba hifadhi wamefikia 1,852 hadi sasa.
Taarifa iliyotolewa jana na Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Isaac Nantanga, ilieleza raia hao waliingia nchini kupitia vijiji mbalimbali vya Mkoa wa Kigoma.
Alivitaja vijiji hivyo kuwa ni pamoja na Kigaye, Sekeoya na Kakonko. Vingine ni Kosovo, Kagunga na Kibuye, huku wengine wakiwa wamepitia katika Kituo cha Uhamiaji cha Manyovu kilichopo mkoani humo.
Alisema baada ya...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-vPa_eVM1UxY/Vc3pxZyEeyI/AAAAAAAHwnI/18p9weMWb-s/s72-c/download.jpg)
IDADI YA WANAFUNZI WANONUFAIKA NA MIKOPO YAZIDI KUONGEZEKA
![](http://2.bp.blogspot.com/-vPa_eVM1UxY/Vc3pxZyEeyI/AAAAAAAHwnI/18p9weMWb-s/s1600/download.jpg)
Katika mwaka wa masomo wa 2005/2006 Bodi ya Mikopo ilitoa mikopo kwa wanafunzi 42,729 iliyogharimu sh. bilioni 56.1 na mwaka wa masomo wa 2014/2015 bodi ya mikopo ilitoa mikopo kwa wanafunzi 98,000 iliyogharimu shilingi bilioni 345.
Hayo yalisemawa leo na Kaimu...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Qkqc5h30jf8/VUdWeahkRjI/AAAAAAAHVHw/Oaey8nD5Kkc/s72-c/download.jpg)
JUST IN: TAARIFA KUHUSU RAIA WA BURUNDI WALIOINGIA NCHINI KUOMBA HIFADHI
![](http://3.bp.blogspot.com/-Qkqc5h30jf8/VUdWeahkRjI/AAAAAAAHVHw/Oaey8nD5Kkc/s1600/download.jpg)
Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi inapenda kutoa taarifa kuwa hadi jana tarehe 03 Mei, 2015 raia wa Burundi waliongia nchini kuomba hifadhi walikuwa 1,852. Raia hawa wa Burundi waliingia nchini kupitia vijiji mbalimbali vya mkoa wa Kigoma. Vijiji hivyo ni pamoja na kijiji cha Kigaye, Sekeoya na Kakonko. Vingine ni Kosovo, Kagunga na Kibuye, huku wengine wakiwa wamepitia katika Kituo cha Uhamiaji cha Manyovu kilichopo mkoani...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-MBWepqRiGa0/VT43vjPY-JI/AAAAAAAHTjo/bmg0KKHRxLo/s72-c/1.jpg)
IDADI YA WATU WALIOFARIKI DUNIA KWENYE TETEMEKO LA ARDHI NEPAL YAZIDI KUONGEZEKA
![](http://2.bp.blogspot.com/-MBWepqRiGa0/VT43vjPY-JI/AAAAAAAHTjo/bmg0KKHRxLo/s1600/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-BWqcKpOZBz4/VT43wEsk7OI/AAAAAAAHTjw/-GGFjblnPFE/s1600/2.jpg)
katika tetemeko la ardhi mjini Kathmand nchini Nepal.Kwa msaada wa mtandaoMAMLAKA ya nchini Nepal imesema kuwa zaidi ya watu 3300 wamesemekana kufairki dunia kutokana na Tetemeko kubwa la ardhi lililotokea jumamosi katika mji wa Kathmandu nchini humo.Waokoaji wanchi hiyo wamesema wanaendelea kuchunguza...
10 years ago
StarTV05 May
Wakimbizi toka Burundi wanaoingia nchini wafikia 1,635
Na Kisali Simba,
Kigoma.
Idadi ya wakimbizi wanaoingia nchini kutoka Burundi kupitia Kijiji cha Kagunga katika halmashauri ya wilaya ya Kigoma imefikia 1,635.
Ujio wa wakimbizi hao unatokana na machafuko yanayoendelea katika mji mkuu wa nchi hiyo Bujumbura ambapo Polisi kunawadhibiti waandamanaji wanaopinga mpango wa Rais Pierre Nkurunziza wa kutaka kujiongeza awamu ya tatu ya madaraka.
Wakimbizi wanaendelea kuingia nchini Tanzania kupitia mkoa wa kigoma wengi wao wakiwa ni...
10 years ago
BBCSwahili08 May
Raia wa Burundi waomba hifadhi Tanzania
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-FxrWMrAPzjAFOsaWT0oINwcc-hZQP0m4UON*hkpkSMgMJzGhbZ-ZhAkOgMhOnXRv6sbVceGVni886NHkT7uF6V49hK8-ORu/yazid.jpg?width=650)
IS WAUA RAIA 300 WA YAZIDI NCHINI IRAQ