Raia 1800 wa Burundi waomba hifadhi nchini
NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM
RAIA wa Burundi waliongia nchini na kuomba hifadhi wamefikia 1,852 hadi sasa.
Taarifa iliyotolewa jana na Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Isaac Nantanga, ilieleza raia hao waliingia nchini kupitia vijiji mbalimbali vya Mkoa wa Kigoma.
Alivitaja vijiji hivyo kuwa ni pamoja na Kigaye, Sekeoya na Kakonko. Vingine ni Kosovo, Kagunga na Kibuye, huku wengine wakiwa wamepitia katika Kituo cha Uhamiaji cha Manyovu kilichopo mkoani humo.
Alisema baada ya...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili08 May
Raia wa Burundi waomba hifadhi Tanzania
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-VnOk3hzpLcU/VUYymMOFQXI/AAAAAAAHVAo/cqfCnXUjx2Y/s72-c/20150503073519.jpg)
NEWS ALERT: Waomba hifadhi kutoka nchini Burundi wazidi kuwasili nchini
![](http://1.bp.blogspot.com/-VnOk3hzpLcU/VUYymMOFQXI/AAAAAAAHVAo/cqfCnXUjx2Y/s1600/20150503073519.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Qkqc5h30jf8/VUdWeahkRjI/AAAAAAAHVHw/Oaey8nD5Kkc/s72-c/download.jpg)
JUST IN: TAARIFA KUHUSU RAIA WA BURUNDI WALIOINGIA NCHINI KUOMBA HIFADHI
![](http://3.bp.blogspot.com/-Qkqc5h30jf8/VUdWeahkRjI/AAAAAAAHVHw/Oaey8nD5Kkc/s1600/download.jpg)
Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi inapenda kutoa taarifa kuwa hadi jana tarehe 03 Mei, 2015 raia wa Burundi waliongia nchini kuomba hifadhi walikuwa 1,852. Raia hawa wa Burundi waliingia nchini kupitia vijiji mbalimbali vya mkoa wa Kigoma. Vijiji hivyo ni pamoja na kijiji cha Kigaye, Sekeoya na Kakonko. Vingine ni Kosovo, Kagunga na Kibuye, huku wengine wakiwa wamepitia katika Kituo cha Uhamiaji cha Manyovu kilichopo mkoani...
10 years ago
MichuziKigoma wapongezwa kwa ubunifu wa kuwasafirisha waomba hifadhi ya ukimbizi kutoka Burundi wanaoingia nchini
9 years ago
VijimamboIDADI YA RAIA WA BURUNDI WANAOINGIA NCHINI KUTAFUTA HIFADHI YA UKIMBIZI YAZIDI KUONGEZEKA
Idadi ya raia wa Burundi wanaoingia nchini kutafuta hifadhi ya ukimbizi inazidi kuongezeka siku hadi siku ambapo hadi...
10 years ago
MichuziIdara ya uratibu wa maafa yaridhishwa na zoezi la upokeaji waomba hifadhi kutoka burundi
10 years ago
BBCSwahili20 Nov
Vijana Eritrea waomba hifadhi Ethiopia
11 years ago
Habarileo22 May
Waomba hifadhi nzuri ya makaburi waliokufa Mv Bukoba
SERIKALi imeshauriwa kuweka mandhari nzuri ya makaburi ya pamoja ya marehemu wa ajali ya meli ya Mv Bukoba yaliyopo Igoma jijini Mwanza, na kushiriki katika kumbukumbu kwani watu kutoka sehemu mbalimbali ndani na nje ya nchi hufika katika eneo hilo la kumbukumbu.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-dudN6PbScSQ/U_nPwHd40bI/AAAAAAAGB_A/kp2afhWlV1g/s72-c/unnamed%2B(44).jpg)
KAMATI YA KUWAHOJI WAOMBA HIFADHI (NEC) YAANZA KAZI KAMBI YA WAKIMBIZI NYARUGUSU, KIGOMA
![](http://4.bp.blogspot.com/-dudN6PbScSQ/U_nPwHd40bI/AAAAAAAGB_A/kp2afhWlV1g/s1600/unnamed%2B(44).jpg)