Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Vijana Eritrea waomba hifadhi Ethiopia

Vijana raia wa Eritrea waomba hifadhi nchini Ethiopia wakikimbia kujiunga na Jeshi la nchi yao

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Wachezaji wa Eritrea wapata hifadhi Botswana

Botswana imewapa hifadhi wanasoka 10 wa timu ya taifa ya Eritrea waliokataa kurejea nyumbani baada ya kucheza mechi ya kufuzu kwa Kombe la Dunia.

 

9 years ago

BBC

BBC seeks Ethiopia and Eritrea service

The BBC's Director general Tony Hall proposed to introduce a news service for Eritrea and Ethiopia, as well as expanding digital services for Nigeria.

 

5 years ago

BBC

The Ethiopia-Eritrea border dividing families

How the border between Ethiopia and Eritrea is dividing families and communities who live along it.

 

5 years ago

BBC

Ethiopia and Eritrea: A wedding, birth and baptism at the border

The recent peace between once bitter enemies Ethiopia and Eritrea has transformed lives there.

 

10 years ago

BBCSwahili

Raia wa Burundi waomba hifadhi Tanzania

Zaidi ya raia elfu 20 kutoka nchini Burundi wapo magharibi mwa Tanzania wakitaka kuvuka ziwa Tanganyika kuomba hifadhi.

 

11 years ago

Habarileo

Waomba hifadhi nzuri ya makaburi waliokufa Mv Bukoba

SERIKALi imeshauriwa kuweka mandhari nzuri ya makaburi ya pamoja ya marehemu wa ajali ya meli ya Mv Bukoba yaliyopo Igoma jijini Mwanza, na kushiriki katika kumbukumbu kwani watu kutoka sehemu mbalimbali ndani na nje ya nchi hufika katika eneo hilo la kumbukumbu.

 

10 years ago

Mtanzania

Raia 1800 wa Burundi waomba hifadhi nchini

NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM

RAIA wa Burundi waliongia nchini na kuomba hifadhi wamefikia 1,852 hadi sasa.

Taarifa iliyotolewa jana na Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Isaac Nantanga, ilieleza raia hao waliingia nchini kupitia vijiji mbalimbali vya Mkoa wa Kigoma.

Alivitaja vijiji hivyo kuwa ni pamoja na Kigaye, Sekeoya na Kakonko. Vingine ni Kosovo, Kagunga na Kibuye, huku wengine wakiwa wamepitia katika Kituo cha Uhamiaji cha Manyovu kilichopo mkoani humo.

Alisema baada ya...

 

10 years ago

Michuzi

Idara ya uratibu wa maafa yaridhishwa na zoezi la upokeaji waomba hifadhi kutoka burundi

Mkurugenzi Idara ya Uratibu maafa Ofisi ya Waziri Mkuu Brig.Jen. Mbazi Msuya akimpongeza Nahodha wa meli ya Mv. Liemba, Mande Mangapi mara baada ya kuwafikisha salama waomba hifadhi ya ukimbizi kutoka Burundi wapatao 600, katika bandari ya Kigoma kutoka Kagunga, saa mbili usiku tarehe 15 Mei 2015, kushoto ni Kaimu Katibu Tawala mkoani Kigoma, Salvatory Shauri. Ujumbe uliongozwa na Mkurugenzi Idara ya Uratibu maafa Ofisi ya Waziri Mkuu Brig.Jen. Mbazi Msuya ukiwa katika bandari ya Kigoma kwa...

 

10 years ago

Michuzi

KAMATI YA KUWAHOJI WAOMBA HIFADHI (NEC) YAANZA KAZI KAMBI YA WAKIMBIZI NYARUGUSU, KIGOMA

Mwenyekiti wa Kamati Maalumu ya Kuhoji Waomba Hifadhi (NEC), Faraja Nchimbi (watatu kushoto), Katibu wa Kamati hiyo, Philo Nombo (watatu kulia) ambaye anamwakilisha Mkurugenzi wa Idara ya Wakimbizi nchini, wakiwa katika picha ya pamoja na wajumbe wa Kamati hiyo baada ya kuwahoji waomba hifadhi katika Kambi ya Wakimbizi ya Nyarugusu, iliyopo Wilaya ya Kasulu, mkoani Kigoma. Waombaji hao wanatoka nchi mbalimbali ambapo wengi wao wanatoka nchini Kongo. Zaidi ya waomba hifadhi 300...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani