Azam kukabiliana na hujuma za Merreikh
NA ABDUCADO EMMANUEL, DAR ES SALAAM
MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, Azam FC wamejipanga kukabiliana na hujuma zozote kutoka kwa El Merreikh katika mchezo wa marudiano wa Ligi ya Mabingwa Afrika.
Azam juzi iliwafunga miamba hiyo ya Sudan mabao 2-0 katika mchezo wa kwanza uliofanyika Uwanja wa Azam Complex, mchezo wa marudiano utafanyika jijini Khartoum, Sudan.
Akizungumza na MTANZANIA jana, Katibu Mkuu wa Azam, Nassor Idrissa, alisema wanajua mbinu chafu za nje ya...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
TheCitizen24 Dec
Bring on El Merreikh, say Azam
10 years ago
BBCSwahili22 Dec
Azam fc kuanza na El Merreikh
10 years ago
BBCSwahili24 Dec
Azam iko tayari kuivaa El Merreikh
10 years ago
Mwananchi16 Feb
LIGI YA MABINGWA: Azam yaizima El Merreikh
10 years ago
TheCitizen28 Feb
Azam ready to send El-Merreikh packing
10 years ago
BBCSwahili10 Feb
Yanga, Azam tayari kwa El-Merreikh
10 years ago
BBCSwahili18 Feb
Yanga, Azam pongezi kuwadunda El-Merreikh, BDF XI
10 years ago
VijimamboAZAM FC YAIBAMIZA EL MERREIKH YA SUDAN 2-0 KOMBE LA MABINGWA AFRIKA
10 years ago
Mwananchi25 Aug
El Merreikh mabingwa Kagame