Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Bring on El Merreikh, say Azam

Coaches and officials of Azam FC and Young Africans were quick to react following Monday’s draws for the 19th edition of the Orange CAF Champions League 2015 and the 12th Orange CAF Confederation Cup.

TheCitizen

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Azam fc kuanza na El Merreikh

Mabingwa Tanzania Bara kwa msimu wa mwaka 2013/14 , Azam FC wamepangwa kucheza na Timu ya El Merreikh ya Sudan.

 

10 years ago

Mtanzania

Azam kukabiliana na hujuma za Merreikh

azamNA ABDUCADO EMMANUEL, DAR ES SALAAM

MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, Azam FC wamejipanga kukabiliana na hujuma zozote kutoka kwa El Merreikh katika mchezo wa marudiano wa Ligi ya Mabingwa Afrika.

Azam juzi iliwafunga miamba hiyo ya Sudan mabao 2-0 katika mchezo wa kwanza uliofanyika Uwanja wa Azam Complex, mchezo wa marudiano utafanyika jijini Khartoum, Sudan.

Akizungumza na MTANZANIA jana, Katibu Mkuu wa Azam, Nassor Idrissa, alisema wanajua mbinu chafu za nje ya...

 

10 years ago

BBCSwahili

Yanga, Azam tayari kwa El-Merreikh

Wawakilishi wa Tanzania Bara katika michuano ya vilabu ya shirikisho la soka barani Afrika, Yanga na Azam wamekamilisha maandalizi.

 

10 years ago

TheCitizen

Azam ready to send El-Merreikh packing

Tanzanian champions Azam FC carry a 2-0 advantage to Sudan looking to complete the job started two weeks ago in Dar es Salaam when they face hosts El Merreikh today.

 

10 years ago

BBCSwahili

Azam iko tayari kuivaa El Merreikh

Klabu ya Azam ya Tanzania imesema wako tayari kuivaa ya El- Merreikh ya Sudan katika michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika.

 

10 years ago

Mwananchi

LIGI YA MABINGWA: Azam yaizima El Merreikh

>Mabingwa wa Tanzania Bara, Azam FC wameanza kwa kishindo Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya kuichapa El Merreikh kwa mabao 2-0 kwenye Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, Dar es Salaam.

 

10 years ago

BBCSwahili

Yanga, Azam pongezi kuwadunda El-Merreikh, BDF XI

Chama cha kandanda mkoa wa Dar es salaam DRFA,kimewapongeza wawakilishi wa Tanzania bara katika michuano ya vilabu barani Afrika klabu ya Azam FC na Yanga SC.

 

10 years ago

Vijimambo

AZAM FC YAIBAMIZA EL MERREIKH YA SUDAN 2-0 KOMBE LA MABINGWA AFRIKA

Kikosi cha El Merreikh Kikosi cha Azam leoMshambuliaji wa El Merreikh Babeker Bakri (kulia) akimtoka beki wa Azam Aggrey MorrisJohn Bocco akishangilia bao la pili la Azam

 

9 years ago

Habarileo

Sure Boy aisikilizia El Merreikh

KIUNGO wa mabingwa wa Kombe la Kagame, Azam FC, Abubakari Salum amesema yupo tayari kujiunga na El Merreikh ya Sudan iwapo itajitokeza kufanya mazungumzo na timu yake kwa ajili ya kumalizana.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani