Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Hatimaye Rais Goodluck kukutana na wazazi

Rais Goodluck Jonathan anatarajiwa kukutana na wazazi wa wasichana waliotekwa nyara na wapiganaji wa kiisilamu wa Boko Haram.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Wazazi wasita kukutana na Rais Goodluck

Wazazi wa zaidi ya wasichana 200 waliotekwa nyara na Boko Haram nchini Nigeria wamekataa wito wa kukutana na rais wa taifa hilo Goodluck Jonathan.

 

10 years ago

Habarileo

Wajumbe Baraza Kuu Wazazi kukutana Dodoma

WAJUMBE 150 wa Baraza Kuu la Umoja wa Wazazi Tanzania wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) watakutana mjini Dodoma kwa ajili ya kupata mafunzo juu ya Katiba Inayopendekezwa ili wawe chachu ya kuhamasisha wanachama na wananchi kuipigia kura ya ndiyo.

 

11 years ago

BBCSwahili

Rais Goodluck atangaza vita vikali

Rais wa Nigeria Goodluck Jonathan ameagiza kufanywa oparesheni kali zaidi ili kudhibiti alichokiita mauaji ya kiholela yanayofanywa na magaidi.

 

11 years ago

BBCSwahili

Rais Goodluck Jonathan aomba msaada

Serikali ya Nigeria inahitaji msaada wa dola billioni moja ili kukabilina na wanamgambo wa Boko Haram ambao wanazusha vurugu

 

10 years ago

BBCSwahili

Rais Goodluck kugombea tena urais

Rais wa Nigeria GoodluckJonathan amekuwa akikosolewa kwa kushindwa kushughulikia suala la wanamgambo wa Boko haram ipasavyo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Msafara wa rais Goodluck wapigwa mawe

Msafara wa magari ya Rais wa Nigeria umepigwa mawe na watu wanailaumu serikali kwa kukosa kukomesha harakati za wapiganaji wa kiisilamu wa Boko Haram.

 

11 years ago

BBCSwahili

Rais Goodluck Jonathan kuzuru Chibok

Rais wa Nigeria Goodluck Jonathan anatarajiwa kuzuru mji ulio Kaskazini mashariki mwa nchi wa Chibok ambako wasichana zaidi ya 200 wa shule walitekwa nyara mwezi uliopita.

 

5 years ago

Michuzi

Rais wa Somalia akubali kukutana na Rais wa Kenya kujaribu kutatua hitilafu zilizopo


Rais Mohamed Farmajo wa Somalia amekubali mwaliko wa Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya wa kukutana naye jijini Nairobi kwa ajili ya kutuliza hali ya mambo baada ya uhusiano wa pande mbili kuingia dosari hivi karibuni.

Rais wa Somalia amesema hayo baada ya kumpokea mjumbe maalumu wa Rais Kenyatta Bwana Fred Matiang’i Waziri wa Usalama wa Ndani aliyetumwa mjini Mogadishu kwa ajili ya kukutana na Rais wa nchi hiyo.

Rais wa Somalia amemhakikishia Matiang’i kwamba, atafanya safari hivi karibuni mjini...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani