Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wabunge wakataa kubanwa

BAADHI ya wabunge wa Bunge Maalum la Katiba, wamependekeza kuondoa kwenye rasimu ya Katiba mpya, kipengele kinachotaka wananchi wapewe uwezo kisheria, kuwaondoa wabunge wao wasioweza kutatua kero za wapigakura wao, badala ya kusubiri mpaka baada ya Uchaguzi Mkuu.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Wabunge wakataa taarifa ya Jiji

KAMATI ya Bunge ya Kudumu ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi) imekataa taarifa ya ujenzi wa kliniki ya mama na mtoto ya Utemini jijini hapa, kutokana kujengwa chini ya kiwango. Taarifa hiyo ilikataliwa baada ya uongozi wa Halmashauri ya jiji la Mwanza, kushindwa kuonesha thamani halisi ya fedha iliyotumika katika ujenzi wa klinki hiyo, ambayo ni mbadala wa kliniki ya Makongoro, ambayo eneo lake lilinunuliwa na Benki Kuu ya Tanzania (BoT).

 

11 years ago

Habarileo

Wabunge wakataa posho Sh 300,000

Mbunge wa Sumve, Richard NdassaWAKATI mjadala wa kihistoria wa kuunda Katiba mpya ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ukiwa katika hatua ya kupata kanuni za Bunge Maalumu la Katiba, baadhi ya wajumbe wameamua kuelekeza nguvu kudai posho nono.

 

10 years ago

Habarileo

Maofisa takwimu kubanwa

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Hawa Ghasia.WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Hawa Ghasia amesema Serikali haitakuwa na huruma kwa maofisa elimu, takwimu na vifaa (SLO) katika halmashauri nchini watakaochelewesha na kuwasilisha takwimu za elimu zisizo sahihi.

 

11 years ago

Habarileo

Kampuni za simu kubanwa

Rais Jakaya Kikwete akizindua rasmi mtambo wa usimamizi wa ufuatiliaji mawasiliano ya simu nchini (TTMS) katika sherehe iliyofanyika Dar es Salaam jana. Kutoka kulia ni Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, Profesa Makame Mbarawa, Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Dk Fenella Mukangara, Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), Profesa John Nkoma na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Saidi Mecki Sadiki. (Picha na Mohamed Mambo).KAMPUNI za simu nchini zitaanza kufuatiliwa na mtambo maalumu ili kubaini kila senti zinazoingiza na kuwezesha Serikali kupata kodi yake kikamilifu.

 

9 years ago

Habarileo

Wazazi wasiowajibika kubanwa

SERIKALI imesema itaboresha sheria kwa ajili ya kubana wazazi wasiowajibika katika malezi.

 

11 years ago

Mtanzania

Sitta azidi kubanwa

Samuel Sitta

Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba ambaye pia ni Waziri wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta

NA WAANDISHI WETU

MWENYEKITI wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta, amezidi kuandamwa baada ya Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) kumtaka kusitisha mara moja mchakato wa Katiba unaoendelea.

Kituo hicho, kimesema Bunge hilo linapaswa kusitishwa hadi muafaka utakapofikiwa kati ya makundi mawili yanayosigana.

Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Mkurugenzi wa  LHRC,...

 

11 years ago

Mwananchi

Wachakachuaji pembejeo kubanwa

>Serikali imeanza mchakato wa marekebisho ya Sheria ya Mbegu, Mbolea na Dawa itakayosaidia kuwabana ama kuwafilisi mawakala wa pembejeo za kilimo watakaobainika kufanya biashara kwa kuzichakachua.

 

10 years ago

Habarileo

Wahuni mitandaoni kubanwa

Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu, Peter Serukamba KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu imependekeza kwa Serikali iongeze adhabu ya faini kutoka Sh milioni tatu na kifungo kisichopungua miezi sita na kuwa faini ya Sh milioni tano na kifungo kisichopungua miezi sita kwa wale wote watakaotuma katika mtandao taarifa za uongo.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Ngeleja: Wachakachua mbolea kubanwa

KAMATI ya Bunge ya Katiba, Sheria na Utawala, imekabidhiwa miswada ya marekebisho ya sheria mbalimbali zaidi ya 30 ikiwemo marekebisho ya sheria ya mbolea ambayo itaweza kusaidia kutoa adhabu kwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani