Wastara auza vitu vyake vya ndani
Wastara Juma.
Imelda mtema
Inauma sana! Msanii wa filamu ambaye anasumbuliwa na tatizo na mguu, Wastara Juma inadaiwa hali aliyonayo kwa sasa si nzuri na kupata pesa ya matibabu imekuwa ngumu kwake hivyo ameamua auze baadhi ya vitu vyake vya ndani.
Ndugu wa Wastara aliyeomba jina lake lisiandikwe gazetini alisema kuwa, msanii huyo anapitia kipindi kigumu kwani anahitaji pesa nyingi ili arudi tena Nairobi kwa ajili ya matibabu.
“Kwa maumivu aliyonayo hapati hata muda wa kutoka, muda mwingi...
Global Publishers
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL
LUNGI AKOMBWA VITU VYA NDANI!
10 years ago
Vijimambo14 Nov
SENSEI RUMADHA FUNDI AKIFANYA VITU VYAKE !
tazama video hizo mbili:Bofya soma zaidi uone video ya pili ya Sebsei Rumadha Fundi akifanya vitu vyake
11 years ago
GPLPROFESA CALABASH AFANYA VITU VYAKE DAR LIVE
10 years ago
Vijimambo_photo_Masoud_Khamis-47.jpg)
Ali Kiba Afanya Vitu Vyake na Kuwapagaisha Wapenzi wa Tamasha la Busara Zenj.
_photo_Masoud_Khamis-47.jpg)
_photo_Masoud_Khamis-54.jpg)
_photo_Masoud_Khamis-77.jpg)
_photo_Masoud_Khamis-57.jpg)
_at_Sauti_za_Busara_2015_%5Bphoto_Peter_Bennett%5D_IMG_7212.jpg)
10 years ago
Vijimambo
Swahili Fest Community Picnic Mama wa mitindo Asya Idarous kufanya vitu vyake


10 years ago
Dewji Blog20 Sep
Swahili Fest Community Picnic Mama wa mitindo Asya Idarous kufanya vitu vyake leo

Mwanamitindo na mbunifu Mkongwe kutoka Tanzania, Mama wa Mitindo Asya Idarous Khamsin leo Septemba 20, anataraji kuonyesha mavazi ya ubunifu katika Swahili Fest Community Picnic
10 years ago
Bongo Movies02 Aug
Wastara: Yusuph Mlela Anafanana Vitu Vingi na Sajuki
Staa wa Bongo Movies, Wastara Juma amefunguka na kumwagia sifa muigizaji mwenzake, Yusuph Mlela kuwa ni mtu ambaye anafanana vitu vingi na aliyekuwa mume wake, marehemu Sajuki na kusisitiza kuwa huwa hachoki kufanya naye kazi.
Kupitia ukurasa wakekwenye mtandao wa instagram, Wastara aliweka picah hiyo hapo juu na kuandika;
“Mama na mwana mama na baba nimeipenda kma ilivyo ila kiukweli huyu jamaa nampenda mfano hakuna mpole muelewa hana makuu anao ubinadaamu hana ugomvi na mtu mpole ajui...
10 years ago
Vijimambo27 Nov
10 years ago
Bongo504 Feb
Fanya vitu kwa usahihi na sio vitu sahihi tu!