Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


LUNGI AKOMBWA VITU VYA NDANI!

BRIGHTON MASALU MWANAMAMA na ‘mtoto wa mjini’, Lungi Maulanga ameibiwa baadhi ya vitu vya ndani wakati akiwa katika matembezi ya usiku.Akizungumza na gazeti hili, Jumatano wiki hii, mmoja wa marafiki ‘changu ni chako’ wa msanii huyo ambaye hakutaka jina lake ‘lichorwe’ gazetini, alisema tukio hilo la hasara lilitokea usiku wa Jumanne nyumbani kwa Lungi  Magomeni jijini Dar wakati akiwa...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Global Publishers

Wastara auza vitu vyake vya ndani

WASTARA1Wastara Juma.

Imelda mtema

Inauma sana! Msanii wa filamu ambaye anasumbuliwa na tatizo na mguu, Wastara Juma inadaiwa hali aliyonayo kwa sasa si nzuri na kupata pesa ya matibabu imekuwa ngumu kwake hivyo ameamua auze baadhi ya vitu vyake vya ndani.

Ndugu wa Wastara aliyeomba jina lake lisiandikwe gazetini alisema kuwa, msanii huyo anapitia kipindi kigumu kwani anahitaji pesa nyingi ili arudi tena Nairobi kwa ajili ya matibabu.

“Kwa maumivu aliyonayo hapati hata muda wa kutoka, muda mwingi...

 

10 years ago

GPL

RADO AKOMBWA VIFAA VYA GARI, LABAKI MKWECHE

Na Gladness Mallya/Ijumaa
MSANII wa muziki na filamu Bongo, Simon Mwapagata ‘Rado’ amejikuta kwenye wakati mgumu baada ya vibaka kukomba vifaa vya gari lake vyenye thamani ya shilingi milioni tatu. Msanii wa muziki na filamu Bongo, Simon Mwapagata ‘Rado’. Akizungumza kwa huzuni juzikati, Rado alisema siku ya tukio alipaki gari lake aina ya Toyota Mark X sehemu aliyoizoea kila siku maeneo ya...

 

10 years ago

Bongo5

Fanya vitu kwa usahihi na sio vitu sahihi tu!

Inawezekana unaanza kushaangaa kuna tofauti gani kufanya vitu kwa usahihi na si kufanya vitu sahihi tu. Hiki kitu inawezekana umekutana nacho kazini kwako au siku moja utakutana nacho katika majukumu ya kila siku hapo ofisini. Mara nyingi watu tunapenda kufanya vitu sahihi ila hatujali hivyo vitu sahihi tumevifanya kwa usahihi au lah. Maeneo ya kazi […]

 

10 years ago

GPL

BELLA: NITAFANYA VITU VYA UKWELI

MFALME wa masauti, Christian Bella ‘Obama’ Jumatatu ya wiki hii alitua katika Uwanja wa Ndege wa Julius Nyerere,Dar akitokea nchini Sweden na kuweka wazi kuwa amerudi nyumbani rasmi. Mfalme wa masauti, Christian Bella ‘Obama’. Bella aliyekuwepo Sweden kwa mambo yake binafsi, aliwaambia mashabiki wake watarajie vitu vipya kwa kuwa alikuwa nje ya nchi kwa muda mrefu na aliwamisi sana. “Nimerudi...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Vitu vya Coutinho, Jaja Uwanja wa Taifa kesho

TIMU ya Yanga kesho itashuka katika uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam kucheza mechi ya kirafiki ya kimataifa dhidi ya Thika Utd ya Kenya, ikiwa ni mara ya kwanza...

 

10 years ago

Dewji Blog

Hellofood Tanzania celebrates first anniversary by signing a new partnership with Vitu Vya Khadija

Hellofood Tanzania

Restaurant of fashion designer Khadija Mwanamboka joins collaboration with the online food delivery service 

Founded by Africa Internet Group (AIG), the leading online food delivery service hellofood, celebrates its one year anniversary in Tanzania today. Twelve months after taking its first order, the company continues to grow further into the market with new exciting partnerships such as its recent collaboration with Vitu Vya Khadija owned by famous fashion designer, Khadija...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Vitu vinne muhimu unavyopaswa kuwa navyo

Tazama vitu vinne muhimu unavyopaswa kuwa navyo na kutembea navyo popote unapokwenda wakati huu wa janga la corona

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani