PICHA: BAADHI YA VITU VYA THAMANI ANAVYOMILIKI FLOYD MAYWEATHER
Tweet
africanjam.com
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo515 Dec
Picha: Mayweather anunua saa yenye thamani ya zaidi ya shilingi bilioni 2
Floyd Mayweather amefanya yake tena.. Bondia huyo bingwa wa kuchezea hela, amenunua saa ya kifahari yenye thamani ya dola milioni 1.1 ambazo ni zaidi ya shilingi bilioni 2.
Ameinunua saa hiyo kwenye safari yake ya Dubai.
Mwakilishi wake ameiambia TMZ: The watch is roughly $1.1 million. This is just one of his big purchases.”
Saa hiyo ni ya chapa ya Hublot ambayo imezungushiwa almasi.
Inasemekana kuwa Floyd ametumia zaidi ya dola milioni 1.5 katika siku mbili alizokaa Dubai.
Hii ni mara ya...
10 years ago
Bongo506 Jan
Picha: Mayweather aringishia magari yenye thamani tshs bilioni 13 na private jet
10 years ago
BBCSwahili16 Apr
Mkwara wa Floyd Mayweather hadharani
10 years ago
BBCSwahili03 May
Floyd Mayweather amshinda Pacquiao
9 years ago
BBCSwahili13 Sep
Floyd Mayweather amshinda Andre Berto
10 years ago
GPL15 Sep
10 years ago
StarTV16 Apr
Floyd Mayweather afanya mazoezi hadharani.
Katika hali isiyotarajiwa bondia raia wa Marekani Floyd Mayweather ameamua kufanya mazoezi ya wazi na kuruhusu vyombo vya habari kuchukua picha ikiwa ni maandalizi kuelekea katika pambano lake dhidi ya bondia Manny Pacquiao raia wa Philippine.
Mayweather ambaye ni bingwa wa WBA na WBC, ameweka rekodi ya kucheza mapambano 47 ya kulipwa bila kupoteza hata moja wakati mpinzani wake amepigana mapambano 57, akiwa amepigwa mara tano na kutoka sare mara mbili.
Pambano kati ya wawili hao...
10 years ago
TheCitizen08 Sep
Floyd Mayweather fires back at 50 Cent over jibe
10 years ago
Bongo521 Feb
Done Deal: Floyd Mayweather na Manny Pacquiao kuzichapa May 2