Taifa Stars kujipima Sauzi
KIKOSI cha timu ya taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ kinachodhaminiwa na bia ya Kilimanjaro Premium Lager, Jumapili kinatarajiwa kucheza mchezo wa kirafiki na timu ya University of Pretoria (Tucks FC) jijini Johannesburg ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya mchezo dhidi ya Algeria Novemba 14, mwaka huu.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi21 May
Taifa Stars majanga tupu Sauzi
9 years ago
Dewji Blog06 Nov
Taifa Stars kucheza mchezo wa kujipima uwezo na University of Pretoria
Kikosi cha timu ya taifa kikiwa katika moja ya programu za mazoezi.
Kocha wa Taifa Stars, Charles Mkwasa akinena jambo na waandishi wa habari (hawapo pichani).
Na Rabi Hume
Timu ya taifa, Taifa Stars iliyopo Johannesburg, Afrika kusini inatarajiwa kucheza mchezo wa kujipima uwezo na timu ya University of Pretoria (Tucks Fc) mchezo unaotarajiwa kuchezwa Jumapili Novemba,8.
Mchezo huo unaotariwa kuchezwa katika jiji la Johannesburg ikiwa ni sehemu ya program za Kocha wa timu ya taifa,...
9 years ago
Habarileo28 Aug
Stars kujipima na Libya leo
TIMU ya soka ya Taifa, Taifa Stars leo itacheza mechi ya kirafiki dhidi ya Libya mjini Kartepe nchini Uturuki. Mchezo huo wa kirafiki ni sehemu ya ratiba ya Stars ambapo kocha wake Charles Mkwasa na benchi lake la ufundi watautumia kukiangalia kikosi chao.
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-zNUCuW4hT0o/Vj9KDTHupzI/AAAAAAAIE5Q/XHUssp5NRlw/s72-c/unnamed%2B%25281%2529.png)
STARS KUJIPIMA NA U23 YA AFRIKA KUSINI
![](http://1.bp.blogspot.com/-zNUCuW4hT0o/Vj9KDTHupzI/AAAAAAAIE5Q/XHUssp5NRlw/s640/unnamed%2B%25281%2529.png)
9 years ago
StarTV14 Aug
Twiga Stars kujipima ubavu na Harambee Starlets.
TIMU ya Taifa ya Tanzania ya Wanawake (Twiga Stars) iliyopo kambini kisiwani Zanzibar, inatarajiwa kucheza mchezo wa kirafiki na timu ya taifa ya Wanawake kutoka Kenya (Harambee Starlets) Agosti 23, 2015.
Mchezo huo wa kirafiki utachezwa katika uwanja wa Aman Kisiwani Zanzibar, ikiwa ni sehmu ya maandalizi ya kikosi hicho kujiandaa na fainali za Michezo ya Afrika (All Africa Games) zitakazofayika nchini Congo-Brazzavile kuanzia Septemba 4 – 19, 2015.
Twiga Stars inaendelea na mazoezi kutwa...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-TsX1sCH_RNU/VVXxCFVgQPI/AAAAAAAHXcY/314ByYdt6Xc/s72-c/unnamed%2B(86).jpg)
STARS YAENDELEA KUJIFUA SAUZI....
![](http://3.bp.blogspot.com/-TsX1sCH_RNU/VVXxCFVgQPI/AAAAAAAHXcY/314ByYdt6Xc/s640/unnamed%2B(86).jpg)
Kocha mkuu wa timu ya Taifa Stars Mart Nooij amesema vijana wake wanaendelea vizuri na mazoezi, ikiwa leo ni siku ya pili kufanya mazoezi baada ya kufanya mazoezi ya kwanza jana jioni.
Nooii amesema japokuwa kuna hali ya hewa ya baridi katika mji wa Rustenburg, wachezaji wake wameanza kuizoea na kusema kwa kuwa bado kuna zaidi ya...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-f3jkeDuWU-M/U10mJFyzBBI/AAAAAAAFdgg/EuM-SRGDdWI/s72-c/Tanzania-Mart-Nooij-300.jpg)
KOCHA MPYA WA TAIFA STARS AONGEZA WACHEZAJI TISA STARS
![](http://2.bp.blogspot.com/-f3jkeDuWU-M/U10mJFyzBBI/AAAAAAAFdgg/EuM-SRGDdWI/s1600/Tanzania-Mart-Nooij-300.jpg)
Wachezaji walioongezwa ni Edward Charles Manyama (JKT Ruvu), Elias Maguli (Ruvu Shooting), Hassan Dilunga (Yanga), Hussein Javu (Yanga), John Bocco (Azam), Kelvin Friday (Azam), Oscar Joshua (Yanga), Nadir Haroub (Yanga) na Shomari Kapombe (AC Cannes, Ufaransa).
Naye beki...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-YFSAOLE0D-A/VDqqTUqZhqI/AAAAAAAGpl0/SWlOON-qJBI/s72-c/MMGM1084.jpg)
Taifa Stars yatakata Uwanja wa Taifa leo,Yaitungua Bao 4-1 Benin
![](http://4.bp.blogspot.com/-YFSAOLE0D-A/VDqqTUqZhqI/AAAAAAAGpl0/SWlOON-qJBI/s1600/MMGM1084.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-NlUWrOLm_MY/VDqqSciQUQI/AAAAAAAGplo/WDumNWIiiQQ/s1600/MMGM1095.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-rw1cH6fb7bA/VDqqSY43IwI/AAAAAAAGpls/oJNT5cTcrZ0/s1600/MMGM1119.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-JgZ7IQqwkHA/VDqqUA2wFKI/AAAAAAAGpl8/O9cNCzaZok4/s1600/MMGM1140.jpg)
9 years ago
GPL06 Sep