Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Taifa Stars kucheza mchezo wa kujipima uwezo na University of Pretoria

Kikosi cha timu ya taifa kikiwa katika moja ya programu za mazoezi

Kikosi cha timu ya taifa kikiwa katika moja ya programu za mazoezi.

Kocha wa Taifa Stars, Charles Mkwasa akinena jambo na waandishi wa habari (hawapo pichani)

Kocha wa Taifa Stars, Charles Mkwasa akinena jambo na waandishi wa habari (hawapo pichani).

Na Rabi Hume

Timu ya taifa, Taifa Stars iliyopo Johannesburg, Afrika kusini inatarajiwa kucheza mchezo wa kujipima uwezo na timu ya University of Pretoria (Tucks Fc) mchezo unaotarajiwa kuchezwa Jumapili Novemba,8.

Mchezo huo unaotariwa kuchezwa katika jiji la Johannesburg ikiwa ni sehemu ya program za Kocha wa timu ya taifa,...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Taifa Stars kujipima Sauzi

KIKOSI cha timu ya taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ kinachodhaminiwa na bia ya Kilimanjaro Premium Lager, Jumapili kinatarajiwa kucheza mchezo wa kirafiki na timu ya University of Pretoria (Tucks FC) jijini Johannesburg ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya mchezo dhidi ya Algeria Novemba 14, mwaka huu.

 

9 years ago

Michuzi

STARS KUCHEZA MCHEZO WA MARUDIANO NOVEMBA 17 MWAKA HUU ALGERIA

TIMU ya Taifa Tanzania (Taifa Stars) inayodhaminiwa na bia ya Kilimanjaro Premium Lager, inatarajiwa kusafiri na ndege ya binafsi ya kukodi ya shirika la Fastjet kuelekea nchini Algeria kwa ajili ya mchezo wa marudiano utakaochezwa Novemba 17 mjini Algiers.Meneja Mkuu wa Shirika la Ndege la Fasjet kwa ukanda wa Afrika Mashariki, Jimmy Kibati amesema kampuni yao imefikia makubaliano na TFF ya kuwa msafirishaji rasmi wa timu ya Taifa kwa ajili ya mchezo huo wa kuwania kufuzu kwa fainali za...

 

9 years ago

StarTV

Wachezaji wa zamani wa timu za Taifa Bara na Z’bar kucheza mchezo maalum.  

 Wachezaji wa zamani wa timu ya Taifa ya Tanzania Taifa Stars na wachezaji wa zamani wa timu ya Zanzibar Heroes watacheza mechi ya kirafiki December 09 mwaka huu kwa Lengo la kuhamasisha amani katika visiwani Zanzibar.

Mechi hiyo itapigwa katika Uwanja wa Amani ambapo pande zinazotofautiana kisiasa zitaalikwa ili kuzungumza na wanachama kuwa watulivu kipindi hiki ambapo suluhu inatafutwa.

Wakati huohuo michuano ya kuwania kombe la Challenge inaendelea huko nchini Ethiopia,timu ya Kilimnajaro...

 

9 years ago

Habarileo

Taifa Stars kucheza na U23

KIKOSI cha timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, kinatarajia kucheza mchezo wa kirafiki wa kimataifa na timu ya Taifa ya Afrika Kusini ya vijana wenye umri chini ya miaka 23 (Amaglug-glug) kesho kwenye Uwanja wa Eldorado jijini Johannesburg.

 

10 years ago

GPL

Coutinho aomba kucheza Taifa Stars

Kiungo mshambuliaji wa Yanga, Mbrazili, Andrey Coutinho. Na Mohammed Mdose
KIUNGO mshambuliaji wa Yanga, Mbrazili, Andrey Coutinho, amesema yupo tayari kuichezea timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, iwapo Shirikisho la Soka la Tanzania (TFF) litamtaka afanye hivyo. Sheria za Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa) zinaruhusu raia wa nchi fulani kuichezea timu ya taifa ya nchi nyingine, akipata uraia wa nchi hiyo na iwapo...

 

9 years ago

Dewji Blog

Makamu wa Rais awapa moyo wachezaji wa Taifa Stars kuelekea mchezo wa marudiano

1

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, akishangilia sambamba na baadhi ya Viongozi bao la kwanza la Taifa Stars lililofungwa na Elias Maguli, katika kipindi cha kwanza kwenye mchezo wa Kuwania kufuzu hatua ya makundi Kombe la dunia dhidi ya Algeria uliochezwa jana kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Katika mchezo huo timu hizo zilitoka sare ya 2-2, mabao ya Stars yalifungwa na Elias Maguli na Mbwana Samatta.  (Picha na OMR).

1B

3

Makamu wa Rais...

 

10 years ago

Michuzi

TAIFA STARS BADO NGOMA NGUMU COSAFA, YAPOTEZA MCHEZO WA PILI KWA KUPIGWA 2-0 NA MADAGASCER

Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) jana imepoteza mchezo wa pili mfululizo katika michuano ya kombe la Cosafa, baada ya kufungwa mabao 2 - 0 na Madagascar, mchezo uliofanyika katika uwanja wa Royal Bafokeng jijini Rustenburg.
Kwa Taifa Stars kupoteza mchezo huo, moja kwa moja inakua imeaga michuano katika hatua ya makundi, kutokana na kubakisha mchezo mmoja tu wa kukamilisha ratiba dhidi ya Lesotho utakaochezwa kesho ijumaa katika uwanja wa Moruleng.Katika mchezo huo wa jana, Taifa Stars...

 

9 years ago

Dewji Blog

MCHEZO WA KIRAFIKI: Taifa Stars yafungwa na Bafana Bafana

mkwasaserena

Kocha wa Taifa Stars, Boniface Mkwasa

 

Timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars iliyopo Afrika Kusini kwa kambi ajili ya maandalizi ya mchezo wa kutafuta nafasi ya kufuzu kwenda kucheza kombe la dunia nchini Urusi jana imecheza mchezo wa kujipima uwezo na Bafana Bafana chini ya miaka 23.

Katika mchezo huo ulichezwa katika uwanja wa Eldorado uliopo Johannesburg, ilishuhudiwa Taifa Stars ikipokea kipigo cha goli 2 kwa bila.

Baada ya mchezo huo kocha wa Taifa Stars, Charles Mkwasa alizungumza...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani