Taifa Stars kucheza na U23
KIKOSI cha timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, kinatarajia kucheza mchezo wa kirafiki wa kimataifa na timu ya Taifa ya Afrika Kusini ya vijana wenye umri chini ya miaka 23 (Amaglug-glug) kesho kwenye Uwanja wa Eldorado jijini Johannesburg.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/f5QbJIEIZ4wwoEk7SwLHQFm0XnDaO0Jdl04-8WHaouM2BkMLitEFqkHi-64jzuoq98MO7x0RuYNrj8NAiiJDI-9Jw5a9jBqX/tinyo.jpg)
Coutinho aomba kucheza Taifa Stars
9 years ago
Dewji Blog06 Nov
Taifa Stars kucheza mchezo wa kujipima uwezo na University of Pretoria
Kikosi cha timu ya taifa kikiwa katika moja ya programu za mazoezi.
Kocha wa Taifa Stars, Charles Mkwasa akinena jambo na waandishi wa habari (hawapo pichani).
Na Rabi Hume
Timu ya taifa, Taifa Stars iliyopo Johannesburg, Afrika kusini inatarajiwa kucheza mchezo wa kujipima uwezo na timu ya University of Pretoria (Tucks Fc) mchezo unaotarajiwa kuchezwa Jumapili Novemba,8.
Mchezo huo unaotariwa kuchezwa katika jiji la Johannesburg ikiwa ni sehemu ya program za Kocha wa timu ya taifa,...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-zNUCuW4hT0o/Vj9KDTHupzI/AAAAAAAIE5Q/XHUssp5NRlw/s72-c/unnamed%2B%25281%2529.png)
STARS KUJIPIMA NA U23 YA AFRIKA KUSINI
![](http://1.bp.blogspot.com/-zNUCuW4hT0o/Vj9KDTHupzI/AAAAAAAIE5Q/XHUssp5NRlw/s640/unnamed%2B%25281%2529.png)
11 years ago
Mwananchi20 Feb
Twiga Stars kucheza Chamazi
11 years ago
Mwananchi13 Dec
Stars ilistahili kucheza fainali
10 years ago
Vijimambo12 May
STARS UNITED KUCHEZA NA VITAMBI FC MAY 30
![](https://scontent-iad.xx.fbcdn.net/hphotos-xfp1/v/t1.0-9/75391_463582562478_6584715_n.jpg?oh=1a53d4e2844ebb33252324e99072dede&oe=55CF3A5D)
![](https://scontent-iad.xx.fbcdn.net/hphotos-xaf1/v/t1.0-9/315646_10151084775522479_1823073213_n.jpg?oh=2292fdba26739693c26182166fa5be9c&oe=560AA71F)
Timu ya Stars United itacheza mechi ya kujipima nguvu na Vitambi FC siku ya Jumamosi May 30, 2015 katika uwanja wa Heurich anuani ni 6001 Ager Road, Hyattsville, MD 20781. Mechi ni ya maandalizi ya Vijimambo Soccer Tournament itakayofanyika Labor Day Weekend.
Stars United inatarajiwa kuelekea Atlanta, Georgia June 27, 2015 kucheza na Eritrea katika mchezo wa kirafiki wa maandalizi ya ligi ndogo itakayofanyika DMV.
Mechi ya Vitambi FC itachezwa saa 9 kamili alasili siku...
9 years ago
Habarileo26 Aug
Stars kucheza na Libya keshokutwa Uturuki
TIMU ya soka ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) inayodhaminiwa na bia ya Kilimanjaro ambayo iliwasili juzi nchini Uturuki, imeendelea na mazoezi jana asubuhi katika viwanja viliyopo kwenye Hoteli ya Green Park – Kartepe.
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-f3jkeDuWU-M/U10mJFyzBBI/AAAAAAAFdgg/EuM-SRGDdWI/s72-c/Tanzania-Mart-Nooij-300.jpg)
KOCHA MPYA WA TAIFA STARS AONGEZA WACHEZAJI TISA STARS
![](http://2.bp.blogspot.com/-f3jkeDuWU-M/U10mJFyzBBI/AAAAAAAFdgg/EuM-SRGDdWI/s1600/Tanzania-Mart-Nooij-300.jpg)
Wachezaji walioongezwa ni Edward Charles Manyama (JKT Ruvu), Elias Maguli (Ruvu Shooting), Hassan Dilunga (Yanga), Hussein Javu (Yanga), John Bocco (Azam), Kelvin Friday (Azam), Oscar Joshua (Yanga), Nadir Haroub (Yanga) na Shomari Kapombe (AC Cannes, Ufaransa).
Naye beki...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-V0Y5xmeOBFY/VjJbWWDA46I/AAAAAAAIDZI/2kP7IrmE-JE/s72-c/download.jpg)
STARS KUCHEZA MCHEZO WA MARUDIANO NOVEMBA 17 MWAKA HUU ALGERIA
![](http://3.bp.blogspot.com/-V0Y5xmeOBFY/VjJbWWDA46I/AAAAAAAIDZI/2kP7IrmE-JE/s1600/download.jpg)