Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


STARS UNITED KUCHEZA NA VITAMBI FC MAY 30

Stars UnitedVitambi FC
Timu ya Stars United itacheza mechi ya kujipima nguvu na Vitambi FC siku ya Jumamosi May 30, 2015 katika uwanja wa Heurich anuani ni 6001 Ager Road, Hyattsville, MD 20781. Mechi ni ya maandalizi ya Vijimambo Soccer Tournament itakayofanyika Labor Day Weekend.
Stars United inatarajiwa kuelekea Atlanta, Georgia June 27, 2015 kucheza na Eritrea katika mchezo wa kirafiki wa maandalizi ya ligi ndogo itakayofanyika DMV.
Mechi ya Vitambi FC itachezwa saa 9 kamili alasili siku...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

VITAMBI FC YAIFUNGA STARS UNITED 3-1


Satars United
Vitambi FC
 Nahodha wa timu ya Vitambi FC David (kushoto) akisalimiana na nahodha wa Stars United Dulla Ni hatari mpira golini kwa Vitambi FC. Mechi ikiendelea
 Mchezaji wa Vitambi FC akikkokota mpira kujaribu kuipita ngome ya Stars United Mchezaji Emmanuel wa Stars United akipiga pasi kwa mchezaji mwenzake Kheri Yahya huku mchezaji wa Vitambi FC akiangalia wasije wakaleta madhara. Mchezaji More akimiliki mpira. Mechi ilikua ya ushindani sana  Mchezaji Shabani akitoka nje baada ya...

 

10 years ago

Vijimambo

MECHI YA STARS UNITED NA ALL AFRICAN STARS MPAKA DAKIKA 90 MAMBO NI 5-5


 Kutoka kushoto ni Dallah , Mundo na Ediga wachezaji wa Stars United wakitafakali jambo kabla ya mechi All African Stars wakipata picha ya pamoja.                       Stars United wakipata  picha ya pamoja. Kifaa cha Stars United Elvis Mnyamuru akijaribu kumiliki mpira. Mmoja ya wachezaji wa All African Stars ya Atlanta akiwa chini baada ya kuchezewa rafu huku wachezaji wa Stars United. Mchezaji wa All African Stars (kulia) akijaribu kumtoka Edgar mmoja ya mchezaji wa Stars United Mchezaji...

 

10 years ago

Vijimambo

STARS UNITED YALAZIMISHWA SARE YA BAO 5-5 NA ALL AFRICAN STARS YA ATALANTA

 All African Stars wakipata picha ya pamoja.                       Stars United wakipata  picha ya pamoja.


Na Mwandishi wetu Atlanta, GATimu Stars United inayoundwa na nyota kutoka majimbo mbalimbali nchini Marekani siku ya Jumamosi Aug 1, 2015 katika kiwanja cha nyasi za bandia cha Hammond Dr kilichopo mji wa Sandy Spring jijini Atlanta jimbo la Georgia, ililazimishwa sare ya bao 5-5 katika mchezo mkali na wa kusisimua  zidi ya timu mchanganyiko iliyoundwa na wachezaji wa mataifa ya Afrika...

 

11 years ago

Mwananchi

Stars ilistahili kucheza fainali

Cecafa imedai kwamba Kilimanjaro Stars ilistahili kucheza fainali za michuano ya Chalenji kutokana na ubora wake na si kuwania nafasi ya tatu.

 

9 years ago

Habarileo

Taifa Stars kucheza na U23

KIKOSI cha timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, kinatarajia kucheza mchezo wa kirafiki wa kimataifa na timu ya Taifa ya Afrika Kusini ya vijana wenye umri chini ya miaka 23 (Amaglug-glug) kesho kwenye Uwanja wa Eldorado jijini Johannesburg.

 

11 years ago

Mwananchi

Twiga Stars kucheza Chamazi

Mechi ya pili ya raundi ya kwanza kuwania tiketi ya kufuzu kushiriki Fainali za Afrika kwa Wanawake (AWC) katika ya Twiga Stars dhidi ya Zambia ‘Shepolopolo’ itachezwa Machi 2 mwaka huu kwenye

 

10 years ago

Vijimambo

STARS UNITED YAFUNGWA 6-1 NA DURHAM ALL STARS

 Manahodha wakipata picha na makocha. Timu ya Durham All Stars Timu ya Stars UnitedPicha ya timu zote mbili baada ya mechi
Timu ya Stars United inayoundwa na wachezaji mchanganyiko kutoka majimbo tofauti nchini Marekani ambao pia ndio mabigwa wa kombe la Afrika Mashariki, siku ya Jumamosi Octoba 10, 2015 ilipata kichapo cha goli 6-1 kutoka kwa timu inayoundwa na wachezaji mchanganyiko wa Durham, Durham All Stars katika mechi iliyochezwa katika uwanja wa South Durham uliopo Durham, NC.

Katika...

 

10 years ago

Habarileo

Stars kucheza na Libya keshokutwa Uturuki

TIMU ya soka ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) inayodhaminiwa na bia ya Kilimanjaro ambayo iliwasili juzi nchini Uturuki, imeendelea na mazoezi jana asubuhi katika viwanja viliyopo kwenye Hoteli ya Green Park – Kartepe.

 

10 years ago

GPL

Coutinho aomba kucheza Taifa Stars

Kiungo mshambuliaji wa Yanga, Mbrazili, Andrey Coutinho. Na Mohammed Mdose
KIUNGO mshambuliaji wa Yanga, Mbrazili, Andrey Coutinho, amesema yupo tayari kuichezea timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, iwapo Shirikisho la Soka la Tanzania (TFF) litamtaka afanye hivyo. Sheria za Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa) zinaruhusu raia wa nchi fulani kuichezea timu ya taifa ya nchi nyingine, akipata uraia wa nchi hiyo na iwapo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani