Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Stars kujipima na Libya leo

TIMU ya soka ya Taifa, Taifa Stars leo itacheza mechi ya kirafiki dhidi ya Libya mjini Kartepe nchini Uturuki. Mchezo huo wa kirafiki ni sehemu ya ratiba ya Stars ambapo kocha wake Charles Mkwasa na benchi lake la ufundi watautumia kukiangalia kikosi chao.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Taifa Stars kujipima Sauzi

KIKOSI cha timu ya taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ kinachodhaminiwa na bia ya Kilimanjaro Premium Lager, Jumapili kinatarajiwa kucheza mchezo wa kirafiki na timu ya University of Pretoria (Tucks FC) jijini Johannesburg ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya mchezo dhidi ya Algeria Novemba 14, mwaka huu.

 

9 years ago

Michuzi

STARS KUJIPIMA NA U23 YA AFRIKA KUSINI

 Kikosi cha timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ kinachodhaminiwa na bia ya Kilimanjaro Premium Lager, kinatarajiwa kucheza mchezo wa kirafiki wa kimataifa na timu ya Taifa ya Afrika Kusini ya vijana wenye umri chini ya miaka 23 (Amaglug-glug) Jumanne jioni kwenye dimba la Eldorado jijini Johannesburg.Kwa mujibu wa taarifa toka TFF, mchezo huo wa kirafiki ni sehemu ya maandalizi ya kuwakabili Algeria Novemba 14 jijini Dar es salaa katika uwanja wa Taifa na marudiano yake kufanyika Novemba...

 

9 years ago

StarTV

Twiga Stars kujipima ubavu na Harambee Starlets.

TIMU ya Taifa ya  Tanzania ya Wanawake (Twiga Stars) iliyopo kambini kisiwani Zanzibar, inatarajiwa kucheza mchezo wa kirafiki na timu ya taifa ya Wanawake kutoka Kenya (Harambee Starlets) Agosti 23, 2015.
Mchezo huo wa kirafiki utachezwa katika uwanja wa Aman Kisiwani Zanzibar, ikiwa ni sehmu ya maandalizi ya kikosi hicho kujiandaa na fainali za Michezo ya Afrika (All Africa Games) zitakazofayika nchini Congo-Brazzavile kuanzia Septemba 4 – 19, 2015.
Twiga Stars inaendelea na mazoezi kutwa...

 

9 years ago

Dewji Blog

Taifa Stars kucheza mchezo wa kujipima uwezo na University of Pretoria

Kikosi cha timu ya taifa kikiwa katika moja ya programu za mazoezi

Kikosi cha timu ya taifa kikiwa katika moja ya programu za mazoezi.

Kocha wa Taifa Stars, Charles Mkwasa akinena jambo na waandishi wa habari (hawapo pichani)

Kocha wa Taifa Stars, Charles Mkwasa akinena jambo na waandishi wa habari (hawapo pichani).

Na Rabi Hume

Timu ya taifa, Taifa Stars iliyopo Johannesburg, Afrika kusini inatarajiwa kucheza mchezo wa kujipima uwezo na timu ya University of Pretoria (Tucks Fc) mchezo unaotarajiwa kuchezwa Jumapili Novemba,8.

Mchezo huo unaotariwa kuchezwa katika jiji la Johannesburg ikiwa ni sehemu ya program za Kocha wa timu ya taifa,...

 

10 years ago

Mwananchi

Simba kujipima kwa URA leo

Simba na URA zinashuka uwanjani leo katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa utakaofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.

 

9 years ago

TheCitizen

Stars face Libya in friendly clash

Taifa Stars begin their 2017 Africa Cup of Nations (Afcon) build-up match today with a date against Libya in Kartepe District, Turkey.

 

9 years ago

Habarileo

Stars kucheza na Libya keshokutwa Uturuki

TIMU ya soka ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) inayodhaminiwa na bia ya Kilimanjaro ambayo iliwasili juzi nchini Uturuki, imeendelea na mazoezi jana asubuhi katika viwanja viliyopo kwenye Hoteli ya Green Park – Kartepe.

 

9 years ago

TheCitizen

Taifa Stars begin Afcon preps with Libya clash

Stars will be without their foreign-based players

 

10 years ago

Mwananchi

Stand waenda kujipima Mwanza

Timu ya Stand United imeondoka Shinyanga jana kwenda Mwanza, ambako itaweka kambi ya wiki moja kwa ajili ya kujiandaa na Ligi Kuu Tanzania Bara.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani